Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

IMG_20211105_153232.jpg
IMG_20211105_153336.jpg
 
Baada ya jemedari wetu kamanda chief na ntemi hayati Magufuli kufariki naona magorofa yajengwa kwa sana mitaa ya uhuru, rufiji, dampo nk hii inafanya down town kuexpand sana asee.
Watu walificha hela kipindi cha maghufuli, nilitoka mwanza mwaka jana mwishoni kulikuwa hamna construction ya maana kabisa mwanza , ukitoa miradi ya serikali kama barabara , stendi na masoko, yaani mji ulisimama kabisa upande wa maghorofa , nimerudi juzi aisee mitaa ya Uhuru na rufiji ni amsha Sana , maghorofa yanapanda Kwa Kasi Sana ...!
 
Watu walificha hela kipindi cha maghufuli, nilitoka mwanza mwaka jana mwishoni kulikuwa hamna construction ya maana kabisa mwanza , ukitoa miradi ya serikali kama barabara , stendi na masoko, yaani mji ulisimama kabisa upande wa maghorofa , nimerudi juzi aisee mitaa ya Uhuru na rufiji ni amsha Sana , maghorofa yanapanda Kwa Kasi Sana ...!
Hakikaa.
 
Watu walificha hela kipindi cha maghufuli, nilitoka mwanza mwaka jana mwishoni kulikuwa hamna construction ya maana kabisa mwanza , ukitoa miradi ya serikali kama barabara , stendi na masoko, yaani mji ulisimama kabisa upande wa maghorofa , nimerudi juzi aisee mitaa ya Uhuru na rufiji ni amsha Sana , maghorofa yanapanda Kwa Kasi Sana ...!
Picha
 
Watu walificha hela kipindi cha maghufuli, nilitoka mwanza mwaka jana mwishoni kulikuwa hamna construction ya maana kabisa mwanza , ukitoa miradi ya serikali kama barabara , stendi na masoko, yaani mji ulisimama kabisa upande wa maghorofa , nimerudi juzi aisee mitaa ya Uhuru na rufiji ni amsha Sana , maghorofa yanapanda Kwa Kasi Sana ...!
Mkuu picha muhimu sana.
 
Back
Top Bottom