Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga hapendi kusikia nini? Bariadi kuna kijana yuko jela kwa kumkosoa pia chato kuna jamaa mwimbaji wa nyimbo za asili yuko jela kwa kumkosoa! Slaa,Mwambukusi,Mdude na Leo Cask Bar ameifunga! Unafiki na roho mbaya sana nyie CCM!Dah huvi vitu Dkt Samia hapendi kabisa kuvisikia ila inasikitisha
Hatuna roho mbaya, tusamehe ewe mpiga kura. Tunahitaji kura yako 2025. Asante.Acha ujinga hapendi kusikia nini? Bariadi kuna kijana yuko jela kwa kumkosoa pia chato kuna jamaa mwimbaji wa nyimbo za asili yuko jela kwa kumkosoa! Slaa,Mwambukusi,Mdude na Leo Cask Bar ameifunga! Unafiki na roho mbaya sana nyie CCM!
Kuna video inazunguka sana mitandaoni ikionyesha jamaa mmoja akiwa anapiga gambe huku kwenye mbao ya matangazo ya bar aliyopo ukipita ujumbe wa kuuzwa bandari
Bar hiyo inaitwa the cask na ipo Ilemela Mwanza; bar hiyo imefungiwa kwa tuhuma za kukwepa kodi na kufanya biashara zaidi ya moja. Tunajiuliza
1. Tumeanza tena kufungia watu biashara pale wanapofanya kinyume na mtizamo wetu?
2.Je lile tangazo lenye context ya bandari linareflect jinai?
3. Kufungwa kwa bar halmashauri haipotezi mapato?
4.Nani mwenye dhamana ya kufunga biashara NCHINI? Kila kiongozi akiamua kufunga biashara kumbe bado ana mamlaka?
5. Ni nani atawaakikishia wawekezaji kwamba biashara zao kama wageni zipo salama?
HahahahahaKuna video inazunguka sana mitandaoni ikionyesha jamaa mmoja akiwa anapiga gambe huku kwenye mbao ya matangazo ya bar aliyopo ukipita ujumbe wa kuuzwa bandari
Bar hiyo inaitwa the cask na ipo Ilemela Mwanza; bar hiyo imefungiwa kwa tuhuma za kukwepa kodi na kufanya biashara zaidi ya moja. Tunajiuliza
1. Tumeanza tena kufungia watu biashara pale wanapofanya kinyume na mtizamo wetu?
2.Je lile tangazo lenye context ya bandari linareflect jinai?
3. Kufungwa kwa bar halmashauri haipotezi mapato?
4.Nani mwenye dhamana ya kufunga biashara NCHINI? Kila kiongozi akiamua kufunga biashara kumbe bado ana mamlaka?
5. Ni nani atawaakikishia wawekezaji kwamba biashara zao kama wageni zipo salama?
Nadhani wakati anaruhusu watu wake wafanye hayo atakua alijiandaa na yatakayojiri baada ya hapo.Akavue dagaaKuna video inazunguka sana mitandaoni ikionyesha jamaa mmoja akiwa anapiga gambe huku kwenye mbao ya matangazo ya bar aliyopo ukipita ujumbe wa kuuzwa bandari
Bar hiyo inaitwa the cask na ipo Ilemela Mwanza; bar hiyo imefungiwa kwa tuhuma za kukwepa kodi na kufanya biashara zaidi ya moja. Tunajiuliza
1. Tumeanza tena kufungia watu biashara pale wanapofanya kinyume na mtizamo wetu?
2.Je lile tangazo lenye context ya bandari linareflect jinai?
3. Kufungwa kwa bar halmashauri haipotezi mapato?
4.Nani mwenye dhamana ya kufunga biashara NCHINI? Kila kiongozi akiamua kufunga biashara kumbe bado ana mamlaka?
5. Ni nani atawaakikishia wawekezaji kwamba biashara zao kama wageni zipo salama?
Kuna video inazunguka sana mitandaoni ikionyesha jamaa mmoja akiwa anapiga gambe huku kwenye mbao ya matangazo ya bar aliyopo ukipita ujumbe wa kuuzwa bandari
Bar hiyo inaitwa the cask na ipo Ilemela Mwanza; bar hiyo imefungiwa kwa tuhuma za kukwepa kodi na kufanya biashara zaidi ya moja. Tunajiuliza
1. Tumeanza tena kufungia watu biashara pale wanapofanya kinyume na mtizamo wetu?
2.Je lile tangazo lenye context ya bandari linareflect jinai?
3. Kufungwa kwa bar halmashauri haipotezi mapato?
4.Nani mwenye dhamana ya kufunga biashara NCHINI? Kila kiongozi akiamua kufunga biashara kumbe bado ana mamlaka?
5. Ni nani atawaakikishia wawekezaji kwamba biashara zao kama wageni zipo salama?
Mithali 28:16 Mkuu aliepungukiwa na akili, huwaonea watu sana😏😏🙏Daah nchi hii ishakuwa ya hovyo sana! Huyu mama Samia na serkali yake ovyo kabisa!