Ipo maeneo gani boss?View attachment 1468066View attachment 1468067
Picha ya chini ni wodi ya wanaume , nyamagana District Hospital
BUTIMBAIpo maeneo gani boss?
Hapo namuona diwani wa kata ya nyamgana na wa kata ya mirongo sijui wanainshu gani hapo mkuu?View attachment 1468066View attachment 1468067
Picha ya chini ni wodi ya wanaume , nyamagana District Hospital
Asante mkuu,sikujuaBUTIMBA
Sio la 3 Ni la4 maana lilipewa hadhi ya jiji likavuliwa likaja pewa tenaWe n nguchiro Kwel Arusha na Mwanza wapi na wapi acha unyasa' Mwanza jiji la pili A la 3
Ni suala muda tu hilo haliepukiki hata kidogo.Hahahahahaha Kwanza nataman kisesa na usagara ziingizwe Mwanza City itapendeza mno
Misungwi na Magu hazitakubali mkuuNi suala muda tu hilo haliepukiki hata kidogo.
Mkuu Halmashauri ya Magu na Misungwi zote ni za serikali kuu wala si mtu binafsi hivyo kama serikali kuu ikiona kuna umuhimu (umuhimu huo tayari upo) wa kumega maeneo ya hizo halmashauri za wilaya na kuipa Mwanza jiji hilo jambo litafanyika tu bila kikwazo chochote. Serikali kuu ndio yenye maamuzi ya mwisho juu ya mipaka ya nchi, mikoa wilaya, kata na hata vijiji wengine huku chini ni watekelezaji tu. Hivyo ni suala la muda tu.Misungwi na Magu hazitakubali mkuu
Ila misungwi au sengerema ni suala la muda tu na zenyewe zitaingizwa jijini ili tuwe na manispaa tatu au nne Ilemela,nyamagana,misungwi\sengeremaMisungwi na Magu hazitakubali mkuu
Jiji lina nguvu, itatengenezwa wilaya hapo mpya ikijumlisha Usagara, karomije na Kisesa.Misungwi na Magu hazitakubali mkuu
Kwa Sengerema ni ngumu, Hata hizo Magu na Misungwi ni ngumu pia sema tu kwa Magu na Misungwi zitamegwa sehemu kuuunda wilaya mpya na sio halmashauri za hiyo miji zitaongezwa kuunda jiji. Hayo maeneo yatayomegwa yanatokana na ukaribu wao na jiji kihuduma na si vinginevyo. Tayari Kisesa na Usagara japo kuwa zipo Misungwi na Magu lakini wananchi wa maeneo yao ni rahisi kupata huduma jijini kuliko kuliko Magu au Misungwi mjini.Mkuu Halmashauri ya Magu na Misungwi zote ni za serikali kuu wala si mtu binafsi hivyo kama serikali kuu ikiona kuna umuhimu (umuhimu huo tayari upo) wa kumega maeneo ya hizo halmashauri za wilaya na kuipa Mwanza jiji hilo jambo litafanyika tu bila kikwazo chochote. Serikali kuu ndio yenye maamuzi ya mwisho juu ya mipaka ya nchi, mikoa wilaya, kata na hata vijiji wengine huku chini ni watekelezaji tu. Hivyo ni suala la muda tu.
Hahahahahaha Kwanza nataman kisesa na usagara ziingizwe Mwanza City itapendeza mno
Kwa Sengerema ni ngumu, Hata hizo Magu na Misungwi ni ngumu pia sema tu kwa Magu na Misungwi zitamegwa sehemu kuuunda wilaya mpya na sio halmashauri za hiyo miji zitaongezwa kuunda jiji. Hayo maeneo yatayomegwa yanatokana na ukaribu wao na jiji kihuduma na si vinginevyo. Tayari Kisesa na Usagara japo kuwa zipo Misungwi na Magu lakini wananchi wa maeneo yao ni rahisi kupata huduma jijini kuliko kuliko Magu au Misungwi mjini.