Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Moja kati ya barabara ambayo haifanyiwi progressing ni barabara ya Kenyatta . yaani miaka nenda rudi .. pale mkuyuni panahitaji either taa au daraja la kuvukia..yaani jioni na asubuhi huvuki kizembe hadi urudi Butimba kona ndo uvuke. . eneo lingine ni pale Nyegezi kona , yaani pale napo ni vurugu aisee
 
Hamna mtu anayepiga miradi ya mwanza vita ..ila wabunge wetu ,na halmashauri wamelala ... kidogo mabula sa hv namwona anajitahidi maana amekuja na mpango wa kujenga atleast km 1 ya lami kwa mwaka kwa kila barabara ya tarura wilaya ya Nyamagana
Barabara ya buzuruga to Mahina kati tayari wamejenga hadi mwananchi .
Barabara ya Nyakato boma to machinjioni tayari wamejenga hadi Bismark
Barabara ya Nyegezi stendi hadi majengo mapya tayari wamejenga hadi majengo
Barabara ya Mkolani to buguku
.
Nk
Hizi barabara zikikamilika zitaongeza fursa za biashara za usafirishaji abiria. (New routes)
 
Moja kati ya barabara ambayo haifanyiwi progressing ni barabara ya Kenyatta . yaani miaka nenda rudi .. pale mkuyuni panahitaji either taa au daraja la kuvukia..yaani jioni na asubuhi huvuki kizembe hadi urudi Butimba kona ndo uvuke. . eneo lingine ni pale Nyegezi kona , yaani pale napo ni vurugu aisee
Hiyo barabara itakamilika siku wakianza kujengaa four way had usagara la sivyo hapataweza kuwa na maendeleo yoyote
 
Ujenzi wa hotel ya nssf pale capri point vip kuna fununu yoyote utaendelea?, it has been along time toka ukwame
Ujenzi ulisimama toka 2015 adi leo kimya hilo jengo ni kama pambo tu, lakini kama wangelikamilisha lingeinua pia uchumi, lingetengeneza fursa za ajira na biashara, pia lingeongeza mandhari ya jiji, wahusika sijui walifeli wapi mabilioni ya pesa yalitupwa pale na jengo limebaki kama magofu na litakuwa moja kati ya magofu ya jiji la Mwanza.
 
Kikwete na mapungufu yake makubwa lakini ndiye aliyewekeza sana kwenye real estate, majengo makubwa karibu yote ya jijini Mwanza yamejengwa kwenye kipindi chake, Ilo jengo lilijengwa kwa haraka sana na lilikuwa likamilike mwaka 2015 lakini ndio lilistopishwa sijui kulikuwa na ufisadi sijui ubadhirifu wa pesa, adi leo kuna sintofahamu juu ya jengo ilo kubwa jiji Mwanza.
 
Kikwete na mapungufu yake makubwa lakini ndiye aliyewekeza sana kwenye real estate, majengo makubwa karibu yote ya jijini Mwanza yamejengwa kwenye kipindi chake, Ilo jengo lilijengwa kwa haraka sana na lilikuwa likamilike mwaka 2015 lakini ndio lilistopishwa sijui kulikuwa na ufisadi sijui ubadhirifu wa pesa, adi leo kuna sintofahamu juu ya jengo ilo kubwa jiji Mwanza.
Stanislaus Mabulla anatakiwa apenyeze maswali kwa wizara husika kuhus huo mradi. Ni hasara kweli.
 
Moja kati ya barabara ambayo haifanyiwi progressing ni barabara ya Kenyatta . yaani miaka nenda rudi .. pale mkuyuni panahitaji either taa au daraja la kuvukia..yaani jioni na asubuhi huvuki kizembe hadi urudi Butimba kona ndo uvuke. . eneo lingine ni pale Nyegezi kona , yaani pale napo ni vurugu aisee
Sidhani kama wataigusa hii barabara kwa sasa.
Upembuzi sanifu wakuifanya njia nne umeisha mwezi uliopita, kwa sasa serikali inatafuta pesa yawezekana ikaanza kujengwa bajeti ya mwaka kesho, hope wataweka taa na madaraja ya watembea kwa miguu sehemu husika.
 
