Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Nimeona Dodoma, Ole Sabaya na maeneo mengine tuu.Hivi toka uzaliwe Tanzania hii, umeshawahi kuona polisi wamekamata CCM?! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona Dodoma, Ole Sabaya na maeneo mengine tuu.Hivi toka uzaliwe Tanzania hii, umeshawahi kuona polisi wamekamata CCM?! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Matusi ni msingi wa chadema hawana hoja.
USSR
Watu wasioheshimu mamlaka ndio dawa yao,tia ndani pumbavu zaoInakera sana kwakweli
Wote ni haohao.tuGwajima Je yeye anafanya nini?
Mkuu Kiranga ,kuna watu wana uelewa wa polepole sana.Nakwambia hivi.
1. Mtu anaangalia kama mkutano wake unahitaji ulinzi wa polisi au hauhitaji.
2. Kama hauhitaji ulinzi wa polisi, hususan kama hautumii public grounds, anaendelea na mkutano. Hahitaji kutoa taarifa polisi. Hii ni haki yake ya kikatiba.
3. Kama anahitaji ulinzi wa polisi, anahitaji kutoa taarifa polisi.
Sasa mtu akiishia namba mbili hapo juu, polisi wanaingiaje hapo?
Siamini kabisa kuwa Raisi Samia yuko nyuma ya hilo ila ni hao Mapolisi ambao bado wanafikiria Mwendazake bado yu hai atawapandisha vyeoMama mwenyewe atakuwa yuko nyuma ya hii issue. Anajua kabisa kuruhusu katiba mpya sasa anaweza kupoteza kiti by 2025. Nafikiri anavuta muda mpaka aingize awamu ya pili.
Anzia unapoona panafaa,watu waache kusaka pesa waje kuandamana kwa ajili ya upumbavu?Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Bila shuritiTutii sheria..
Wewe ni mwana CCM siyo bure.Bila shurti
Upumbavu kudai haki.! Iliyoporwa na maCCM. MachacheAnzia unapoona panafaa,watu waache kusaka pesa waje kuandamana kwa ajili ya upumbavu?
Ko sheria zimetungwa ili tuzichambie?🤔Kutoka kifungu gani, ibara ya ngapi?
Haki gani hiyo?Upumbavu kudai haki.! Iliyoporwa na maCCM. Machache
Ko sheria zimetungwa ili tuzichambie?🤔Kutoka kifungu gani, ibara ya ngapi?
Kwani umekatazwa wapi? Assemble kwa kibali kinyume chake utapata tabu Sana na kulaumu ccmNyingi tu.
Ikiwamo freedom of assembly
Haitakiwi kuwe na vikwazo. Niweze kukutanika nitakapoKwani umekatazwa wapi? Assemble kwa kibali kinyume chake utapata tabu Sana na kulaumu ccm
Mbwa wewe mlivyokuwa mnasifiwa kipindi cha jiweUaskofu umekuwa uanasiasa
My wordsNakwambia hivi.
1. Mtu anaangalia kama mkutano wake unahitaji ulinzi wa polisi au hauhitaji.
2. Kama hauhitaji ulinzi wa polisi, hususan kama hautumii public grounds, anaendelea na mkutano. Hahitaji kutoa taarifa polisi. Hii ni haki yake ya kikatiba.
3. Kama anahitaji ulinzi wa polisi, anahitaji kutoa taarifa polisi.
Sasa mtu akiishia namba mbili hapo juu, polisi wanaingiaje hapo?