nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Weka video hapa usifikiri kila mtu mjinga mwenzio...Kama unabisha hili kapimwe akili kwanza ndiyo urudi hapa
Kwani yule wa CCM aliyetaka bwawa la umeme lisiwepo pale umemuuliza kama anatumia huo umeme?Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Ndio utetezi wa lile kundi lake?Sasa hivi halipo?
Sasa hivi lipo au halipo?Ndio utetezi wa lile kundi lake?
Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Litaondokaje wakati ni mbegu iliyomea?Sasa hivi lipo au halipo?
Au naongea na viroba hapa!
Sio mwendawazimu tu bali mtu mwenye uwendawazimu tayari halafu anatokea tena mchawi akamlogelea mbali.Mtu wa sampuli hii ndiye anaweza kuwasikiliza chadema.Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazimu
Kumjua adui yako unapaswa angalau uwe na nusu ya uwezo wake...Litaondokaje wakati ni mbegu iliyomea?
Hilo unajua ww. Mimi na hayo maccm menzio sipo kabisa.Kumjua adui yako unapaswa angalau uwe na nusu ya uwezo wake...
Nyinyi endeleeni kufata maelekezo...
Halafu kwanini tangu Nape na Januari wawekwe kando thread za kumtukana Magufuli zimepungua..?
Wewe ni CCM ila utakuja kujua kwa kuchelewa...Hilo unajua ww. Mimi na hayo maccm menzio sipo kabisa.
Usiepona hospital yoyote Duniani.Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazimu
Magufuli ndiye Rais bora kuwai kutokea Tanzania.Nitazidi kumuombea mara kwa mara.
Unajua hesabu? Serikali ya Tanzania kuanzia mwaka 1961 hadi 2021 ilikuwa imekopa Trilioni 60 ,Tafuta wastani kwa mwaka.....Serikali ya Bi Kimzikazi ndani ya miaka mitatu imekoa trilioni 30 tafuta wastani kwa mwaka.
Haujaambiwa exchange rate maana tukitaka kukumbushia zamani basi hata nyerere alikuwa siyo mwizi wa mali za umma ,alikuwa hana matumizi yasiyo na kichwa wala miguu hadi anafariki alikuwa na nyumba moja tu msasani tena zile kama za magomeni upande vyumba kati korido.
Nyerere hadi anastaafu alikuwa hana gari ya maana hadi wizara ya Mambo ya nje wakampa Nissan Muranno,alikuwa hana nyumba kwao huko Butiama ikabidi wamjengee na tena akataka aikatae maana ni kubwa kwani yeye tembo?
Ccm hawapendi kuboresha elimu ktk taifa hili maana ujinga ni mtaji wao mkubwa wanaotumia kuendelea kuwa madarakani. Just imagine kuna mtu anaweza kuamini uharo ulioleta hapa 'eti chadema wanapinga maeneleo'Sera ya Chadema wanapinga maendeleo ya vitu kama madaraja,shule hospitali,reli nk ndio maana nasema kuwasikiliza CHADEMA unahitaji kuwa mwendawazimu kwanza
Hawana maana yeyote
Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazimu
Usishangae, chadema haijenga hata ofisi ya makao makuu pamoja na kuwa hai zaidi ya miaka 20!Kwamiaka ccm iliyakaa madarakani hilo daraja lilitakiwa liwelimejengwa mika 20 iliyo pita
Kwani chadema ndio waliotuletea Magufuli (rip)? Wewe acha hizo.Kama huna akili utaona CHADEMA ni kikwazo kwenye maendeleo ya nchi lakini kama unazo five Senses utatambua kuwa bila CHADEMA yote hayo unayoyaona leo usingeyaona.
Km 3.2 kwa 4mins?Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580