Karibu na Sumaye Hotel na Kituo cha Polisi. Njoo tunywe nipo hapa Kitima Bar.Mtaa wa rufiji umechangamka
View attachment 1971450
Hilo ni eneo gani?
Wamefika floor ya ngapi sasahivi
Wameishia 13 tu plus undergroundWamefika floor ya ngapi sasahivi
BOT hapaa kakaaKama jobergView attachment 1771578
Uliposema 17 nilipata wasiwasi hasa nikiangalia style ya ujenzi inayotumikaWameishia 13 tu plus underground
Uliposema 17 nilipata wasiwasi hasa nikiangalia style ya ujenzi inayotumika
RwagasoreHilo ni eneo gani?
Watu walificha hela kipindi cha maghufuli, nilitoka mwanza mwaka jana mwishoni kulikuwa hamna construction ya maana kabisa mwanza , ukitoa miradi ya serikali kama barabara , stendi na masoko, yaani mji ulisimama kabisa upande wa maghorofa , nimerudi juzi aisee mitaa ya Uhuru na rufiji ni amsha Sana , maghorofa yanapanda Kwa Kasi Sana ...!Baada ya jemedari wetu kamanda chief na ntemi hayati Magufuli kufariki naona magorofa yajengwa kwa sana mitaa ya uhuru, rufiji, dampo nk hii inafanya down town kuexpand sana asee.
Hakikaa.Watu walificha hela kipindi cha maghufuli, nilitoka mwanza mwaka jana mwishoni kulikuwa hamna construction ya maana kabisa mwanza , ukitoa miradi ya serikali kama barabara , stendi na masoko, yaani mji ulisimama kabisa upande wa maghorofa , nimerudi juzi aisee mitaa ya Uhuru na rufiji ni amsha Sana , maghorofa yanapanda Kwa Kasi Sana ...!
PichaWatu walificha hela kipindi cha maghufuli, nilitoka mwanza mwaka jana mwishoni kulikuwa hamna construction ya maana kabisa mwanza , ukitoa miradi ya serikali kama barabara , stendi na masoko, yaani mji ulisimama kabisa upande wa maghorofa , nimerudi juzi aisee mitaa ya Uhuru na rufiji ni amsha Sana , maghorofa yanapanda Kwa Kasi Sana ...!
Mkuu picha muhimu sana.Watu walificha hela kipindi cha maghufuli, nilitoka mwanza mwaka jana mwishoni kulikuwa hamna construction ya maana kabisa mwanza , ukitoa miradi ya serikali kama barabara , stendi na masoko, yaani mji ulisimama kabisa upande wa maghorofa , nimerudi juzi aisee mitaa ya Uhuru na rufiji ni amsha Sana , maghorofa yanapanda Kwa Kasi Sana ...!
Daah nitajitahd wakuu nileteMkuu picha muhimu sana.
Hapa mall imezungukwa na nyumba ambazo kiasi Fulani zipo kwenye mpangilio mzuri sana na zinang'aa.View attachment 2015937
View attachment 2015932
View attachment 2015929
Wale wa Misheni, Ghana, Nyamanoro etc