Mwanza inapokea 10% tu ya mizigo kutoka Dar huku Kigoma ikipokea 41% ya mizigo. SGR ya Mwanza ni White Elephant project

Mwanza inapokea 10% tu ya mizigo kutoka Dar huku Kigoma ikipokea 41% ya mizigo. SGR ya Mwanza ni White Elephant project

Wakuu mnogage.

Kwa mujibu wa BBC ikimhoji mtaalam wa Uchumi imebainika kwamba mzigo unaoingia bandari ya Dar es Salaam kuelekea Nchi za jirani via Central corridor ni asilimia 10% tu ya mzigo huo unaelekea bandari ya Mwanza wakati asilimia 41% huelekea bandari ya Kigoma.

Cha kushangaza imekuaje reli ya SGR ijengwe kuelekea Mwanza? Wananchi wa nchi hii tunazidi kubebeshwa mizigo ya misumari Kisa maamuzi ya kisiasa.Mpaka hapo tunazika pesa na kuzalisha white elephant project,very sad.
Hayo mambo ya % ya mizigo acha nayo, mzee ali taka SGR ikatoe ushamba huko kwao
 
Wakuu mnogage.

Kwa mujibu wa BBC ikimhoji mtaalam wa Uchumi imebainika kwamba mzigo unaoingia bandari ya Dar es Salaam kuelekea Nchi za jirani via Central corridor ni asilimia 10% tu ya mzigo huo unaelekea bandari ya Mwanza wakati asilimia 41% huelekea bandari ya Kigoma.

Cha kushangaza imekuaje reli ya SGR ijengwe kuelekea Mwanza? Wananchi wa nchi hii tunazidi kubebeshwa mizigo ya misumari Kisa maamuzi ya kisiasa.Mpaka hapo tunazika pesa na kuzalisha white elephant project,very sad.
Kwani SGR ni mizigo tu hakuna huduma ya abiria? kwa hoja hii unasema kama mkoa una mchango mdogo kiuchumi basi hawastahili kujengewa barabara ya lami kwa kuwa haichangii kiasi kikubwa. Hoja nadhani dhaifu SGR ni huduma na ikianza itafungua fursa nyingi na kama mizigo ilikuwa 10% unaweza kuvutia 40% kikubwa itaunganisha nchi kama tunavyounganishwa na barabara mikoa yote bila kujali ukubwa wa mkoa. Sio kila jambo kupinga tu huu mradi haukuanza awamu ya 5 huko nyuma ulifanyiwa kazi ni hali ya kifedha tu serikali haifanyi biashara ila inajenga miundombinu kutoa huduma na kuchochea fursa za kiuchumi. SGR na perfect service. Ndio maana wakoloni walijenga reli miaka hiyo sisi tunajenga ya kisasa.
 
Kwani SGR ni mizigo tu hakuna huduma ya abiria? kwa hoja hii unasema kama mkoa una mchango mdogo kiuchumi basi hawastahili kujengewa barabara ya lami kwa kuwa haichangii kiasi kikubwa. Hoja nadhani dhaifu SGR ni huduma na ikianza itafungua fursa nyingi na kama mizigo ilikuwa 10% unaweza kuvutia 40% kikubwa itaunganisha nchi kama tunavyounganishwa na barabara mikoa yote bila kujali ukubwa wa mkoa. Sio kila jambo kupinga tu huu mradi haukuanza awamu ya 5 huko nyuma ulifanyiwa kazi ni hali ya kifedha tu serikali haifanyi biashara ila inajenga miundombinu kutoa huduma na kuchochea fursa za kiuchumi. SGR na perfect service. Ndio maana wakoloni walijenga reli miaka hiyo sisi tunajenga ya kisasa.
Wewe biashara ya reli Ili iwe na faida lazima mizigo iwe mingi,kwa abiria inakuwa ni huduma
 
Hujui kitu wewe utopolo kwani unajua Kanda za Ziwa inachagia kiasi gani katika uchumi wa TZ?
Baada ya kilimo cha Pamba kufifia, na Wafugaji wa Ng'ombe kuhamia Mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya baada ya kukosa malisho kutokana na Uharibifu mkubwa sana wa Mazingira, mchango wa Kanda ya Ziwa katika Uchumi wa TZ ni mdogo.
Kilichobakia huko ni Dhahabu ambayo HAISAFIRISHWI KWA TRENI.
Ujenzi wa SGR kwenda Mwanza ulichochewa na kukosa uzalendo na ukabila, kwa Kisukuma "primitive nonsense", kwa maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
 