Sidhani kama wataigusa hii barabara kwa sasa.
Upembuzi sanifu wakuifanya njia nne umeisha mwezi uliopita, kwa sasa serikali inatafuta pesa yawezekana ikaanza kujengwa bajeti ya mwaka kesho, hope wataweka taa na madaraja ya watembea kwa miguu sehemu husika.
Nilimsikia waziri mpango ni njia nne mpaka SHY, km 104
 
Ujenzi ulisimama toka 2015 adi leo kimya hilo jengo ni kama pambo tu, lakini kama wangelikamilisha lingeinua pia uchumi, lingetengeneza fursa za ajira na biashara, pia lingeongeza mandhari ya jiji, wahusika sijui walifeli wapi mabilioni ya pesa yalitupwa pale na jengo limebaki kama magofu na litakuwa moja kati ya magofu ya jiji la Mwanza.
Kaka punguza mzuka.
Hilo jengo sio gofu na halitawahi kuwa gofu.
Mpaka sasa lime ongeza mandhari ya mji wa mwanza sijui wewe ulitaka mandhari gani zaidi.
Kuna mtu alinidokeza kwamba hawawezi kumalizia zaidi mpaka apatikane mwekezaji wa hoteli ili limaliziwe kulingana na anavyotaka, na kuna brand kadhaa za hoteli kubwa kubwa zimeonyesha interest.
Tuendelee kusubiri hata mzizima dar si ndio inamaliziwa sasa hivi
 
Kaka punguza mzuka.
Hilo jengo sio gofu na halitawahi kuwa gofu.
Mpaka sasa lime ongeza mandhari ya mji wa mwanza sijui wewe ulitaka mandhari gani zaidi.
Kuna mtu alinidokeza kwamba hawawezi kumalizia zaidi mpaka apatikane mwekezaji wa hoteli ili limaliziwe kulingana na anavyotaka, na kuna brand kadhaa za hoteli kubwa kubwa zimeonyesha interest.
Tuendelee kusubiri hata mzizima dar si ndio inamaliziwa sasa hivi
Sawa mkuu ngoja tusubiri.
 
_20220625_002429.JPG

Nimeangalia miradi ya TACTIC mwanza, ilemela ipo 3.
1. Soko la kirumba na barabara za jumla ya 2.3km kuzunguka soko.

2. Barabara ya Buswelu-nyamadoke-Nyamhongolo km 9.5

3.Barabara ya Buswelu-Busenga-cocacola
Hivi hii barabara si ilishajengwa na inatumika? 🤣

Miradi ya Nyamagana au Mwanza cc.
1. Barabara ya buhongwa-kishiri-igoma 14km naona itakuwa njia mbili naona sio fair ukizingatia hii barabara ni sehemu ya ring road ya mwanza.

2. Mradi wa mto mirongo
Nafikiri huu mto unaenda kujengewa kingo, sijui zaidi kuhusu hili

3. Mradi wa soko la samaki la mkuyuni.



Barabara ya national to mkuyuni naona haipo, labda tarura au tanroads waokoe jahazi
 
View attachment 2271402
Nimeangalia miradi ya TACTIC mwanza, ilemela ipo 3.
1. Soko la kirumba na barabara za jumla ya 2.3km kuzunguka soko.

2. Barabara ya Buswelu-nyamadoke-Nyamhongolo km 9.5

3.Barabara ya Buswelu-Busenga-cocacola
Hivi hii barabara si ilishajengwa na inatumika? 🤣

Miradi ya Nyamagana au Mwanza cc.
1. Barabara ya buhongwa-kishiri-igoma 14km naona itakuwa njia mbili naona sio fair ukizingatia hii barabara ni sehemu ya ring road ya mwanza.

