Ila la kuhusu paa kupakwa rangi hasa kwa wakazi wa milimani nilishaenda adi nyumbani kwa mabula, pia nilishawahi kwenda adi kwa mkuu wa mkoa lakini sio likifanyiwa kazi.Mabula na Sima si marafiki.
Ila nimetoa wazo, kwa sasa kabla solution haijapatikana, itungwe sheria hao watu wa milimani wapande miti at least 5 kila familia, pia paa za nyumba zipakwe rangi, jiji wanaweza paka rangi kwa kuwachaji pesa kidogo
Ipo kata ya pasiansi mkuuKwani bwiru ni kata ya wapi . kitangiri au pasiansi?
[emoji16][emoji16]..ndio maana ndugai alisema anaona masufuria milimaniIla la kuhusu paa kupakwa rangi hasa kwa wakazi wa milimani nilishaenda adi nyumbani kwa mabula, pia nilishawahi kwenda adi kwa mkuu wa mkoa lakini sio likifanyiwa kazi.
Kumbe nafanya kazi bureIla la kuhusu paa kupakwa rangi hasa kwa wakazi wa milimani nilishaenda adi nyumbani kwa mabula, pia nilishawahi kwenda adi kwa mkuu wa mkoa lakini sio likifanyiwa kazi.
Zoezi lilifanyika ila sikuona kama limewafikia wakazi wa igogo, bugarika na mabatini.๐๐๐๐Hii ya kupanda miti .sijui iliishia wapi ,, mkuu wa wilaya nilisikia anagawa miti 6000 Kila mtaa ..
Sio kazi Bure ...yeye atachukua wazo lako atalipeleka baraza la madiwani...baraza la madiwani ndio huamua sera na bylaws za halmashauri. mabula anaweza kuridhia lakini madiwani wakagoma..Kumbe nafanya kazi bure
Wakazi wa igogo , mbugani,nyakabungo ,wako pale Kwa muda tu .. serikali inawapimia ,tu kuondolewa kupo pale pale ... magufuli ndio aliwatetea kipind kileZoezi lilifanyika ila sikuona kama limewafikia wakazi wa igogo, bugarika na mabatini.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sijaona fensi ya maana [emoji16][emoji16][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1] hizi picha zote najaribu kutetea hoja yangu nyasaka 90% ya nyumba zake zinafensi
Unaweza kuzunguka mtaa mzima ukakuta nyumba isiyo na fensi ni moja au 4 na bado ni kaliView attachment 2454001View attachment 2454002View attachment 2454003View attachment 2454004View attachment 2454006View attachment 2454007View attachment 2454008View attachment 2454009View attachment 2454011View attachment 2454012View attachment 2454013View attachment 2454014View attachment 2454015View attachment 2454016View attachment 2454017View attachment 2454018View attachment 2454019View attachment 2454020View attachment 2454021View attachment 2454022View attachment 2454023View attachment 2454024View attachment 2454025View attachment 2454026
Alafu hao wakazi wa milimani ata uwape nini hawawezi kutoka hasa hao wa igogo, bugarika, sahara juu na mabatini.[emoji16][emoji16]..ndio maana ndugai alisema anaona masufuria milimani
Kwa fensi kama zile za mwananchi kwa nyasaka ni kila baada ya hatua chache unaozona,ila nilichotaka kuonyesha hapo ni wingi wa fensi nyasaka ndio sehem pekee kwa mwanza 90% ya nyumba zinamaget[emoji1]Sijaona fensi ya maana [emoji16][emoji16][emoji28]
Wapiga kura hao hakuna kitakacho badirika siasa inaitafuna sana mwanza.Kumbe nafanya kazi bure
I'm coming,,,next month...mim sinaga maelezo mengi ,,,nitakuja kupita upya nyasaka, buswelu, bwiru na nyamhongolo ili nijihakikishie nachokiamini .......Kwa fensi kama zile za mwananchi kwa nyasaka ni kila baada ya hatua chache unaozona,ila nilichotaka kuonyesha hapo ni wingi wa fensi nyasaka ndio sehem pekee kwa mwanza 90% ya nyumba zinamaget[emoji1]
Nyumba ambazo wewe unaziona na mansions huku tunafugia kuku[emoji1][emoji1][emoji1]
Wivu tu kama sank farasi๐๐๐๐, leta na wewe mtaa wako tulinganishe.Sijaona fensi ya maana [emoji16][emoji16][emoji28]
Kaka kuna mtu anaitwa Kitombile alituambia huko Nyasaka kuna mini mall inajengwa, alituahidi picha ila kila akienda kabla hajafika anakutana na warembo wa nyasaka badala ya kupiga picha anaanza kufukuzia mademu๐๐๐๐๐[emoji1][emoji1][emoji1] hizi picha zote najaribu kutetea hoja yangu nyasaka 90% ya nyumba zake zinafensi
Unaweza kuzunguka mtaa mzima ukakuta nyumba isiyo na fensi ni moja au 4 na bado ni kaliView attachment 2454001View attachment 2454002View attachment 2454003View attachment 2454004View attachment 2454006View attachment 2454007View attachment 2454008View attachment 2454009View attachment 2454011View attachment 2454012View attachment 2454013View attachment 2454014View attachment 2454015View attachment 2454016View attachment 2454017View attachment 2454018View attachment 2454019View attachment 2454020View attachment 2454021View attachment 2454022View attachment 2454023View attachment 2454024View attachment 2454025View attachment 2454026
Nyamhongolo na shamaliwa zitakuja kwa pamojaI'm coming,,,next month...mim sinaga maelezo mengi ,,,nitakuja kupita upya nyasaka, buswelu, bwiru na nyamhongolo ili nijihakikishie nachokiamini .......
NB .. usisahau picha za nyamhongolo kutuletea ukipata muda
Sank farasi anaweza kukuambia nsalaga imeendelea kuliko capri point, na evidence akakupa๐คฃ๐คฃWivu tu kama sank farasi๐๐๐๐, leta na wewe mtaa wako tulinganishe.
Nyasaka upande wa pisi ni [emoji95][emoji95] sema kuwaona ndio changamoto... Nyasaka ni uzunguni sana ila ukiotea uhakika inakua yako huku tunaupungufu wa vijana[emoji1][emoji1]Kaka kuna mtu anaitwa Kitombile alituambia huko Nyasaka kuna mini mall inajengwa, alituahidi picha ila kila akienda kabla hajafika anakutana na warembo wa nyasaka badala ya kupiga picha anaanza kufukuzia mademu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Je ni kweli ipo inajengwa? Unaweza kutupatia picha?
Usisifie Kwa sababu unakaa hukoNyasaka upande wa pisi ni [emoji95][emoji95] sema kuwaona ndio changamoto... Nyasaka ni uzunguni sana ila ukiotea uhakika inakua yako huku tunaupungufu wa vijana[emoji1][emoji1]
Kuhusu mini mall ipo pale maduka tisa mkono wa kushoto kama unatoka town kuna jengo kubwa hapo linajengwa kwa kasi sana
Picha yake itakuja