Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji kodi

Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji kodi

Serikali wilayani llemela mkoani Mwanza imeifunga bar maarufu ya The Cask Bar & Grill jijini Mwanza kwa tuhuma za ukwepaji kodi kwa kipindi cha miaka miwili.

Kwa mjibu wa Mkurugenzi wa manispaa ya llemela Kiomono Kibamba, amesema uongozi wa bar hiyo umekwapa kodi ya Serikali na kuendesha biashara zaidi ya moja eneo hilo hilo.

Akizungumza katika eneo hilo la Bar Mkurugenzi wa llemela, Kiomoni Kibamba amesema mmiliki wake amekiuka masharti ya uendeshaji wa biasharaikiwemo kukosa leseni ya biashara kwa kipindi cha miaka miwili.

Pia soma:
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari
Kodi inalipwa halmashauri au TRA?
 
Serikali wilayani llemela mkoani Mwanza imeifunga bar maarufu ya The Cask Bar & Grill jijini Mwanza kwa tuhuma za ukwepaji kodi kwa kipindi cha miaka miwili.

Kwa mjibu wa Mkurugenzi wa manispaa ya llemela Kiomono Kibamba, amesema uongozi wa bar hiyo umekwapa kodi ya Serikali na kuendesha biashara zaidi ya moja eneo hilo hilo.

Akizungumza katika eneo hilo la Bar Mkurugenzi wa llemela, Kiomoni Kibamba amesema mmiliki wake amekiuka masharti ya uendeshaji wa biasharaikiwemo kukosa leseni ya biashara kwa kipindi cha miaka miwili.

Pia soma:
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari
Tatizo ni bandari🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanachokitaka watakipata. Mtu akishashiba madaraka ,Ila na sie tunakuwa hakuna tofauti na nyumbu ,yaani nyumbu wapo 100000 Ila chuu watano wanaua mwenzake na wao ipo imesimama inaangalia hata haifanyi kazi ama juhudi ya kumuokoa mwenzako.
Unamcheka nyumbu Ila huna tofauti naye
 
Saloon ya Mama kimbooo ohhh, kuvungia biashara , kupeana uhaini vyoote utavipata

Zipo saloon kibao mi najuwaaa lakini saloon ya Mama kimbooo mwenzenu inanikosha
 
Serikali wilayani llemela mkoani Mwanza imeifunga bar maarufu ya The Cask Bar & Grill jijini Mwanza kwa tuhuma za ukwepaji kodi kwa kipindi cha miaka miwili.

Kwa mjibu wa Mkurugenzi wa manispaa ya llemela Kiomono Kibamba, amesema uongozi wa bar hiyo umekwapa kodi ya Serikali na kuendesha biashara zaidi ya moja eneo hilo hilo.

Akizungumza katika eneo hilo la Bar Mkurugenzi wa llemela, Kiomoni Kibamba amesema mmiliki wake amekiuka masharti ya uendeshaji wa biasharaikiwemo kukosa leseni ya biashara kwa kipindi cha miaka miwili.

Pia soma:
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari
noted, akalipe kodi za serikali
 
Serikali wilayani llemela mkoani Mwanza imeifunga bar maarufu ya The Cask Bar & Grill jijini Mwanza kwa tuhuma za ukwepaji kodi kwa kipindi cha miaka miwili.

Kwa mjibu wa Mkurugenzi wa manispaa ya llemela Kiomono Kibamba, amesema uongozi wa bar hiyo umekwapa kodi ya Serikali na kuendesha biashara zaidi ya moja eneo hilo hilo.

Akizungumza katika eneo hilo la Bar Mkurugenzi wa llemela, Kiomoni Kibamba amesema mmiliki wake amekiuka masharti ya uendeshaji wa biasharaikiwemo kukosa leseni ya biashara kwa kipindi cha miaka miwili.

Pia soma:
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari
ujumbe wa okoa bandari zetu, akalipe kodi ya serikali na afute kauli ya kuomba radhi kuhusu lile bango
 
Daah nchi hii ishakuwa ya hovyo sana! Huyu mama Samia na serkali yake ovyo kabisa!
u-ovyo uko wapi, halafu si kila kitu umhusishe rais, kila sekta ina viongozi wake ambao wako huru kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria, Rais anaingia wapi hapo, mbona una chuki za kipumbavu na rais wetu? Mtu hajalipa kodi we ulitakaje. Mamako ndiyo wa hovyo kuzaa mtu wa hovyo km wewe
 
Hii serkali ni wanafiki sana! Hawataki kukosolewa na mtu wakijua sio kada lazima upate tabu sana! Mara wanajidai hakuna kudunga biashara unafiki mkubwa sana!
nyie mna udumavu wa akili, kwa hiyo siku hizi ukifanya kosa usishughulikiwe kwa kujificha ktk kukosoa serikali. Hii nchi mnataka kuipeleka wapi. Tena naomba rais asicheke na kima km nyie. Mtu hajalipa kodi bado unakimbilia kuilaumu serikali badala ya kuipongeza? Shameful.
 
Acha ujinga hapendi kusikia nini? Bariadi kuna kijana yuko jela kwa kumkosoa pia chato kuna jamaa mwimbaji wa nyimbo za asili yuko jela kwa kumkosoa! Slaa,Mwambukusi,Mdude na Leo Cask Bar ameifunga! Unafiki na roho mbaya sana nyie CCM!
we kweli ni mbwa, mamako angetukanwa vile ungewasifu watukanaji? Sasa yule ni mama na mkuu wa nchi kwa hiyo akiruhusu uhuru wa kutoa maoni ndio mkamtukane, pumbavu kabisa mtashika adabu tu
 
Kuna video inazunguka sana mitandaoni ikionyesha jamaa mmoja akiwa anapiga gambe huku kwenye mbao ya matangazo ya bar aliyopo ukipita ujumbe wa kuuzwa bandari

Bar hiyo inaitwa the cask na ipo Ilemela Mwanza; bar hiyo imefungiwa kwa tuhuma za kukwepa kodi na kufanya biashara zaidi ya moja. Tunajiuliza:

1. Tumeanza tena kufungia watu biashara pale wanapofanya kinyume na mtizamo wetu?

2.Je lile tangazo lenye context ya bandari linareflect jinai?

3. Kufungwa kwa bar halmashauri haipotezi mapato?

4.Nani mwenye dhamana ya kufunga biashara NCHINI? Kila kiongozi akiamua kufunga biashara kumbe bado ana mamlaka?

5. Ni nani atawaakikishia wawekezaji kwamba biashara zao kama wageni zipo salama?
we poyoyo tumia akili epuka kutumia makalio kufikiri. Mtu halipi kodi unasema tena serikali haipotezi mapato, unajitambua kweli?
 
Back
Top Bottom