Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kwa Sengerema ni ngumu, Hata hizo Magu na Misungwi ni ngumu pia sema tu kwa Magu na Misungwi zitamegwa sehemu kuuunda wilaya mpya na sio halmashauri za hiyo miji zitaongezwa kuunda jiji. Hayo maeneo yatayomegwa yanatokana na ukaribu wao na jiji kihuduma na si vinginevyo. Tayari Kisesa na Usagara japo kuwa zipo Misungwi na Magu lakini wananchi wa maeneo yao ni rahisi kupata huduma jijini kuliko kuliko Magu au Misungwi mjini.
Hicho ndicho nachoongelea, kumega hayao maeneo ya Usagara na Kisesa kuja mwanza jiji.
 
photo_editor_ds_1592344328401.jpg
photo_editor_ds_1592344148423.jpg
photo_editor_ds_1592344118101.jpg
photo_editor_ds_1592344081404.jpg
photo_editor_ds_1592343994369.jpg
Image-640_360_20200617T004104.jpg
photo_editor_ds_1592343419475.jpg
photo_editor_ds_1592343369917.jpg
photo_editor_ds_1592343292980.jpg
photo_editor_ds_1592343404446.jpg
 
Wakuu mwenye taarifa ya gold refinery plant inayojengwa huku.Location,Cost na taarifa nyingine. Nimesikia by September itakuwa imekamilika.
 
Nilichogundua battle ya arusha vs mwanza ndiyo inayofanya threads zivutie na sidhan kama inaweza ikaja kufikia muafaka kwa sababu kwa upande wa investment za serikali mwanza iko juu tunaona hata mall yao imejengwa na serikali ila likija swala la private sector investments arusha imeiacha mwanza usawa wa mbingu na ardhi sio shule, hosptali au hoteli za binafsi za viwango mwanza magorofa ya 10+ hayafiki 10 arusha yako zaidi ya 20
Muhimu lets enjoy both cities kama unaona mji wako ni mzuri kuliko wa mwingine appreciate na mwenzako sababu hakuna mji uko perfect 100%
 
Nilichogundua battle ya arusha vs mwanza ndiyo inayofanya threads zivutie na sidhan kama inaweza ikaja kufikia muafaka kwa sababu kwa upande wa investment za serikali mwanza iko juu tunaona hata mall yao imejengwa na serikali ila likija swala la private sector investments arusha imeiacha mwanza usawa wa mbingu na ardhi sio shule, hosptali au hoteli za binafsi za viwango mwanza magorofa ya 10+ hayafiki 10 arusha yako zaidi ya 20
Muhimu lets enjoy both cities kama unaona mji wako ni mzuri kuliko wa mwingine appreciate na mwenzako sababu hakuna mji uko perfect 100%
Hebu yaorodheshe hayo majengo 20 ya 10+ floors.
 
Hebu yaorodheshe hayo majengo 20 ya 10+ floors.
Watu wa mwanza bhana
Nikwamba huamini eti
Na si 20+ buildings tu zenye 10 plus buildings kuna ofis za kimataifa zaidi ya 10
Kumbuka mahakama ya afrika iko arusha
Eac hq ziko arusha
Tanapa hq zko arusha
Just to mention a few
Inshort usilinganishe mji wa wavuvi na arusha
 
Watu wa mwanza bhana
Nikwamba huamini eti
Na si 20+ buildings tu zenye 10 plus buildings kuna ofis za kimataifa zaidi ya 10
Kumbuka mahakama ya afrika iko arusha
Eac hq ziko arusha
Tanapa hq zko arusha
Just to mention a few
Inshort usilinganishe mji wa wavuvi na arusha
Kwa hio pale EAC HQ zile ni ghorofa 10+ sio?
 
Back
Top Bottom