Mwanza inapokea 10% tu ya mizigo kutoka Dar huku Kigoma ikipokea 41% ya mizigo. SGR ya Mwanza ni White Elephant project

Mwanza inapokea 10% tu ya mizigo kutoka Dar huku Kigoma ikipokea 41% ya mizigo. SGR ya Mwanza ni White Elephant project

Kwa hiyo ipi yenye tija ? Hiyo 10% au 41%?
Karibia miaka 60 ya Uhuru kigoma haijaunganishwa na barabara ya lami, ebu jiulize kwanini unatoka dar-Mwanza hadi musoma kwa lami au Dar-Mwanza hadi kagera kwa lami lakini huwezi kutoka Dar-kigoma kwa lami?! Sasa kama kwenye barabara tu hawakuipa umuhimu kigoma dhidi ya Mwanza kwa nini waipe umuhimu kwenye reli. Kwa taarifa yako kuna mizigo mingi tu ya ndani inayokuja kanda ya ziwa zaidi ya mara sita ya mizigo ya ndani inayoenda kigoma, kumbuka hii reli hatuwajengei wakongo bali tunajijengea watanzania ili kurahisisha usafirishaji wananchi wapate bidhaa mbalimbali kwa bei rahisi, hivyo basi ukipeleka reli Mwanza watafaidika wananchi wengi zaidi kuliko kigoma.
 
Karibia miaka 60 ya Uhuru kigoma haijaunganishwa na barabara ya lami, ebu jiulize kwanini unatoka dar-Mwanza hadi musoma kwa lami au Dar-Mwanza hadi kagera kwa lami lakini huwezi kutoka Dar-kigoma kwa lami?! Sasa kama kwenye barabara tu hawakuipa umuhimu kigoma dhidi ya Mwanza kwa nini waipe umuhimu kwenye reli. Kwa taarifa yako kuna mizigo mingi tu ya ndani inayokuja kanda ya ziwa zaidi ya mara sita ya mizigo ya ndani inayoenda kigoma, kumbuka hii reli hatuwajengei wakongo bali tunajijengea watanzania ili kurahisisha usafirishaji wananchi wapate bidhaa mbalimbali kwa bei rahisi, hivyo basi ukipeleka reli Mwanza watafaidika wananchi wengi zaidi kuliko kigoma.
Hiyo pande haina wanasiasa au wataalamu wenye ukabila au wanaovutia mambo kwao ndio maana yamewakuta hayo.

Kwani huoni reli ya mkoloni iliwahi kufika Kigoma kabla ya Mwanza?

Hata nyie wasukuma wa huko bila yule jamaa kujipendelea kwao hilo daraja, airport, hospital,reli nk mungeishia kuviona Dar na Arusha tuu.

Tzn hii mambo yanaenda.kikabila,kama hamna watu wenye akili kwenye system mtasalia hivyo hivyo.Unaweza ona Magu alivyohawanya mahalmashauri ,mikoa nk huko Kanda ya Ziwa

Kwa hiyo maamuzi hayajali uhalisia bali yanajali nani wa kwetu yuko kwenye nafasi ya maamuzi aweze kupendelea.
 
Ndo maana ya kuweka miundombinu ya ziada inajengwa meli ya mizigo, daraja la JPM ili demand upande .mh Raisi ulimsikiliza ama ulienda kutafuta kuni. Alisema Mwanza ni mji wa kimkakati katika region
 
Wakuu mnogage.

Kwa mujibu wa BBC ikimhoji mtaalam wa Uchumi imebainika kwamba mzigo unaoingia bandari ya Dar es Salaam kuelekea Nchi za jirani via Central corridor ni asilimia 10% tu ya mzigo huo unaelekea bandari ya Mwanza wakati asilimia 41% huelekea bandari ya Kigoma.

Cha kushangaza imekuaje reli ya SGR ijengwe kuelekea Mwanza? Wananchi wa nchi hii tunazidi kubebeshwa mizigo ya misumari Kisa maamuzi ya kisiasa.Mpaka hapo tunazika pesa na kuzalisha white elephant project,very sad.
Nadhani na Uganda wataanza kuchukulia mizigo Mwanza badala ya Dar
 
Hiyo pande haina wanasiasa au wataalamu wenye ukabila au wanaovutia mambo kwao ndio maana yamewakuta hayo.

Kwani huoni reli ya mkoloni iliwahi kufika Kigoma kabla ya Mwanza?

