Mwanza City: The Photo Gallery

nashauri mpost picha ambazo ni recent kwani maeneo mengi yamebadilika, kama ni zamani basi angalau 2yrs back, just an advice
 
Nitajitaid ndugu yangu elungata nifike kolomije ni wap kwa hapo nioneshe ghoropha la kishimba na gwajima na bashite na shigongo

Kalibu sana kibiti mkuu
Kolomije huwezi iona hapo mkuu, ipo wilaya ya Misungwi huko ndani ndani kidogo
 
Kolomije huwezi iona hapo mkuu, ipo wilaya ya Misungwi huko ndani ndani kidogo
Aha kumbe ni bei gan naul kufika huko kolomije ninampango wa kuiona kolomije hata kama ni ndan ndan kidogo
 
Ndio maana nikakwambia wewe ni kiazi, hii thread inazungumzia jiji la Mwanza we unakuja na mambo ya Arusha we mzima kiakili?
Arusha kuna five star hotels sasa inatuhusu nini kwenye thread ya Mwanza City Gallery?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…