Hicho ndicho nachoongelea, kumega hayao maeneo ya Usagara na Kisesa kuja mwanza jiji.Kwa Sengerema ni ngumu, Hata hizo Magu na Misungwi ni ngumu pia sema tu kwa Magu na Misungwi zitamegwa sehemu kuuunda wilaya mpya na sio halmashauri za hiyo miji zitaongezwa kuunda jiji. Hayo maeneo yatayomegwa yanatokana na ukaribu wao na jiji kihuduma na si vinginevyo. Tayari Kisesa na Usagara japo kuwa zipo Misungwi na Magu lakini wananchi wa maeneo yao ni rahisi kupata huduma jijini kuliko kuliko Magu au Misungwi mjini.
Kuna images nzuri sana kwenye hii video kama kuna mtu mwenye uwezo wa kuzichukua afanye hivyo azitume tena 👐
DUU usikute mnabishana tu majengo myaonayo labda mnaishia tu getiniHivi Mwanza kuna Five stars hotel ? Usiniuluze kama Arusha ipo maana zipo.
Nimeliona kanisa la parokia ya Bugando..dah kitambo sana hapo nilikua nasali
Hebu yaorodheshe hayo majengo 20 ya 10+ floors.Nilichogundua battle ya arusha vs mwanza ndiyo inayofanya threads zivutie na sidhan kama inaweza ikaja kufikia muafaka kwa sababu kwa upande wa investment za serikali mwanza iko juu tunaona hata mall yao imejengwa na serikali ila likija swala la private sector investments arusha imeiacha mwanza usawa wa mbingu na ardhi sio shule, hosptali au hoteli za binafsi za viwango mwanza magorofa ya 10+ hayafiki 10 arusha yako zaidi ya 20
Muhimu lets enjoy both cities kama unaona mji wako ni mzuri kuliko wa mwingine appreciate na mwenzako sababu hakuna mji uko perfect 100%
Watu wa mwanza bhanaHebu yaorodheshe hayo majengo 20 ya 10+ floors.
Kwa hio pale EAC HQ zile ni ghorofa 10+ sio?Watu wa mwanza bhana
Nikwamba huamini eti
Na si 20+ buildings tu zenye 10 plus buildings kuna ofis za kimataifa zaidi ya 10
Kumbuka mahakama ya afrika iko arusha
Eac hq ziko arusha
Tanapa hq zko arusha
Just to mention a few
Inshort usilinganishe mji wa wavuvi na arusha