Mwanza City: The Photo Gallery

Wewe una wanawake wengi halafu unataka yeye atulie na wewe tu😝😝
Slowly ndo kashachukua no hivyo
Teh teh tehhhh
Mkuu tunachakata sana lakini kuna manzi mmoja tu ambaye hupo na malengo naye, na huyo manzi kwenye picha ndio namalengo naye.
 
Ifike mahali rasilimali zisambazwe nchi yote sio kila kitu kinawekwa sehemu moja, Mwanza miradi yote ya barabara ipo kwenye feasibility study miaka nenda rudi hakuna utekelezaji, nahisi baada ya mkoa wa Dar ni Mwanza inafuata kwa wingi wa watu hata geographically hazina tofauti sana 3.6mp vs 5mp apa gap ni kama 200k, kama Mwanza ina idadi kubwa ya watu wanashindwa nini kuboresha huduma za kijamii. Barabara ya Kenyatta ikipanuliwa njia nne mpaka Mwanangwa with BRT wamepata pesa ya kujenga daraja dar bila bajeti kupitishwa ila iyo barabara inasubiri bajeti. Barabara ya Airport Igombe Nyanguge inafanyiwa feasibility study miongo kadhaa sasa huku ni kudumaza maendeleo ya jiji la Mwanza na kuifanya miji mingine kuwa superior kimiundombinu. Sasa wabunge wa Kanda ya ziwa wasiwaache Wabunge wa Ilemela na Nyamagana wapambane peke yao kwani Mwanza ni kioo cha ukanda wetu kwani nikiwa mkoa wowote nikasema natokea Kanda ya Ziwa Mkoa watakao anza kuguess ni Mwanza, Wabunge wapambane Barabara ya Mwanza city centre to Nyanguge 4ways with BRT,barabara ya KenyattaMwanangwa 4ways with BRT, Buhongwa_Igoma 4ways with BRT, barabara ya Airport -Nyanguge 2ways with special barabara kwaajiri ya Mashindano ya baiskeli kwa sababu ni mchezo pendwa kwa Wana Lakezone, Barabara ya Kigongo-Usagara iwe njia nne na flyover iwepo Usagara kwa maana ya junction iliyopo Usagara yaani Usagara-City centre, Usagara-Mwanangwa,Usagara-Kigongo, Usagara-Kisesa
 
Sijaona umuhimu wa Viongozi wakubwa wa Nchi kutembelea Mwanza kila Uchwao kama hawataki kuleta mabadiliko ya kimiundombinu Mwanza, yaani porojo ziletwe Mwanza Maendeleo yapelekwe Dar hapana hii haikubaliki mfano apa kati viongozi wanafanya kubadilishana juzi Kati Rais akaja Waziri mkuu then Makamu wa Rais then sijui nani jana Makamu tena but hatuoni impacts yao katika ujio wao kama hawataki kuboresha barabara zetu wasije kwakweli
 
Now Dar na Mwanza gap kubwa limebaki kwenye uchumi naamini Miundombinu ikiboreshwa na wawekezaji wakapewa uhuru wa kuchagua Mahali pa kuwekeza hakika gap la uchumi litakua dogo
 
Naona madam president anatulipa kisasi watu wa mwanza sasa hv ukiachana na Dar na Dodoma ziara zake nyingi ni arusha huku sijui upepo ni mbaya au anafanya kama mzee baba kwa arusha πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Naona madam president anatulipa kisasi watu wa mwanza sasa hv ukiachana na Dar na Dodoma ziara zake nyingi ni arusha huku sijui upepo ni mbaya au anafanya kama mzee baba kwa arusha [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Lake zone ni mtakuja
 
Mwanza imekuwa ni sehemu ya kupigia porojo tu ata mimi nilishaona hakuna chochote wanachofanya kwenye masuala ya miundombinu n.k
Hii kitu huwa unaniuma sana unaona maneno yanaletwa Mwanza vitendo vinaenda kufanyika Dar.
 
Ndio maana sisi wana mwanza huwa hatuna shobo na viongozi wanafiki kama hawa.
 
Naona madam president anatulipa kisasi watu wa mwanza sasa hv ukiachana na Dar na Dodoma ziara zake nyingi ni arusha huku sijui upepo ni mbaya au anafanya kama mzee baba kwa arusha πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ata yeye atamaliza urais ataondoka na Mwanza itaendelea kuwepo.
 
Naona madam president anatulipa kisasi watu wa mwanza sasa hv ukiachana na Dar na Dodoma ziara zake nyingi ni arusha huku sijui upepo ni mbaya au anafanya kama mzee baba kwa arusha πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Na asije kabsaa kama anakuja na hakuna impact asijeee, Mkoa wa Mwanza ulitakiwa kuwa Metropolitan City na sio rural sema Miundombinu inawafanya investors wasiwekeze Maeneo ya Misungwi na Kwimba
 
Ata yeye atamaliza urais ataondoka na Mwanza itaendelea kuwepo.
Namshangaa sana Angelina Mabula yupo Wizara ya Nyumba lakin hatuoni impact yake Mwanza sasa alitakiwa kuforce Apartments Maeneo ya Sangabuye uko au hata Mabatini, alitakiwa aforce satellite city
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…