Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kuna maeneo zimesaidia ila kuna maeneo mengine kwa kweli sijaona umuhimu mkubwa wa taa.., hayo maeneo yenyewe sheria za taa muda mwingine hazifuatwi... Unakuta imewaka red hakuna mtu wa kuvuka dereva anasepa hivyohivyo, au imewaka nyekundu ile ya kuzuia watu halafu hakuna gari linalopita mtu anavuka tu... Mfano nilijaribu kupita ile barabara ya mirongo kuelekea u-turn hadi sekou toure,ukiizunguka hiyo barabara na ufupi wake kuna traffic lights maeneo manne!!! Na sio eneo busy sana... Ila labda wana malengo na mipango yao sababu hata maeneo walipoziweka si mabaya;ni maeneo ya shule, kwenye junctions na sehemu wanapovuka watu wengi kama pale dampo...Halafu naziona zikiongezwa kabisa kwan kuona maeneo nikipita naona kabisa kuna uhitaji mfano ile raundi about yenye sanamu ya mti wa wajerumani;kuna uwezekano wakaweka pale kama zile za kona ya bwiru au pasiasi sababu magari yanachanganyana sana pale hadi muda mwingine anakuwepo trafiki.
Ila mimi nikikuta sehemu ya taa pako huru huwa napita tu;siziangalii.
Taa kwenye round wanazingua aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2017-04-28.jpg
 
Huu mji wangetumia advantage ya ziwa na mawemawe kuupamba hakika ungependeza sana... Cheki picha ya mwisho hiyo, nice view.
Sijui hata hawajifunzi miji ya Watu nje Huko...Kuna Lile eneo pale Ukitoka Ilipo GSM unapita Police Marine Kama unaenda Mwaloni lile eneo wangeweka Kama Garden hv wakaweka hata viti tukapata soft drinks na bites ingependeza Sana sio Kama Sasa watu wanalima tu mchicha mule majani yanaota hovyo hovyo tu

Typed Using KIDOLE
 
Sijui hata hawajifunzi miji ya Watu nje Huko...Kuna Lile eneo pale Ukitoka Ilipo GSM unapita Police Marine Kama unaenda Mwaloni lile eneo wangeweka Kama Garden hv wakaweka hata viti tukapata soft drinks na bites ingependeza Sana sio Kama Sasa watu wanalima tu mchicha mule majani yanaota hovyo hovyo tu

Typed Using KIDOLE
Majuzi nilipita ile barabara kuu nilikuwa naelekea rock city....Nikaona pale maeneo ya clinic wanasawazisha lile eneo lililopakana na ziwa kwa trekta.. Sijui nini kinaendelea, ngoja nione wanafanya kitu gani.
 
Kuna forum moja inaitwa city skyscraper wana app android na OS. Kikubwa wanaongelea project za ujenzi mnaweza pata kitu huko. Hilo eneo lilikuwa proposed kwa ajili ya Mwanza International Conference Center (MICC) mnaweza pitia hii link kwa taarifa zaidi MWANZA|INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE|PROPOSED sio mbaya mkifungua na akaunti huko mkawa mnapost na kutupia taarifa mbali mbali za miradi ya ujenzi Mwanza
 
Kuna forum moja inaitwa city skyscraper wana app android na OS. Kikubwa wanaongelea project za ujenzi mnaweza pata kitu huko. Hilo eneo lilikuwa proposed kwa ajili ya Mwanza International Conference Center (MICC) mnaweza pitia hii link kwa taarifa zaidi MWANZA|INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE|PROPOSED sio mbaya mkifungua na akaunti huko mkawa mnapost na kutupia taarifa mbali mbali za miradi ya ujenzi Mwanza
Aisee na mie ni mdau wa huko mkuu..,umenikumbusha sijapitapo siku nyingi ngoja nikatupie jicho.
 
Kuna forum moja inaitwa city skyscraper wana app android na OS. Kikubwa wanaongelea project za ujenzi mnaweza pata kitu huko. Hilo eneo lilikuwa proposed kwa ajili ya Mwanza International Conference Center (MICC) mnaweza pitia hii link kwa taarifa zaidi MWANZA|INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE|PROPOSED sio mbaya mkifungua na akaunti huko mkawa mnapost na kutupia taarifa mbali mbali za miradi ya ujenzi Mwanza
Kuna mradi unaitwa Tampere garden, Nia ni kujenga sehemu za chakula, kuchezea watoto, kupumzikia nk.



Eneo kwa ajili ya Kupumzikia, michezo ya watoto na watu wazima, michezo ya kwenye maji (Water Sports), Hoteli na migahawa nk. Eneo la Tampere
Hii iko mwanzacc.go.tz

Mkuu huko skyscrapercity sisi ndio wakongwe natumia jina la rockcity, siku hizi hatuna taarifa nyingi ndio maana tuko kimya, tuna mpaka group la WhatsApp.
 
Kuna forum moja inaitwa city skyscraper wana app android na OS. Kikubwa wanaongelea project za ujenzi mnaweza pata kitu huko. Hilo eneo lilikuwa proposed kwa ajili ya Mwanza International Conference Center (MICC) mnaweza pitia hii link kwa taarifa zaidi MWANZA|INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE|PROPOSED sio mbaya mkifungua na akaunti huko mkawa mnapost na kutupia taarifa mbali mbali za miradi ya ujenzi Mwanza
Lol ndo penyewe kabisa mkuu,clinic opposite na benki kuu.. Kama ni huu mradi itakuwa poa sana
 
Kuna mradi unaitwa Tampere garden, Nia ni kujenga sehemu za chakula, kuchezea watoto, kupumzikia nk.



Eneo kwa ajili ya Kupumzikia, michezo ya watoto na watu wazima, michezo ya kwenye maji (Water Sports), Hoteli na migahawa nk. Eneo la Tampere
Hii iko mwanzacc.go.tz

Mkuu huko skyscrapercity sisi ndio wakongwe natumia jina la rockcity, siku hizi hatuna taarifa nyingi ndio maana tuko kimya, tuna mpaka group la WhatsApp.
Haha kumbe wewe ndo rock city kiongozi
 
Back
Top Bottom