Ni jambo zuri lakini, fidia itakuwa kubwa sana mkuu.Mimi nafikiri pamba road ipigwe njia nne
Acha kunirusha roho mkuuππππNa alikuambia yuko single? π€£ π€£ π€£
Wewe una wanawake wengi halafu unataka yeye atulie na wewe tuππAcha kunirusha roho mkuuππππ
Demu wa Kitombile sio wanguππMbona una wasiwasi sana, na umesema unamwamini tulia ndugu.
Mkuu tunachakata sana lakini kuna manzi mmoja tu ambaye hupo na malengo naye, na huyo manzi kwenye picha ndio namalengo naye.Wewe una wanawake wengi halafu unataka yeye atulie na wewe tuππ
Slowly ndo kashachukua no hivyo
Teh teh tehhhh
Haya kaka, tuache hayo tulikuwa tunachangamshana tu, tuendelee na ya hapaMkuu tunachakata sana lakini kuna manzi mmoja tu ambaye hupo na malengo naye, na huyo manzi kwenye picha ndio namalengo naye.
Leteni picha hapa wadau tunashukuru sana!Nyegezi International bus terminal tupeni updates za Machinga complex
View attachment 2425195
Ujenzi wa barabara ya kuingia na kutoka unaendeleajeNyegezi International bus terminal tupeni updates za Machinga complex
View attachment 2425195
Ujenzi wa barabara ya kuingia na kutoka unaendeleaje
Lake zone ni mtakujaNaona madam president anatulipa kisasi watu wa mwanza sasa hv ukiachana na Dar na Dodoma ziara zake nyingi ni arusha huku sijui upepo ni mbaya au anafanya kama mzee baba kwa arusha [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mwanza imekuwa ni sehemu ya kupigia porojo tu ata mimi nilishaona hakuna chochote wanachofanya kwenye masuala ya miundombinu n.kSijaona umuhimu wa Viongozi wakubwa wa Nchi kutembelea Mwanza kila Uchwao kama hawataki kuleta mabadiliko ya kimiundombinu Mwanza, yaani porojo ziletwe Mwanza Maendeleo yapelekwe Dar hapana hii haikubaliki mfano apa kati viongozi wanafanya kubadilishana juzi Kati Rais akaja Waziri mkuu then Makamu wa Rais then sijui nani jana Makamu tena but hatuoni impacts yao katika ujio wao kama hawataki kuboresha barabara zetu wasije kwakweli
Ndio maana sisi wana mwanza huwa hatuna shobo na viongozi wanafiki kama hawa.Sijaona umuhimu wa Viongozi wakubwa wa Nchi kutembelea Mwanza kila Uchwao kama hawataki kuleta mabadiliko ya kimiundombinu Mwanza, yaani porojo ziletwe Mwanza Maendeleo yapelekwe Dar hapana hii haikubaliki mfano apa kati viongozi wanafanya kubadilishana juzi Kati Rais akaja Waziri mkuu then Makamu wa Rais then sijui nani jana Makamu tena but hatuoni impacts yao katika ujio wao kama hawataki kuboresha barabara zetu wasije kwakweli
Ata yeye atamaliza urais ataondoka na Mwanza itaendelea kuwepo.Naona madam president anatulipa kisasi watu wa mwanza sasa hv ukiachana na Dar na Dodoma ziara zake nyingi ni arusha huku sijui upepo ni mbaya au anafanya kama mzee baba kwa arusha ππππ
Na asije kabsaa kama anakuja na hakuna impact asijeee, Mkoa wa Mwanza ulitakiwa kuwa Metropolitan City na sio rural sema Miundombinu inawafanya investors wasiwekeze Maeneo ya Misungwi na KwimbaNaona madam president anatulipa kisasi watu wa mwanza sasa hv ukiachana na Dar na Dodoma ziara zake nyingi ni arusha huku sijui upepo ni mbaya au anafanya kama mzee baba kwa arusha ππππ
Namshangaa sana Angelina Mabula yupo Wizara ya Nyumba lakin hatuoni impact yake Mwanza sasa alitakiwa kuforce Apartments Maeneo ya Sangabuye uko au hata Mabatini, alitakiwa aforce satellite cityAta yeye atamaliza urais ataondoka na Mwanza itaendelea kuwepo.