DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Vyuma!HUYU JAMAA SIJUI KAPAGAWA NA NINI!!MTU MZIMA ILA ANA AKILI ZA KITOTO.
Au atakuwa karogwa au ana radhi ya wazazi
Kumbe ni mwalimu wa sekondari aisee hivi huwa anafundisha kitu gani au yuko ofisini tu.duh! haya
Yeye mwenyewe ndie athibitishie polisi Kama ni chizi au LA polisi wanedelee na kumfungulia kesi.Asigharimu serikali.Hata nabii Tito polisi walitakiwa waendelee tu na kesi Yeye nabii Tito ndie athibishe kama ni mwehu au ana akili timamuKabla ya kumfungulia mashtaka wampeleke kwanza milembe wakampime akili, anaweza kuwa na tatizo kama la nabii Tito
Ni kweli lkn me nimefanya hv kuwaonyesha watu wa jamii forums ambao hawajakiona alichifanya kisandu,mana wengine wangeanza kumteteaCybercrime!Kusambaza meseji kama hizi hakukawii kukuingiza matatani!
Hahahahaaa deo bhana, amebakia misiba na ngamiaYeye mwenyewe ndie athibitishe Kama ni chizi au LA .Asigharimu serikali
Mi mwenyewe ndo nimeona kilichomtia nguvuni asee nilikua sijaona hiyo post yake!Lakini usije kushangaa uko mbele ya kamera na kamishna wa polisi unauzishwa sura!Ni kweli lkn me nimefanya hv kuwaonyesha watu wa jamii forums ambao hawajakiona alichifanya kisandu,mana wengine wangeanza kumtetea
Alisema atatoa nyimbo 2, wamuachie bana amalizie kazi studio!