Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Mwanza: Askofu Mwamakula na Dkt. Lwaitama wakamatwa na Polisi

Kwa wakati huu kuna nini,na wakati ulipita hapa karibuni kulikuwa na nini,tafakari tu kwa rejea miaka 3 Hadi 6 iliyopita linganisha tofauti na na muda wa hivi karibuni zaidi,zingatia dalili za sasa,matendo na matukio ya wakati uliopita katika muda tajwa linganisha na uje na mtazamo huru.
Ninachokiona Mimi ni propaganda kali zilizoandaliwa dhidi ya Mama
 
Katiba imefikia hatua ya kupigiwa kura police bado wana ujinga wa kukamata watu
 
Huko Mwanza si ndiko kwa sukuma gang, Mama wakazie hao sukumagang. Hakuna kukutana kumhujumu mama.
 
Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.

Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano....
Watu wapoteze calories zao kwa upuuzi wa nyokwo!!!

Palipo haki kufinywa huwa hayahamasishwi maandamano, yanalipuka.

Hao wazee wanazeeka vibaya.
 
Vipi kama nikiamua kufanyia kongamano langu nyumbani kwako bila wewe kujua, kwakua tu katiba imeniruhusu?

Katiba imeruhusu ndiyo, lakini lazima vyombo vya ulinzi viwe na taarifa na utaratibu upangwe Ili kongamano lenu lisije kuingilia hali yoyote ile ya kijamii(kiusalama, kimazingira nk)...
Ukifanyia kongamano lako nyumbani kwangu bila taarifa nitakuitia polisi.

Kwani hao wanaharakati wamefanyia kongamano lao nyumbani kwa mtu bila kumuarifu?
 
Hakuna sheria inayosema watu wakitaka kufanya mkusanyiko wowote basi waombe kibali polisi, watuambie hiyo sheria ni ipi.

Ccm wameingiwa na hofu kubwa sana kufuatia watu wengi kudai katiba mpya kwani hii katiba yao ya mwaka 1977 ndio inawahakikishia haki ya kung'ang'ania madarakani, wanajua siku ikitolewa tu ndio mwisho wao.
 
Ukifanyia kongamano lako nyumbani kwangu bila taarifa nitakuitia polisi.

Kwani hao wanaharakati wamefanyia kongamano lao nyumbani kwa mtu bila kumuarifu?
Wamefanya kongamano lao sehemu ambayo polisi wanawajibika kuilinda bila kuwataarifu,hivyo polisi hawakuwa wanawatambua kama jinsi ambavyo wewe hautanitambua nikija kufanya kongamano kwako
 
Nadhani mama anaanza sasa kuelewa kwamba JPM hakuwa mbaya bali aina ya nchi aliyorithi ndiyo ilimlazimisha awe tough. Na hiyo ndio siri ya kufanikiwa kwa urais wake.

Usicheke na nyani: sisi raia tunachotaka ni miundo mbinu bora, ni huduma bora za afya, ni kuona pesa ya wavuja jasho inafanya mambo ya maana yatakayobadilisha sura ya nchi.

Dunia haitakuheshimu kwa kuchekacheka na wahuni wanaotumia demokrasia kupenyeza ajenda zao binafsi. Dunia itakuheshimu kwa kuweka malengo na kuyatimiza. Ulaya haikujengwa kwa demokrasia wala nini usidanganyike. Ulaya ilijengwa na wanaume na wanawake wa shoka, ikiwemo hadi ukatili wa kutisha katika kuijenga. Sisemi ili kuijenga Tanzania itabidi ufanye ukatili mama, la hasha, siyo maana yangu hiyo. Ila bila shaka itabidi watu fulani fulani wakuchukie kama kweli unataka kuweka alama kama mtangulizi wako alivyoweka alama isiyofutika vizazi hadi vizazi ndani ya kipindi kifupi. Kama bosi wako walimwita JIWE, basi wewe wakuite CHUMA. Hapo utafanikiwa.
 
Huyo Baba Askofu Uchwara ngoja wamnyooshe.

Huwa hajitambui. Ni nyumbu-type.
Kale kazee kanapenda sana kujipenyeza kila penye agenda ya kisiasa,na kibaya zaidi hakajui kuficha ushabiki wake kwa Ufipa wacha anyooshwe.

Unapoamua kuingilia mambo ya kisiasa,hakikisha unaweza kuzimudu changamoto zake.
 
Despite dictator Magufuli's demise repression continues in Tanzania as peoples right to assemble is curtailed once again by the usually pro ruling party police.

It might now seem that the problem isn't the people running this country but rather the ruling party whose philosophy of not relinquishing power at any cost is the percussor for perpetuating misrule that the regime is now renowned for.

For how long this repressive show of force will continue to sustain this regime by helping it cling to power is nobody's guess.
 
Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.

Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.

CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
Jinga kweli ww....
 
Nadhani mama anaanza sasa kuelewa kwamba JPM hakuwa mbaya bali aina ya nchi aliyorithi ndiyo ilimlazimisha awe tough. Na hiyo ndio siri ya kufanikiwa kwa urais wake.

Usicheke na nyani: sisi raia tunachotaka ni miundo mbinu bora, ni huduma bora za afya, ni kuona pesa ya wavuja jasho inafanya mambo ya maana yatakayobadilisha sura ya nchi.

Dunia haitakuheshimu kwa kuchekacheka na wahuni wanaotumia demokrasia kupenyeza ajenda zao binafsi. Dunia itakuheshimu kwa kuweka malengo na kuyatimiza. Ulaya haikujengwa kwa demokrasia wala nini usidanganyike. Ulaya ilijengwa na wanaume na wanawake wa shoka, ikiwemo hadi ukatili wa kutisha katika kuijenga. Sisemi ili kuijenga Tanzania itabidi ufanye ukatili mama, la hasha, siyo maana yangu hiyo. Ila bila shaka itabidi watu fulani fulani wakuchukie kama kweli unataka kuweka alama kama mtangulizi wako alivyoweka alama isiyofutika vizazi hadi vizazi ndani ya kipindi kifupi. Kama bosi wako walimwita JIWE, basi wewe wakuite CHUMA. Hapo utafanikiwa.
Mama akicheka na hawa kima hatafika kokote,Hebu Fikiria mwingine alimwmbia eti atamnyoa.
 
Back
Top Bottom