Hata nyie wasukuma wa huko bila yule jamaa kujipendelea kwao hilo daraja, airport, hospital,reli nk mungeishia kuviona Dar na Arusha tuu.

Tzn hii mambo yanaenda.kikabila,kama hamna watu wenye akili kwenye system mtasalia hivyo hivyo.Unaweza ona Magu alivyohawanya mahalmashauri ,mikoa nk huko Kanda ya Ziwa

Kwa hiyo maamuzi hayajali uhalisia bali yanajali nani wa kwetu yuko kwenye nafasi ya maamuzi aweze kupendelea.
Uwanja wa ndege umeanza kujengwa kipindi cha jamaa?! Hospital kubwa ya pili TZ baada ya muhimbili imejengwa kipindi cha jamaa, manispaa ya ilemela ndani ya jiji la Mwanza imeanzishwa katika uongozi wa jamaa?!
Magu kaongoza miaka mitano tu na kakuta Mwanza ishaunganishwa na barabara za lami, sasa mbona hao marais wengine hawakuona umuhimu wa kigoma?! Eti reli ya mkoloni ilianzia kigoma! Kwa akili yako mkoloni alijenga reli kwa ajiri ya wananchi?! Nijibu
 
Good analysis. Now lets dig deeper.
Katika hizo Tani 3.4m za Congo only Tani 136,573 zilihudumiwa na badari ya Kigoma ktk huo mwaka 2017/18 sawa na 4%. Means 96% ya mizigo ya Congo ilipita Isaka to Congo via kigali kwa kutumia njia ya barabara.
What does that tells you?
Kigoma or Isaka?

..Nadhani ni kwasababu barabara ya kuelekea Kigoma ni mbaya kulinganisha na barabara ya kuelekea Rusumo / Rwanda.
 
Ni vizuri kufanya analysis ya Takwimu unazotoa.

Kuna uwezekano hiyo ndio GDP ya eneo tajwa lakini huo uchumi ukawa unazunguka mikoa ya jirani na ndani ya mkoa ila ukawa hauhusiani na maeneo mengine ya mbali.

Ukichambua vizuri utakuta volume ya biashara Kati ya Dar na Mwanza ni ndogo kuliko Mwanza na mikoa jirani,hata mizigo mingi ya ku export na ku import kuja lake zone inapitia Bandari ya Tanga na Mombasa kuliko Dar ndio maana figures zinasomeka 10%

Kwa mantiki hiyo kulikuwa hakuna haja ya connectivity ya sgr kwa sasa badala yake ingeenda kule ambako ingeleta tija.Ningekuwa mimi ndio naamua ningejenga express way Kati ya Mwanza-Singida-Tanga,Mwanza-Singida-Dar alafu sgr ningeipeleka Kigoma au njia Mbeya
Huu unchumi wako uliusomea wapi? Maana nahisi tatizo lako ni Mwanza wanaishai wasukuma na siyo Mwanza kama fursa ya kuchochea uchumi.
Analysis ya kiuchumi haifanywi kwa kuangalia kigezo kimoja tu, asilimia ya mizigo inayoenda Kigoma vs Mwanza. Analysis yako ninaweza kuwa sahihi kwa upande mmoja lakini haitoshi kufikia conclusion.
Mwanza imechukuliwa kama fursa (opportunity) ya kufikia UG. DRC wanatumia bandari yetu tu tunahitaji kuwaboreshea mazingira lakini UG tayari wana alternative ya kutumia Bandari za Kenya, kwa hiyo ni lazima tuwe strategic kuhusu kukamata Soko la huko completely. Challenges ya kuifikia hiyo fursa ni miundombinu yetu (internal challenge) na mpinzani wetu Kenya (external challenge). Kukamata soko la UG kunahitaji mikakati kadhaa, mojwapo lililo ndani ya uwezo wetu ni kuweka miundombinu mizuri ya kufika huko. Hukuona mpambano kwenye Bomba la Mafuta la Hoima? Kenya walitaka lipite kwao na Sisi tukaenda kufanya yetu, likapita kwetu. Tukifungua fursa ya Uganda, huoni kuwa kuna possibility ya kufika pia nje ya Uganda?
Kuhusu DRC, hakuna nchi tunashindana nayo ku win soko lao. Tukifika Isaka, bado ni rahisi kutoa mzigo bandari kavu kupeleka nchi tofauti bila kufika Kigoma, na inawezekana si nchi zote zinahitaji kupita Kigoma.
Kwa nini Mkapa alijenga barabara kwenda Mwanza tena hadi Bukoba via Geita na siyo Tabora hadi Kigoma? Je alikuwa alitokea Kanda ya Ziwa?

