n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
CCM na magenge yao ya wahuni wanadhidi kujidhalilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kodi inalipwa halmashauri au TRA?Serikali wilayani llemela mkoani Mwanza imeifunga bar maarufu ya The Cask Bar & Grill jijini Mwanza kwa tuhuma za ukwepaji kodi kwa kipindi cha miaka miwili.
Kwa mjibu wa Mkurugenzi wa manispaa ya llemela Kiomono Kibamba, amesema uongozi wa bar hiyo umekwapa kodi ya Serikali na kuendesha biashara zaidi ya moja eneo hilo hilo.
Akizungumza katika eneo hilo la Bar Mkurugenzi wa llemela, Kiomoni Kibamba amesema mmiliki wake amekiuka masharti ya uendeshaji wa biasharaikiwemo kukosa leseni ya biashara kwa kipindi cha miaka miwili.
Pia soma:
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari
Tatizo ni bandari🤣🤣🤣🤣🤣Serikali wilayani llemela mkoani Mwanza imeifunga bar maarufu ya The Cask Bar & Grill jijini Mwanza kwa tuhuma za ukwepaji kodi kwa kipindi cha miaka miwili.
Kwa mjibu wa Mkurugenzi wa manispaa ya llemela Kiomono Kibamba, amesema uongozi wa bar hiyo umekwapa kodi ya Serikali na kuendesha biashara zaidi ya moja eneo hilo hilo.
Akizungumza katika eneo hilo la Bar Mkurugenzi wa llemela, Kiomoni Kibamba amesema mmiliki wake amekiuka masharti ya uendeshaji wa biasharaikiwemo kukosa leseni ya biashara kwa kipindi cha miaka miwili.
Pia soma:
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari
Wateja wake walitumia banner ya the cask OKOA BANDARI ZETU hapo ndo alipokosea tuKwani mara ya mwisho tulikubaluana nini kuhusu kufunga biashara? Kumbukumbu haisemi kwamba tukae nao ili walipe bila kufunga biashara hata kama ni kidogokidogo?
Wewe UTASUBIRI SANA, hautapata chochote kwenye hii era kwa kujiependekeza huku.Huyu Mama sio tumbua tumbua ovyo!, utasubiri sana!. Sasa tuko kwenye era ya reasoning and logic!
P
noted, akalipe kodi za serikaliSerikali wilayani llemela mkoani Mwanza imeifunga bar maarufu ya The Cask Bar & Grill jijini Mwanza kwa tuhuma za ukwepaji kodi kwa kipindi cha miaka miwili.
Kwa mjibu wa Mkurugenzi wa manispaa ya llemela Kiomono Kibamba, amesema uongozi wa bar hiyo umekwapa kodi ya Serikali na kuendesha biashara zaidi ya moja eneo hilo hilo.
Akizungumza katika eneo hilo la Bar Mkurugenzi wa llemela, Kiomoni Kibamba amesema mmiliki wake amekiuka masharti ya uendeshaji wa biasharaikiwemo kukosa leseni ya biashara kwa kipindi cha miaka miwili.
Pia soma:
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari
ujumbe wa okoa bandari zetu, akalipe kodi ya serikali na afute kauli ya kuomba radhi kuhusu lile bangoSerikali wilayani llemela mkoani Mwanza imeifunga bar maarufu ya The Cask Bar & Grill jijini Mwanza kwa tuhuma za ukwepaji kodi kwa kipindi cha miaka miwili.
Kwa mjibu wa Mkurugenzi wa manispaa ya llemela Kiomono Kibamba, amesema uongozi wa bar hiyo umekwapa kodi ya Serikali na kuendesha biashara zaidi ya moja eneo hilo hilo.
Akizungumza katika eneo hilo la Bar Mkurugenzi wa llemela, Kiomoni Kibamba amesema mmiliki wake amekiuka masharti ya uendeshaji wa biasharaikiwemo kukosa leseni ya biashara kwa kipindi cha miaka miwili.
Pia soma:
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari
u-ovyo uko wapi, halafu si kila kitu umhusishe rais, kila sekta ina viongozi wake ambao wako huru kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria, Rais anaingia wapi hapo, mbona una chuki za kipumbavu na rais wetu? Mtu hajalipa kodi we ulitakaje. Mamako ndiyo wa hovyo kuzaa mtu wa hovyo km weweDaah nchi hii ishakuwa ya hovyo sana! Huyu mama Samia na serkali yake ovyo kabisa!
nyie mna udumavu wa akili, kwa hiyo siku hizi ukifanya kosa usishughulikiwe kwa kujificha ktk kukosoa serikali. Hii nchi mnataka kuipeleka wapi. Tena naomba rais asicheke na kima km nyie. Mtu hajalipa kodi bado unakimbilia kuilaumu serikali badala ya kuipongeza? Shameful.Hii serkali ni wanafiki sana! Hawataki kukosolewa na mtu wakijua sio kada lazima upate tabu sana! Mara wanajidai hakuna kudunga biashara unafiki mkubwa sana!
mkalipe kodi nyie weziHii nchi kama policcm wataendelea kuwa watawala tutegemee vitu kama hivi kutokuisha.
Zinangatia ajira ngapi zimekosekana na sababu ni bango la walevi. Je ingekua wameandika mama anaupiga mwingi
we kweli ni mbwa, mamako angetukanwa vile ungewasifu watukanaji? Sasa yule ni mama na mkuu wa nchi kwa hiyo akiruhusu uhuru wa kutoa maoni ndio mkamtukane, pumbavu kabisa mtashika adabu tuAcha ujinga hapendi kusikia nini? Bariadi kuna kijana yuko jela kwa kumkosoa pia chato kuna jamaa mwimbaji wa nyimbo za asili yuko jela kwa kumkosoa! Slaa,Mwambukusi,Mdude na Leo Cask Bar ameifunga! Unafiki na roho mbaya sana nyie CCM!
we poyoyo tumia akili epuka kutumia makalio kufikiri. Mtu halipi kodi unasema tena serikali haipotezi mapato, unajitambua kweli?Kuna video inazunguka sana mitandaoni ikionyesha jamaa mmoja akiwa anapiga gambe huku kwenye mbao ya matangazo ya bar aliyopo ukipita ujumbe wa kuuzwa bandari
Bar hiyo inaitwa the cask na ipo Ilemela Mwanza; bar hiyo imefungiwa kwa tuhuma za kukwepa kodi na kufanya biashara zaidi ya moja. Tunajiuliza:
1. Tumeanza tena kufungia watu biashara pale wanapofanya kinyume na mtizamo wetu?
2.Je lile tangazo lenye context ya bandari linareflect jinai?
3. Kufungwa kwa bar halmashauri haipotezi mapato?
4.Nani mwenye dhamana ya kufunga biashara NCHINI? Kila kiongozi akiamua kufunga biashara kumbe bado ana mamlaka?
5. Ni nani atawaakikishia wawekezaji kwamba biashara zao kama wageni zipo salama?