Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji kodi

Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji kodi

Hamueleweki

Kuna wakati mnasema bora mama, Mara bora nanihii

So mko upande gani? Au ni ilipo pesa?
suala siyo bora mama. Huyu rais kiwango chake cha uongozi kipo juu sana zaidi ya mara 10 ya marais waliopita, amefanya mambo makubwa sana ktk muda mfupi na ana mipango mikubwa sana ya maendeleo na nchi hii, sisi tunamwombea atimize mipango yake. Wenye wivu na husda kamwe hawatafanikiwa, kimsingi wameshashindwa
 
Huyu Mama sio tumbua tumbua ovyo!, utasubiri sana!. Sasa tuko kwenye era ya reasoning and logic!
P
Jambo lenyewe la bandari lilikuwa lilishaanza kufifia kabisa yaani wanalipa airtime za ajabu. Yaani hii kitu kila mtu atajua kuna nini. Ni sawa na kutoa tamko la kupinga ushoga ukiwa kanisani au msikitini.
 
Mkurugenzi wa Ilemela amejitoa kafara kwa kukiuka maelekezo ya Rais kwamba biashara zisifungwe; huyu mkurugenzi ni moja ya watu wanaoishi katika utawala uliopita. Kukiuka kauli ya mwenye nchi ni dharau na natabiri soon anatumbuliwa.

Kelele na agenda za kelele zimekuwa nyingi na zote zina economic impact ndani na nje. Kufunga biashara moja over night ni tishio kubwa kwa uhakika wa mitaji na usalama wa biashara za wageni. Wageni wataanza kuweka fedha kwenye mifuko wavuke nazo mipaka huku Watanzania wakiweka pesa nyumbani kukwepa kuonekana akaunti inenuna ukafungiwa business

Hii Cask Bar inakwenda kuondoka na RC, DC na Mkurugenzi only if siyo msimamo wa serikali.
Ni hili swaga lote Ni la rc makala jamaa anajikomba Sana kwenye utawala huu Ila ajabu kipindi Cha jiwe hakujikomna kbsaa
 
Tatizo ni lile bango la kielectronic lililoandikwa "TUACHIE BANDARI YETU"
Hiv kwanini viongozi hawapendi kuambiwa ukweli , hawajui kuwa wanatengeneza kizazi ambacho madhara yake mbeleni itakuwa ni mabaya?
Mwenyee bar nae Hana akili na manager wake Ni wapuuzi sna HV mambo ya biashra na mamb ya bandari wapi na wapi [emoji41]

Wacha wafungie wasukuma Ni wapuuz sana
 
ndio iwe fundisho kwa wengine, weka biashara mbali na siasa. Mtu alikua anapiga hela vizuri tu halafu anijiingiza kwenye mambo ya siasa, matokeo yake ndio haya
 
Mwenye CASK amejitakia. Yeye anajijua ni mfanyabiashara ila kwa upumbavu wake karuhusu siasa za CHADEMA kwenye biashara. Najua bar itafunguliwa na yeye atakuwa kapata somo kwa vitendo kutochanganya biashara na siasa za kipumbavu. TRA ikisema iwakazie wafanyabiashara wote kuhusu madeni yao ya kodi basi mjini zitasalia biashara chache. Wengi mnaosema kaonewa ni wanafiki na huwezi kukuta kwenye biashara zenu kuna siasa.
 
Jamaa katumia fursa ya sekeseke la bandari kutangaza biashara yake. Hongera sana mwamba
 
Back
Top Bottom