Miaka Zaid ya 30 mnaZungumzia habari za viwanja wakati CCM ilishavuka na kupita habari hizo, kweli Chadema imechoka na kupoteza muelekeo kabisa, haina dira Wala muelekeo.
Kazi kutafuna Ruzuku na michango yote, Fedha za join the chain mmezitafuna yote na hapo Tena mnataka muanzishe upigaji mwingine, Hizo laki tatu mnapeleka zote mifukoni mwenu Kama kawaida yenu
Ilijenga yenyewe, Kwa hiyo nyie mnataka mjengewe ofisi na nani
Wanazungumzia matundu ya choo aibu sanaCHADEMA imeanza lini kupata ruzuku? Ruzuku wanapata kiasi gani Kwani?? Mbona nyie tangu tupate u huru mnaongoza na hadi leo mnaongelea habari za kuleta maji na uneme? Kila awamu ahadi ni hizo hizo tu
CCM inazaliwa naiona.Miaka Zaid ya 30 mnaZungumzia habari za viwanja wakati CCM ilishavuka na kupita habari hizo, kweli Chadema imechoka na kupoteza muelekeo kabisa, haina dira Wala muelekeo.
Kazi kutafuna Ruzuku na michango yote, Fedha za join the chain mmezitafuna yote na hapo Tena mnataka muanzishe upigaji mwingine, Hizo laki tatu mnapeleka zote mifukoni mwenu Kama kawaida yenu
Yaani hawa jamaa ni Simba waliotengenezwa kwa barafu, halafu wako jangwaniHata Mimi nimeshangaa