Tungeomba watu waje na data zinazoonyesha mizigo ya ndani toka Mwanza ni ipi hasa ukilinganisha na Kigoma. Pili je unafikiri kufikiria nchi za nje/majirani ni kosa? Ukiwa mchumi huwezi kuacha kufikiria nchi jirani ili uweze kuendesha reli yako ya umeme. Tulisitazame kikanda tulitazame kiuchumi zaidi.