Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kwa makazi bora kabisa ya kisasa na mengi sio ghorofa mbili zilizopangana buswelu naipa namba moja nyumba kali zilizo buswelu ukizihamishia mbeya,Idodomya na arusha panajaa aisee[emoji3][emoji3]
Mimi buswelu ni zaid ya cbd ya mbeya lakini kuifananisha na developed classic, fantastic, awesome and amazing marvelous place kama capripoint na bwiru ni hatari sana.
 
[emoji3] naona unataka kesho nisifanye kazi za watu niingie location[emoji378][emoji378][emoji378] usije kukimbia
Mim sipo mwanza right now...ila ingia location.nyamhongolo tu ,,uprove wrong...
 
Wrong brother..hili ni chimbo Moja safi .. .unaingia Pale buzuruga mataa Kuna road ya TARURA unashuka nayo kama unaelekea tandabui then unanyoosha nayo kama unaelekea alliance..mitaa ya mbele hapo utaona mambo hayo[emoji867][emoji16]
Nice, Mwanza inakua kwa kasi...
 
[emoji3] naona unataka kesho nisifanye kazi za watu niingie location[emoji378][emoji378][emoji378] usije kukimbia
Au nikusaidie [emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji116]..
20221211_123614.jpg
 
Mimi buswelu ni zaid ya cbd ya mbeya lakini kuifananisha na develope classic, fantastic, awesome and amazind marvelous place kama capripoint na bwiru ni hatari sana.
[emoji28][emoji28][emoji28]make kwanza ncheke
 
Mi sizungumzii quantity,, Nazungumzia quality...ukisema tuangalie quantity capripoint itabidi isiwe ya kwanza ..... nyamhongolo ipo Kama buhongwa.. nyumba nyingi za msouth,,lakin likija suala la makasri ,aka palace ,,,au mansion ..mwananchi ni level nyingine..japo nyamhongolo nayo inakuja ,,tuipe 3 years next maybe
Bado point yako ni dhaifu kijana halafu unaongea kama ukifika tu mwanachi unaona hayo ma mansions?[emoji1] mwanachi eneo kubwa ni uswqzi...... nyamhongolo hakuna uswazi
 
Ata mimi nilikuwa nasema hapa tukibishania quantity basi hakuna wakushindana na buhongwa wala igoma, lakini kwa quality yaan mansions, palaces, castles, bangalows hapa Capripoint, bwiru, isamilo na nyasaka huwez kuziondoa.
Huku juu nimesema kunamaeneo mnayapasifa za bure tu mfano nyasaka mimi naishi nyasaka niwapi nitayapata hayo mabangalows kwa hapa nyasaka?
 
[emoji3] naona unataka kesho nisifanye kazi za watu niingie location[emoji378][emoji378][emoji378] usije kukimbia
Kesho ingia location utupie vitu humu ili mikdde asikusumbue tena kwa maneno bila picha😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom