Mwanza inapokea 10% tu ya mizigo kutoka Dar huku Kigoma ikipokea 41% ya mizigo. SGR ya Mwanza ni White Elephant project

Wanafikiri bandari ya KG inapeleka mizigo DRC, Rwanda, Burundi hadi UG. Hawaelewi hata kwa nini Isaka inaitwa Bandari kavu. Huyo jamaa hajui logistic za kanda ya ziwa na magharibi. Anatakiwa ajue pia kuna mizigo kwenda DRC na Zambia inapita Katanga Bay, Sumbawanga na siyo Kigoma.
 
Sawa! Haitawezekana mradi wowote uungwe mkono kwa asilimia mia moja.Lazima watu kama wewe muwepo.Ila hilo halitazuia mradi husika kusimama.
Mkuu drone kwan huyo mshikaji umeshamsahau huwa yupo against Mwanza, sasa kigoma( Burundi) kuna uchumi gani kule kulinganisha na kanda ya ziwa? Au tunajenga reli kwaajili ya kusafirisha bidhaa tu nje ya nchi na sio kwa mahitaji yetu ya ndani?
 
Itaanzia huko ili kuongeza hiyo tija. Mbona unakuwa mchimvi?
 
BIG UP
 
Reactions: tyc
Mtoa post unazani sgr Mwanza to Isaka itawanufaisha tu wana kanda ya ziwa? Au unazan mizigo haitaenda kenya, uganda na Rwanda? Unazani kuwa Sumbawanga hawaitaji sgr na wakati huko ndio kuna boda nzuri ya kwenda Congo, Unataka sgr iende Kigoma ili isafirishe mawese kati ya kigoma na dar? Kila kitu kinachofanyika ni kwa manufaa ya taifa kwanza, na je unajua population ya kanda ya ziwa? Unajua uchumi wa kanda ya ziwa kitaifa? Nakushauri acha chuki za kijinga angalia vitu vyenye masilahi kwa taifa kama hutaki sgr iende Mwanza hama nchi au kavunje huo mradi.
 

..inabidi pia kuangalia UFANISI wa bandari ya Kigoma pamoja na meli za mizigo.
 
Huo ni uvivu wa kufikiri na choyo kilichopindukia,population ya watu wa Kanda ya Ziwa ni kubwa mno,pili wana mifugo mingi,tatu kuna madini ya kutosha,nne kuna Ziwa Victoria ambalo ni ziwa kubwa Afrika yote,uzalishaji wa Kanda ya Ziwa huwezifananisha na Kigoma,vile usalama Kanda ya Ziwa kumetulia kuliko Kigoma,kuna mambo muhimu ya kujadili,hili lako mtoa hoja ni chuki binafsi kwa Mwanza na si vinginevyo.
 
Umenena vyema mtu wa Mungu,si kila kitu tukosoe Tanzania ni yetu sote tuwe wazalendo wa kweli,tuache chuki na unafiki wa kikanda.
 
Kigoma ni km 158. Usiogope tutajenga. Mwanza na isaka kuna mzigo wa kutosha sana. Rwanda na DRC Kusini na Uganda pia
 
Na ambayo inashuka moro, Dodoma,Tabora,Kahama,Shinyanga,Simiyu,Mara ni asilimia ngapi?hizi akili za kilaza Zitto zishindwe
Umeambiwa Kigoma inapokea 41% ya mizigo yote inayoshuka bandari ya Dar.
 
Hahaha
Hapo ndo kwenywe aisee
Mwanza imeendelee hata kabla ww hujazaliwa 😃😃
 
Ndo maana ya kuweka miundombinu ya ziada inajengwa meli ya mizigo, daraja la JPM ili demand upande .mh Raisi ulimsikiliza ama ulienda kutafuta kuni. Alisema Mwanza ni mji wa kimkakati katika region
Bongo lala huyo haelewi kitu
Kakaaa kichuki chuki tu
 
BOT ina branch Mwanza miaka mingi tu iliyopita na jengo liko Nyerere road. Jengo lililofunguliwa juzi ni kuongeza huduma kutokana na mahitaji kuwa makubwa
 
Wewe mburula kanda ya ziwa si Mwanza tu kuna Kagera, Mara Geita Simiyu na Shinyanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…