Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,608
Sisi Airport kaletwa financial adviser imesimama na ndio mwakilishi wa raisi wa mkoaHaipelekwi Bungeni kabsaa ikitokea bhas ni barabara za mitaaa
Sasa nini kifanyike ili kuweza kuondoa changamoto hzo .....ifike wakati sasa halmashauri zitoe municipal bond ili ziweze kufadhili miradi yakeWatu wengi wnaofikiri Mwanza iko sawa hawako Mwanza, au Kama wako Mwanza Basi hawajatembea mikoa mingine Kama Dar!!!
In short, Mwanza ni Jiji lililotengwa mnoooo. Asilimia kubwa ya kila unachokiona Mwanza ni nguvu ya watu wenyewe.
Hivi kweli hata barabara za mitaa, serikali imeshindwa kabisa yaani????
Pakipigwa njia nne patapendeza sanaKwenye hii video nyegezi pamendeza sana[emoji116]View attachment 2428452View attachment 2428453
We jamaa unazinguaMajaruba Mwanza yamejaa kila Kona, kuanzia Buswelu Busenga,Isela, Nyamhongolo, Kisesa n.k.
Viwanja vilivyo wazi ni vingi sana Buswelu, Nyakato, Kangaye, Nyegezi, Nyamhongolo nk.
In short, ukinunua kiwanja Kuna 98% ukatapeliwa.
Hili nazungumza kwa uzoefu kabisa.
Nambie watu wanaoishi Bukaga Kishiri wanaendaje?
Watu wanaoishi Kitumba Kisesa wanaendaje?
Watu wanaoishi Mwahuli, Bujora Kisesa wanaendaje?
Watu wanaoishi Nyakato National wanaendaje?
Watu wanaokaaa Buswelu, Kuna barabara moja tu baadaye ya hapo ni Bajaj au Bodaboda.
Watu wamejaa mpaka Isela huko wanafikaje?
Malimbe, Luchelele huko?
Hivyo viwanja vinauzwa sh ngapi mkuuIlemela wametangaza ununuzi wa viwanja awamu ya pili Katika mji wa kisasa wa sangabuye fomu ni sh elfu 20 zinapatikana halmashauri na rock city mall unatanguliza advance nusu
Kama uelekeo wa Kitangiri hivi???? pamependeza sana. Kirumba mateja bado wapo????Mtaa wa parokia ya kirumba💥💥
I'm back na energy ya kutosha, vichupa vikali vinakuja
View attachment 2428929
Hapana ila vijana wa kirumba ujuaji mwingi hasa wa maeneo ya monarch[emoji16]Kama uelekeo wa Kitangiri hivi???? pamependeza sana. Kirumba mateja bado wapo????
Kwema? Vipi picha jamani?ila kiukweli barabara ya kenyata imechoka sana kama sio barabara ya jiji kila siku wanaweka viraka tu mashimo balaa
Kesho nakuja huko mjini .nijionee na Mimi ,,ili nitoe tathmni zangu kama mose king [emoji16]Kwema? Vipi picha jamani?
Weekend hii kumepoa sana wadau?
Tunaomba sana update za kutosha mkuu!Kesho nakuja huko mjini .nijionee na Mimi ,,ili nitoe tathmni zangu kama mose king [emoji16]
Inshallah..Hilo lazimaTunaomba sana update za kutosha mkuu!
Jiji la mwanza linakusanya billions kila mwaka, wajenge sio lazima wasubiri serikali kuu, na maji jiji likiamua linaweza kujenga mitambo ya kutosheleza kusambaza jiji lote, nina uhakika hata wanaweza kukusanya zaidi kama wakiwa makiniKiukweli barabara ya kenyata na nyerere zinatakiwa zipanuliwe pia barabara ya airport had nyanguge au kisesa ijengwe hv vibarabara vya buhongwa to igoma na mkuyuni to nyakato zilitakiwa ziwe zimejengwa hata kabla ya magu hajawa Raisi
Nasubiri Mkuu.Kesho nakuja huko mjini .nijionee na Mimi ,,ili nitoe tathmni zangu kama mose king [emoji16]
Jiji gani limejenga barabara?Jiji la mwanza linakusanya billions kila mwaka, wajenge sio lazima wasubiri serikali kuu, na maji jiji likiamua linaweza kujenga mitambo ya kutosheleza kusambaza jiji lote, nina uhakika hata wanaweza kukusanya zaidi kama wakiwa makini
Sio kwa sababu hakuna aliyejenga basi nao haitawezekana, ni kujipanga tuu naamini jiji la mwanza linakusanya billions na kisheria kama jiji wanaweza kukopa au kutafuta grant kufanya miradi yao, kitu kama maji wanaweza kuamua kutenga fedha kila mwaka na kujenga kwa awamu hata miaka 10 kumaliza hilo tatizo, hakuna kisichowezekanaJiji gani limejenga barabara?
Namaanisha barabara kubwa
Jiji lijenge .Kwa mapato Gani . estimate ya Gharama ya barabara Ile si chini ya bilioni 50 ...mapato ya nyamagana ni kama bilion 20 ....ukisema zote uziweke kwenye barabara.sekta zingine jeJiji la mwanza linakusanya billions kila mwaka, wajenge sio lazima wasubiri serikali kuu, na maji jiji likiamua linaweza kujenga mitambo ya kutosheleza kusambaza jiji lote, nina uhakika hata wanaweza kukusanya zaidi kama wakiwa makini
Jiji wana barabara zao wanajenga chini ya TARURA..mfano barabara ya buzuruga meco nyakato....Sio kwa sababu hakuna aliyejenga basi nao haitawezekana, ni kujipanga tuu naamini jiji la mwanza linakusanya billions na kisheria kama jiji wanaweza kukopa au kutafuta grant kufanya miradi yao, kitu kama maji wanaweza kuamua kutenga fedha kila mwaka na kujenga kwa awamu hata miaka 10 kumaliza hilo tatizo, hakuna kisichowezekana