2. Mradi wa mto mirongo
Nafikiri huu mto unaenda kujengewa kingo, sijui zaidi kuhusu hili

3. Mradi wa soko la samaki la mkuyuni.



Barabara ya national to mkuyuni naona haipo, labda tarura au tanroads waokoe jahazi
Hili barabara (Buswelu - Busenga) bado, inapita kutoka round about ya Kwanza Buswelu/Kiseke inatokea kati ya Cocacola na filling station ya Olasiti Igoma.

1656144255290.png


1656143840153.png

1656143884618.png
 
View attachment 2271402
Nimeangalia miradi ya TACTIC mwanza, ilemela ipo 3.
1. Soko la kirumba na barabara za jumla ya 2.3km kuzunguka soko.

2. Barabara ya Buswelu-nyamadoke-Nyamhongolo km 9.5

3.Barabara ya Buswelu-Busenga-cocacola
Hivi hii barabara si ilishajengwa na inatumika? 🤣

Miradi ya Nyamagana au Mwanza cc.
1. Barabara ya buhongwa-kishiri-igoma 14km naona itakuwa njia mbili naona sio fair ukizingatia hii barabara ni sehemu ya ring road ya mwanza.

2. Mradi wa mto mirongo
Nafikiri huu mto unaenda kujengewa kingo, sijui zaidi kuhusu hili

3. Mradi wa soko la samaki la mkuyuni.



Barabara ya national to mkuyuni naona haipo, labda tarura au tanroads waokoe jahazi
Miradi hii inaanza lini kutekelezwa isije kuwa ni porojo tu za kwenye makaratasi.
 
View attachment 2271402
Nimeangalia miradi ya TACTIC mwanza, ilemela ipo 3.
1. Soko la kirumba na barabara za jumla ya 2.3km kuzunguka soko.

2. Barabara ya Buswelu-nyamadoke-Nyamhongolo km 9.5

3.Barabara ya Buswelu-Busenga-cocacola
Hivi hii barabara si ilishajengwa na inatumika? 🤣

Miradi ya Nyamagana au Mwanza cc.
1. Barabara ya buhongwa-kishiri-igoma 14km naona itakuwa njia mbili naona sio fair ukizingatia hii barabara ni sehemu ya ring road ya mwanza.

2. Mradi wa mto mirongo
Nafikiri huu mto unaenda kujengewa kingo, sijui zaidi kuhusu hili

3. Mradi wa soko la samaki la mkuyuni.



Barabara ya national to mkuyuni naona haipo, labda tarura au tanroads waokoe jahazi
Hili soko la samaki mkuyuni ndo litajengwa pake mswahili ambapo asubuhi watu wanaendaga kufanya manunuzi ama?
 
View attachment 2271402
Nimeangalia miradi ya TACTIC mwanza, ilemela ipo 3.
1. Soko la kirumba na barabara za jumla ya 2.3km kuzunguka soko.

2. Barabara ya Buswelu-nyamadoke-Nyamhongolo km 9.5

3.Barabara ya Buswelu-Busenga-cocacola
Hivi hii barabara si ilishajengwa na inatumika? [emoji1787]

Miradi ya Nyamagana au Mwanza cc.
1. Barabara ya buhongwa-kishiri-igoma 14km naona itakuwa njia mbili naona sio fair ukizingatia hii barabara ni sehemu ya ring road ya mwanza.

2. Mradi wa mto mirongo
Nafikiri huu mto unaenda kujengewa kingo, sijui zaidi kuhusu hili

3. Mradi wa soko la samaki la mkuyuni.



Barabara ya national to mkuyuni naona haipo, labda tarura au tanroads waokoe jahazi
Barabara ya national to mkuyuni ipo ,. kwenye bajeti ya wizara ya ujenzi nahisi itapelekwa tarura
 
Miradi ya ESMF for tactic kama ifuatavyo
1.Mbeya imeongoza kupewa miradi 15
2.Dodoma imepata miradi 10
3.Arusha imepata miradi 7
4.Mwanza cc imepata miradi 3.🙏🙏
 
Back
Top Bottom