Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Smart kenyata street
20230111_211934.jpg
20230111_211929.jpg
20230111_211921.jpg
 
Limekomea floor ya ngapi
Jengo la yule nshomile anajenga kitajiri sana, unene wa nguzo nazani ni 10+ proved, lakini lile la kona ya mwaloni japo wapo floor ya tatu sizani kama linaweza kutoboa floor 7, Ghana ni new CBD panatisha mkuu, na nyasaka inataka kupimana mbavu na capripoint na bwiru kwenye makazi bora.
 
Jengo la yule nshomile anajenga kitajiri sana, unene wa nguzo nazani ni 10+ proved, lakini lile la kona ya mwaloni japo wapo floor ya tatu sizani kama linaweza kutoboa floor 7, Ghana ni new CBD panatisha mkuu, na nyasaka inataka kupimana mbavu na capripoint na bwiru kwenye makazi bora.
Hujadaka hata picha Moja mkuu hapo kwenye hyo miradi
 
Nataka kupata picha ya hilo jengo la lumumba karibu na mtaa wa karuta, jengo la nshomile, majengo yanayojengwa nyegezi, na ujenzi wa chuo cha DIT, hizi lazima nipate picha zake.
Oh .. itapendeza sana ,,,,vip ujenzi wa hilo jengo hapo karibu na royal hospital..imekuaje
 
Back
Top Bottom