Mwanza City: The Photo Gallery

Baada ya jemedari wetu kamanda chief na ntemi hayati Magufuli kufariki naona magorofa yajengwa kwa sana mitaa ya uhuru, rufiji, dampo nk hii inafanya down town kuexpand sana asee.
Watu walificha hela kipindi cha maghufuli, nilitoka mwanza mwaka jana mwishoni kulikuwa hamna construction ya maana kabisa mwanza , ukitoa miradi ya serikali kama barabara , stendi na masoko, yaani mji ulisimama kabisa upande wa maghorofa , nimerudi juzi aisee mitaa ya Uhuru na rufiji ni amsha Sana , maghorofa yanapanda Kwa Kasi Sana ...!
 
Hakikaa.
 
Picha
 
Mkuu picha muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…