Bado hapo hujaongelea jinsi ambavyo Mwanza inaunganisha kirahisi mikoa yote ya Kanda ya Ziwa, Shy, Mara, Geita, Kagera, Simiyu.

Aisee Mwanza/ kanda ya Ziwa walikutenda nini kwenye maisha yako kiasi umeamua kuwaweka moyoni kwako kama mpenzi uliyemfumania? Yes, mnamchukia Magu, Huwezi kutetea hoja bila ku attack wasukuma na personalities zao? Hiyo inaonyesha ni jinsi gani ulivyo weak person ndio sababau unahisi huwezi kujenga hoja na ikakubalika bila kuwadharau wengine kwanza.
 
Tuseme ulichosema ni kweli je hujiulizi kwanini mpaka leo miaka 60 Kigoma ni mkoa pekee michache iliyobaki haina barabara za uhakika? juzi umesikia Mwanza BOT wamefungua branch pale sababu mikoa ya kule inachangia 25%. kama nilivyosema itakuja kufika kote huko kwa sasa wenye malory ya mizigo au bidhaa za Congo badala ya kuchukulia Dar watakuja hapo Isaka tu na kupeleka Congo hizi ndio fursa zitaletwa na SGR kama dry port mambo mengi yatakuja kwa fursa. feasibility study imefanyika inaweza kuwa ni rahisi mizigo kuchukuliwa Isaka to Congo badala ya kupeleka reli Kigoma lazima tuwaamini waliofanya study na zaidi hata watoa mikopo wanapitia study hizi ili kupitisha mikopo yao kwa kujuwa unafungua fursa katika uchumi. Tuipeni nafasi SGR mimi naamini ni kitu bora kabisa na itapunguza gharama za kurekebisha barabara zetu. Kama tunahoji hili la SGR kwenda Mwanza tungehoji barabara pia kwenda Mwanza kwanza kabla ya Kigoma hapo ingeleta logic.

..hata mimi nilikuwa na mawazo kama yako.

..kwamba sgr ifike Isaka Dry port halafu tuangalie kama inalipa kuielekeza Rusumo, Mwanza, au Kigoma.

..vilevile ningependelea ujenzi wa kipande cha Makutopora - Tabora - Isaka uanze au ukamilike kabla ya kipande cha Mwanza - Isaka.

..Zaidi nimeshangaa kwanini serikali imekarabati reli ya Tanga Kilimanjaro Arusha badala ya kukarabati reli ya TAZARA. Hivi ni nani aliwahi kusikia Kilimanjaro na Arusha wanaomba reli ifufuliwe?
 
Na ambayo inashuka moro, Dodoma,Tabora,Kahama,Shinyanga,Simiyu,Mara ni asilimia ngapi?hizi akili za kilaza Zitto zishindwe
Kama mizigo 100% inatoka Dsm halafu 41% na 10% zinafika Kigoma na Mwanza (total 51%), huwezi kuona jibu la swali lako? Halafu unamwita mwenzako kilaza, wa bongo bwana!!
 
..Nadhani ni kwasababu barabara ya kuelekea Kigoma ni mbaya kulinganisha na barabara ya kuelekea Rusumo / Rwanda.
Kutoka Tabora hadi kigoma Kipande pekee cha barabara ambacho hakina lami ni km 41 za kutoka Kazilambwa(Tabora) kwenda Chagu(Kigoma).....

While barabara ya Isaka to Rusumo kipande kibovu ni kile cha Rusahunga-Rusumo chenye 92km.

We unadhani kwann wana prefer kupitisha 96% ya mizigo ktk km 92 mbovu za barabara ya Isaka-Rusumo over 4% ya mizigo ktk 41km mbovu ya Tabora kigoma?
 
Miradi ya kipuuzi na isiyo na tija kama hii hata kwa wanaoishabikia sio ya kuipelekea pesa.

Hivi huko serikalini kuna watu kweli wanaofikiria? Yaani baada ya kukamilika waanze tena kutuongezea kodi eti kulipia kujiendesha? Huu ni wehu
mamaaa...! jinyonge😂😂
 
Back
Top Bottom