dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
๐ ๐ ๐ ๐ ๐Na yule alieshika Bango wanae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ ๐ ๐ ๐ ๐Na yule alieshika Bango wanae
Sijaona tangazo, kwanini wamekana?Sheria inataka hivyo!?? Umeona tangazo la TRA kukana kuhusika kwao?
Nimekukwoti wewe na Moisemusajiografii mkasomeSijaona tangazo, kwanini wamekana?
Cask itarudi hewani soonMwenye CASK amejitakia. Yeye anajijua ni mfanyabiashara ila kwa upumbavu wake karuhusu siasa za CHADEMA kwenye biashara. Najua bar itafunguliwa na yeye atakuwa kapata somo kwa vitendo kutochanganya biashara na siasa za kipumbavu. TRA ikisema iwakazie wafanyabiashara wote kuhusu madeni yao ya kodi basi mjini zitasalia biashara chache. Wengi mnaosema kaonewa ni wanafiki na huwezi kukuta kwenye biashara zenu kuna siasa.
Bar itarudi ila na yeye hatakaa akubali upuuzi wa wanasiasa kwenye bar yake. Hata mimi Cask naikubali hatari. Nikiendaga Mwanza lazima niende Cask na kuna Bar iko kona ya Bwiru.Cask itarudi hewani soon
Kwa wanaomjua makanyaga
Hilo haliwapi shida,hicho kijiwe chenyewe makala anakikubali
Ukitaka jiji la mwanza lipoe
We iondoe the cask
Hiyo ni kasoro ndogo tu ilijitokeza
Ova
Kina 7baya wapya haoNi hili swaga lote Ni la rc makala jamaa anajikomba Sana kwenye utawala huu Ila ajabu kipindi Cha jiwe hakujikomna kbsaa
Kama hawahusiki, kuna kitu kiko 'unprofessional'Nimekukwoti wewe na Moisemusajiografii mkasome
Kabisa. Ni suala la bandari in the name of kukwepa kodi..!! Na huku mkusanya kodi hahusikiKama hawahusiki, kuna kitu kiko 'unprofessional'
Kuna mengine ya ziadaMwigulu nchemba si alisema hakuna kufunga biashara? Sasa mtu anafungiwa biashara kwa kukwepa kodi sasa kwanini asilioishwe faini? Au kuna zaidi ya hili?
Cask wana samaki watamu balaa...Bar itarudi ila na yeye hatakaa akubali upuuzi wa wanasiasa kwenye bar yake. Hata mimi Cask naikubali hatari. Nikiendaga Mwanza lazima niende Cask na kuna Bar iko kona ya Bwiru.
[emoji1787][emoji1787]Mwigulu nchemba si alisema hakuna kufunga biashara? Sasa mtu anafungiwa biashara kwa kukwepa kodi sasa kwanini asilioishwe faini? Au kuna zaidi ya hili?
Tatizo liko wapi kwa mwenye bar au hata huyo aliyeandika hilo bango?Nadhani wakati anaruhusu watu wake wafanye hayo atakua alijiandaa na yatakayojiri baada ya hapo.Akavue dagaa
Mama kaachia wataalam wafanye kaziโฆ. Bahati mbaya tulizoea kiongozi ambaye ni jack of all tradessuala siyo bora mama. Huyu rais kiwango chake cha uongozi kipo juu sana zaidi ya mara 10 ya marais waliopita, amefanya mambo makubwa sana ktk muda mfupi na ana mipango mikubwa sana ya maendeleo na nchi hii, sisi tunamwombea atimize mipango yake. Wenye wivu na husda kamwe hawatafanikiwa, kimsingi wameshashindwa
Tena na ikipendeza uvae kabisa nguo za ccm Yaani hii nchi ni ya kinyoro sana hasa hawa viongozi ndiyo wana haribu nchi,Viongozi wanashauri vijana na watanzania tujiajiri. Ila ukijiajiri usipokua ccm nalo ni janga