Wataandamana hapo kufunga barabaraWalidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Watanzania tutafute maarifa."Tangia mwaka 1961 mpaka 2021 maraisi waliopita yaani watano walikopa takrikani 60Trilioni means ni wastani wa 1 trilioni kila mwaka walikopa ,ila Bibi Kizimkazi na hapa ipo ndani ya miaka mitatu amekopa 30 Trilioni wastani wa 10 Trilioni kila mwaka ,tukimpa miaka mitano au kumi ni kama alivyosema ndugai hii nchi itapigwa mnada" - Twaha Mwaipaya
Wenye vyeti feki hawanaga HojaJikite kwenye hoja acha ushamba na uchawa
Huna hoja Babu mzima unazeeka na upumbavu wako 😂😂Wenye vyeti feki hawanaga Hoja
Afafhali hata Lucas na Ordinary Diploma yake ya CBE 😄😄
Kipindi cha Magufuli Chadema waligeuka kuwa wapingaji wa miradi yote nakukumbusha hiloUmeshindwa kuelewa CHADEMA wanalipa kodi pia
Bila shaka umezaliwa kuanzia 2000,siyo kosa lako na historia ya nchii huijui.
Watanzania tutafute maarifa.
Unafaham Tsh Trillion 10 ya Leo ni USD ngapi?
Na Trillion 1 ya 2010 ilikuwa Sawa na USD ngapi ?
Uko sahihi 100%,samahani kama nitakuwa nimekukwaza ndugu yangu,unajua lugha za kejeli za vijana wenzio zinasababisha tuwape ukweli kwa kutumia historia.Vijana wengi wanaona marais wote wanne waliotangulia kabla ya Awamu ya Tano hakuna walichofanya ila baada ya Awamu ya Tano ndiyo nchi imejengwa.Mnatuonea sana vijana 2000 mtoto akinyea mkono usiukate mwelekeze Ata kuelewa kutulaumu siyo solution hakuna aliyezaliwa anajua hapa Duniani wote tunajifunza umri wangu ni miaka 24 tu naomba kuwasilisha
Kwani hela zilizojenga chadema hawakulipa kodi ili kuwezesha upatikaji wake?Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Tunapenda mtueleweshe sema amani sana mkuu tuko pamojaUko sahihi 100%,samahani kama nitakuwa nimekukwaza ndugu yangu,unajua lugha za kejeli za vijana wenzio zinasababisha tuwape ukweli kwa kutumia historia.Vijana wengi wanaona marais wote wanne waliotangulia kabla ya Awamu ya Tano hakuna walichofanya ila baada ya Awamu ya Tano ndiyo nchi imejengwa.
Tatizo lilipoanza kujengwa na mwenye uthubutu watu walipinga sana. Ndio wanakumbushwa hapa.Kwamiaka ccm iliyakaa madarakani hilo daraja lilitakiwa liwelimejengwa mika 20 iliyo pita
Umekurupuka! Niliemquote alikuwaanazungumzia samaki na hilo daraja ...nilichomwambia samaki kusafirishwa hakuhusiani na hilo daraja. Jaribu kuwa muelewaHuelewi unaongea nini wewe hilo daraja kiungo muhimu mno Afrika mashariki kwa wa magari ya Uganda,Rwanda ,Burundi ,kongo na Kenya na Tanzania
Hilo daraja ni International bridge sio local bridge hilo nenda hapo darajani uone namba za magari zinapita hapo na namba zao za nchi gani ni International bridge
Tunapenda mtueleweshe sema amani sana mkuu tuko pamoja
Alone SexlessWalidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Sasa Chadema wanahusika vipi hapo mkuuu.Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Makamanda gani hao ambao wakiona mtutu wa polisi wanajichimbia makanisani au wanakimbia nduki.Makamanda ni wa kuonea huruma aisee
Sasa hivi halipo?Angeteka watu na lile kundi lake la watu wasiojulikana?