Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,255
Huu mji naupenda Sana. Nadhani hapa hanibandui mtu. 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Mimi😝😝Haha kumbe wewe ndo rock city kiongozi
Huu mradi ulishakufa sidhani Kama bado upo,Lol ndo penyewe kabisa mkuu,clinic opposite na benki kuu.. Kama ni huu mradi itakuwa poa sana
Nimesoma sana post zako. CheeersKuna mradi unaitwa Tampere garden, Nia ni kujenga sehemu za chakula, kuchezea watoto, kupumzikia nk.
Eneo kwa ajili ya Kupumzikia, michezo ya watoto na watu wazima, michezo ya kwenye maji (Water Sports), Hoteli na migahawa nk. Eneo la Tampere
Hii iko mwanzacc.go.tz
Mkuu huko skyscrapercity sisi ndio wakongwe natumia jina la rockcity, siku hizi hatuna taarifa nyingi ndio maana tuko kimya, tuna mpaka group la WhatsApp.
Upo vizuri sana mkuuNdio Mimi😝😝
Halafu mkuu nimeona wanasawazisha hilo eneo,wanachimba hadi ardhini kana kwamba kuna kitu wanataka kujenga...kuna mzee huwa anapita pita pale naye nilimuuliza akasema hajui... Sijui wanajenga nini... Ila kuna siku ntamuuliza yeyote anayehusika pale ntaleta feedback.Huu mradi ulishakufa sidhani Kama bado upo,
Majuzi alikuja tajiri toka uarabuni nafikiri walimzungusha Sana maeneo ila taarifa zote zina usiri mkubwa. Kuna picha nikiipata link yake ntawadondoshea.
Fanya kuulizia kabla hujaondoka tujue nini kinaendeleaHalafu mkuu nimeona wanasawazisha hilo eneo,wanachimba hadi ardhini kana kwamba kuna kitu wanataka kujenga...kuna mzee huwa anapita pita pale naye nilimuuliza akasema hajui... Sijui wanajenga nini... Ila kuna siku ntamuuliza yeyote anayehusika pale ntaleta feedback.
Labda huijui round inayozungumziwa jinsi ilivyo!! Kwenye hiyo round about kuna gari zinatoka sehemu tano tofauti na huwa madereva wanatumia busara zaidi kuachiana nafasi,ila siku kukitokea madereva wehu wawili itatokea ajali mbaya. So lile eneo ni muhimu kuwe na mataa ya kuongozea vyombo vya motoRound hazitakiwi taa mkuu
Tunaeza pata pichaHiyo ya macho iko underconstruction
Siko mza kwa sasa ila nilimsikia mkurugenzi mkuu alisema ujenzi umeanzaTunaeza pata picha
Pasiansi hapa kama sikosei
Lile la BOTmwenye picha ya jengo la pale kona ya kwenda nyakahoja karibu na mto kama unatokea huku kemondo kulia. karibu na bohari ya MSD kama limeisha lile jengo atupie humu picha.
Niliacha linajengwa sijui kama limeisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap hujakosea.Pasiansi hapa kama sikosei
Lishakamilika mkuu nadhani skyscraper city kuna picha zake au aliyenazo anaweza kukuwekea hapa.