nunca de creer
Member
- Jan 17, 2018
- 64
- 75
Ukiangalia post zake , ni MTU anayehitaji msaada.
Ana shida.Always paranoiac, grandiosity za kufa MTU.
Anahitaji tiba.
Ana shida.Always paranoiac, grandiosity za kufa MTU.
Anahitaji tiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo awe anatukana watu na kukashifu dini za watu tuwe tunamuangalia tu sio?Hiki ndo kilichobaki tu hapa tanzania wenzetu wao wapo level nyingine za kurusha satelite angani sisi tumekomaa na mitandao,Tanzania hapa tuna wanasayansi lakini sijawahi sikia walichokifanya cha maana Taifa likajivunia,ila "twente tu"in wasukumas voice naamini tutafika tu kwa upuuzi wetu huu
Hivi hayo matusi ni ya kuyachukulia poa au hujaona matusi anayoyatua aisee si ya kupuuza hatahii serikali kwann wanahangaika na vitu vidogo ,huyu kisandu hapa jf tunampuuziaga tu nyuzi zake tunazisoma just for funny ,wao kwann wanashindwa kumpuuza tu
Nenda kamtazame fb alivyodhalilisha dini za watu na kumtukana mpaka.rais.Deo wanamuonea sana
Sema siku hizi sifungui nyuzi zake hovyo hovyo maana naweza nikaanza kucheka mpaka nikashangaza watu
Lakini amewahi kulalamika hapa jf kwamba account yake ya fb imedukuliwa![]()
Huu ujingaa ndo umempelekaa ndo akadakwa na vijana wa siro..
Kamtukana na kumdhalilisha rais.Matusi gani kaandika ,toa mfano
Anyongwe tu ikiwezekana.[HASHTAG]#Freedeokisandu[/HASHTAG]
Si kidogo mkuu, du Tena mwalimu. Ati iwe jamani.iigwweeeeeeeeeeeeee
bwahaaaaaaa daaahh huyu Jamaa kweli center bolt imecheza aiseee
yaaani hapo niliposikia kuhusu hiyo taaluma yake ndio nikachoka kabisaSi kidogo mkuu, du Tena mwalimu. Ati iwe jamani.