AmazingUjenzi wa parokia Nyasaka
View attachment 2477676
Ujenzi unaanza lini wa hii kitu
Naona jukwaa limepoa..
Wapi ,,,...hapaIlemela, Mwanza
Miradi mbalimbali ya residential houses
View attachment 2482624View attachment 2482625View attachment 2482626View attachment 2482627View attachment 2482629
Kata ya ilemela hiyo.Wapi ,,,...hapa
Wow ,,panapendeza sana .Kata ya ilemela hiyo.
Watu wanajenga sana mkuu hapa Mwanza.Wow ,,panapendeza sana .
kwenye daraja hapa mwamba katisha.Naona jukwaa limepoa..
Tujichangamshe kidogo na miradi
[emoji116]
Maendeleo ya daraja la jpmView attachment 2482569
Limekomea floor ya ngapiLile jengo la mtaa wa lumumba nalo wapo kwenye finishing.
Floor tisa ila juu kama kawa wanaweka kijumba kidogo cha kukinga lift, huwa hatuhesabu, na ground floor huwa hatuhesabu.Limekomea floor ya ngapi
Jengo la yule nshomile anajenga kitajiri sana, unene wa nguzo nazani ni 10+ proved, lakini lile la kona ya mwaloni japo wapo floor ya tatu sizani kama linaweza kutoboa floor 7, Ghana ni new CBD panatisha mkuu, na nyasaka inataka kupimana mbavu na capripoint na bwiru kwenye makazi bora.Limekomea floor ya ngapi
Hujadaka hata picha Moja mkuu hapo kwenye hyo miradiJengo la yule nshomile anajenga kitajiri sana, unene wa nguzo nazani ni 10+ proved, lakini lile la kona ya mwaloni japo wapo floor ya tatu sizani kama linaweza kutoboa floor 7, Ghana ni new CBD panatisha mkuu, na nyasaka inataka kupimana mbavu na capripoint na bwiru kwenye makazi bora.
Nataka kupata picha ya hilo jengo la lumumba karibu na mtaa wa karuta, jengo la nshomile, majengo yanayojengwa nyegezi, na ujenzi wa chuo cha DIT, hizi lazima nipate picha zake.Hujadaka hata picha Moja mkuu hapo kwenye hyo miradi
Oh .. itapendeza sana ,,,,vip ujenzi wa hilo jengo hapo karibu na royal hospital..imekuajeNataka kupata picha ya hilo jengo la lumumba karibu na mtaa wa karuta, jengo la nshomile, majengo yanayojengwa nyegezi, na ujenzi wa chuo cha DIT, hizi lazima nipate picha zake.