Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kama Mkoa, Halmashauri za jiji (Ilemela na Nyamagana) hasa wabunge wetu na secratariet ya Mkoa wanahitaji kulifanyia kazi suala la barabara Mwanza kama wanavyofanya kwenye mambo ya elimu / afya / maji. Hata sisi tunalipa kodi kama Dodoma/ Arusha / Mbeya/ DSM
Back in Mwanza, aisee nimepita dodoma kiukweli wametuacha mbali mno kwenye suala la barabara, hivi sisi mbona hatuna barabara na wala hakuna mpango huo kwani wahusika wanafanya kazi gani...kuna vitu vinakasirisha sana
 
Back in Mwanza, aisee nimepita dodoma kiukweli wametuacha mbali mno kwenye suala la barabara, hivi sisi mbona hatuna barabara na wala hakuna mpango huo kwani wahusika wanafanya kazi gani...kuna vitu vinakasirisha sana
Tumsikilize msigwa...saa nane atakuwa na majibu
 
Kama Mkoa, Halmashauri za jiji (Ilemela na Nyamagana) hasa wabunge wetu na secratariet ya Mkoa wanahitaji kulifanyia kazi suala la barabara Mwanza kama wanavyofanya kwenye mambo ya elimu / afya / maji. Hata sisi tunalipa kodi kama Dodoma/ Arusha / Mbeya/ DSM
Mwanza huwa hatupati vile tunavyostahili sijui kwanini? Wabunge wetu kila siku wanalia na barabara miaka zaidi ya 20 lakini majibu wanayopewa kila siku ni kuwa wapo kwenye feasibility study na wanatafuta pesa aseee.
 
Mwanza huwa hatupati vile tunavyostahili sijui kwanini? Wabunge wetu kila siku wanalia na barabara miaka zaidi ya 20 lakini majibu wanayopewa kila siku ni kuwa wapo kwenye feasibility study na wanatafuta pesa aseee.
Me naona wangebalance miji ikawa na hadhi zinazokaribiana sio kila kitu kinarundikwa dar wangeepusha vingi,
 
Me naona wangebalance miji ikawa na hadhi zinazokaribiana sio kila kitu kinarundikwa dar wangeepusha vingi,
Tanzania ipo tofauti sana miji ya nchi nyingine viongozi wamejaa ushamba wa hali juu, angalia kenya, Nairobi na mombasa ata kisumu hakuna tofauti, angalia msumbiji, maputo na beira hakuna utofauti, nenda Afrika kusini majiji yote yanalingana, nenda nchi za ulaya na miji yao nenda Asia na angalia ata America, huu upuuzi upo Tanzania tu wakidhani Tanzania ni Dar tu, wakiendelea kunyonya rasilimali za maeneo mengine kutengeneza jiji moja na CBD moja.
 
Tanzania ipo tofauti sana miji ya nchi nyingine viongozi wamejaa ushamba wa hali juu, angalia kenya, Nairobi na mombasa ata kisumu hakuna tofauti, angalia msumbiji, maputo na beira hakuna utofauti, nenda Afrika kusini majiji yote yanalingana, nenda nchi za ulaya na miji yao nenda Asia na angalia ata America, huu upuuzi upo Tanzania tu wakidhani Tanzania ni Dar tu, wakiendelea kunyonya rasilimali za maeneo mengine kutengeneza jiji moja na CBD moja.
Kweli kaka, yani sijui ni ushamba sijui ni nini yani lile jiji limeshakuwa dogo yani limeelemewa mno kwa nini wasiexpand resources na miundombinu ili watu wasione Haja ya kwenda kusongamana huko! Barabara ya nyerere 25kms tu kuexppand wameshindwa kweli duh
 
Kweli kaka, yani sijui ni ushamba sijui ni nini yani lile jiji limeshakuwa dogo yani limeelemewa mno kwa nini wasiexpand resources na miundombinu ili watu wasione Haja ya kwenda kusongamana huko! Barabara ya nyerere 25kms tu kuexppand wameshindwa kweli duh
Nilimaanisha Kenyatta road
 
Wana msisahau kuriport eneo la tukio MV Mwanza na video kutupia , ma Dr tuko sekoutule tunapig kaz
 
Kweli kaka, yani sijui ni ushamba sijui ni nini yani lile jiji limeshakuwa dogo yani limeelemewa mno kwa nini wasiexpand resources na miundombinu ili watu wasione Haja ya kwenda kusongamana huko! Barabara ya nyerere 25kms tu kuexppand wameshindwa kweli duh
Wanawekeza sehemu moja ndio maana ata GDP ya Tanzania ipo chini sana na tutazidiwa adi uganda.
 
Nilimaanisha Kenyatta road
Mbona barabara ya musoma Huwa hamuipromote wakati yenyewe hata kwenye mpango wa miaka mitano haimo . ukilinganisha na hyo ya Kenyata ambayo imo Hadi kwenye mipango ya bajeti
 
Mbona barabara ya musoma Huwa hamuipromote wakati yenyewe hata kwenye mpango wa miaka mitano haimo . ukilinganisha na hyo ya Kenyata ambayo imo Hadi kwenye mipango ya bajeti
Atleast hiyo ya nyerere inapumua hii nyingine imezeeka na ni nyembamba achilia mbali kuleta sura mbovu kwenye jiji
 
Atleast hiyo ya nyerere inapumua hii nyingine imezeeka na ni nyembamba achilia mbali kuleta sura mbovu kwenye jiji
Hiyo ya Musoma mbona ndio Pana kuliko zote kwa nyerere na Kenyatta
 
Mambo si haya[emoji91][emoji91][emoji116]
1676195719254.jpg
1676195696948.jpg
1676195539736.jpg
 
Back
Top Bottom