kama askofu rashidi tu (gwajiboy)Uaskofu umekuwa uanasiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama askofu rashidi tu (gwajiboy)Uaskofu umekuwa uanasiasa
Polisi sehemu yoyote duniani ni mali ya wanasiasa,sisemi kwAmba ni haki au siyo lkni ndo inavokua,,yoyote atakaeingia madarakani polisi huyu huyu atatekeleza maagizo yakeHapana.
Tanzania polisi inatumika kisiasa.
Wameingia kwa sababu rais kasema, kinyume na katiba, kwamba mijadala ya katiba isimamishwe nchi itengeneze uchumi. Bila kutoa timeline wala metrics....
Eti baba askofu[emoji23], huyo jamaa ni mhuni kama wahuni wengine tu.Mara ya mwisho walipomkamata Baba Askofu tulizika kichaa
Huyo Baba Askofu Uchwara ngoja wamnyooshe.Eti baba askofu[emoji23], huyo jamaa ni mhuni kama wahuni wengine tu.
Kama kawaida yenu,wale wanaowaunga mkono ndio mnaowatakaUaskofu umekuwa uanasiasa
Muhuni kama mama yakoEti baba askofu[emoji23], huyo jamaa ni mhuni kama wahuni wengine tu.
Takes time to sink in broNakwambia hivi.
1. Mtu anaangalia kama mkutano wake unahitaji ulinzi wa polisi au hauhitaji....
Vipi kama nikiamua kufanyia kongamano langu nyumbani kwako bila wewe kujua, kwakua tu katiba imeniruhusu?Actually makongamano na mikutano ni haki ya kikatiba, bila kibali.
Kuna utaratibu wa kutoa taarifa polisi kama unahitaji ulinzi wa polisi.
Ukianza kuweka habari za vibali unaanza kuiminya haki ya kikatiba.
Hatua kwa hatua, usiwe na haraka ya kuhimiza watu wakati huu.Kusema tu haiwezi kusaidia. Ingia barabarani Mkuu.
Tuna bando la kutosha, kupush hashtags.
Iko hivi dalili zinazojionyesha,yale ya awamu iliyopita ,huenda yakaboreshwa na kutuadhibu vilivyo mara nyingi zaidi ya awamu tangulizi,mpango wa siku mia za mwanzo ilikuwa ni kuwapumbaza watanzania ,ili baada ya hapo ni kurejea utaratibu wa awali uliowaumiza wengi kwenye nyanja zote na hakunaruhusa ya kuuongea ukweli.Tofauti na tweeter na Jf vyombo vya habari ikiwemo tv na radio hazijaripoti kilichotokea Mwanza wala kufanya mahojiano na RPC Mwanza kujua sababu za kukamatwa kwa viongozi hao na wamefanya kosa gani, hii inanifanya nianze kutafakari kuhusu utendaji wa vyombo hivi awamu ya Tano.
Lakini pia kukaa kimya kwa vyombo hivi kunaashiria Wana maelekezo juu ya suala hili isipokuwa maelekezo yanatoka wapi hakuna anayejua.
Wanaumizwa kwa vipi hao wengi?Iko hivi dalili zinazojionyesha,yale ya awamu iliyopita ,huenda yakaboreshwa na kutuadhibu vilivyo mara nyingi zaidi ya awamu tangulizi,mpango wa siku mia za mwanzo ilikuwa ni kuwapumbaza watanzania ,ili baada ya hapo ni kurejea utaratibu wa awali uliowaumiza wengi kwenye nyanja zote na hakunaruhusa ya kuuongea ukweli.
Niteseke kwa jamvi ambalo linatumiwa na wageni! Endelea kutoa huduma lakini wape kondomShoga wa hovyo kuwahi kutokea
Wacha uteseke duniani na akhera
Kwahiyo hicho ndio kitengo chako?!Haya faster, twende Twitter kupush hashtags.
#FreeLwaitama
#FreeMwamakula [emoji1787][emoji1787]
Kwa wakati huu kuna nini,na wakati ulipita hapa karibuni kulikuwa na nini,tafakari tu kwa rejea miaka 3 Hadi 6 iliyopita linganisha tofauti na na muda wa hivi karibuni zaidi,zingatia dalili za sasa,matendo na matukio ya wakati uliopita katika muda tajwa linganisha na uje na mtazamo huru.Wanaumizwa kwa vipi hao wengi?