Mwanza City: The Photo Gallery

Tatizo Barabara ya kuingia na kutoka mjini in moja.Otherwise no mji unaokuja vizuri.
 
Wala huu uzi haulinganishi mwanza na jiji ama mji wowote somen heading kabla ya ku-attack. Ni sawa na dsm ilivyo na uzi wake. Hapa hatupambanishi miji.
 
Hakuna picha nyingine. Uzi ulikuwa bomba sana huu
 
Braza unaonyesha jiji la mwanza au hotel na lodge na bar z mwanza?
 
A town ni kwere huku mastar kibao unaowana kwenye tv washalala tukisema tuanze kutupi hotel ama ma camp site walzolala na gharama zake ni kwere...kina will smith..beckam ma plyer ndo usiseme kina lebron ..n.k acha kbisa kutuma hizo hotel...zako na kuikejel arusha.
 
Hapa hatulinganishi bro. Mi pia naweza kuanzisha uzi wa Arusha na kutupia vitu vya maana.
 
Hujailewa thread inazungumzia nini bro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…