Wewe biashara ya reli Ili iwe na faida lazima mizigo iwe mingi,kwa abiria inakuwa ni huduma
Sasa mizigo itakuja bila kuweka miundombinu kwanza? unaweka miundombinu halafu unawavutia wateja utaanzaje kuvuta wateja miundombinu huna. Unaweka Reli ya kisasa wateja watakuja kufuata huduma bora kama alikuwa anatumia gari siku 4 atatumia SGR siku moja. Siku za nyuma ilikuwa ukitoka mfano Iringa kwenda Arusha ilikuwa unakata njia mpaka Chalinze mbali leo baada ya kujengwa Dom to Arusha watu wanakata Iringa-Dom-Arusha mizigo inafika haraka. Weka SGR wateja watakuja kwa wingi hiyo 10% itakuwa 40%.
 
Baada ya kilimo cha Pamba kufifia, na Wafugaji wa Ng'ombe kuhamia Mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya baada ya kukosa malisho kutokana na Uharibifu mkubwa sana wa Mazingira, mchango wa Kanda ya Ziwa katika Uchumi wa TZ ni mdogo.
Kilichobakia huko ni Dhahabu ambayo HAISAFIRISHWI KWA TRENI.
Ujenzi wa SGR kwenda Mwanza ulichochewa na kukosa uzalendo na ukabila, kwa Kisukuma "primitive nonsense", kwa maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Saizi wanapigwa tafu na migodi 3 tuu huko ikishafungasha kama Buzwagi wanarudi kwenye umaskini wao waliouzoea.
 
Sasa mizigo itakuja bila kuweka miundombinu kwanza? unaweka miundombinu halafu unawavutia wateja utaanzaje kuvuta wateja miundombinu huna. Unaweka Reli ya kisasa wateja watakuja kufuata huduma bora kama alikuwa anatumia gari siku 4 atatumia SGR siku moja. Siku za nyuma ilikuwa ukitoka mfano Iringa kwenda Arusha ilikuwa unakata njia mpaka Chalinze mbali leo baada ya kujengwa Dom to Arusha watu wanakata Iringa-Dom-Arusha mizigo inafika haraka. Weka SGR wateja watakuja kwa wingi hiyo 10% itakuwa 40%.
Kwingine ambako kuna mizigo kama njia ya Kigoma na Mbeya kuna miundombinu gani?

Inaanza uhitaji ndio miundombinu inafuata
 
GIA angani tayari baada ya kuona ni mradi hewa.

Kwa akili zako za kindezi nyie wasukuma shida yenu kuu ni sgr? Sgr ndio itapunguza au kuondoa umaskini?

Reli zimekuwepo toka enzi za wakoloni na walizijenga kwa tija za kiuchumi zilizokuwepo sasa hii ya Sasa ambayo inaongezewa kasi inajengwa kwa tija gani huko kwenu?
Hahaaaa
Mzee wa kuteseka na mwanza
Yani hapo ndo mwanzo jifunge mkanda kiunoni kazi ndo imeanza
 
Kwingine ambako kuna mizigo kama njia ya Kigoma na Mbeya kuna miundombinu gani?

Inaanza uhitaji ndio miundombinu inafuata
Serikali imefanya feasibility study kote wameshasema hii SGR itafika mpaka Songea huko mikoa ya kusini mwisho wa siku nia ni kuunganisha East, west, north na south kwa SGR kama barabara ni suala la kutafuta pesa ila SGR itakuja kufika kote na hili waziri mkuu alishasema bungeni. Feasibility study imefanyika.
 
Wakuu mnogage.

Kwa mujibu wa BBC ikimhoji mtaalam wa Uchumi imebainika kwamba mzigo unaoingia bandari ya Dar es Salaam kuelekea Nchi za jirani via Central corridor ni asilimia 10% tu ya mzigo huo unaelekea bandari ya Mwanza wakati asilimia 41% huelekea bandari ya Kigoma.

Cha kushangaza imekuaje reli ya SGR ijengwe kuelekea Mwanza? Wananchi wa nchi hii tunazidi kubebeshwa mizigo ya misumari Kisa maamuzi ya kisiasa.Mpaka hapo tunazika pesa na kuzalisha white elephant project,very sad.
Alikuwa anataka akaiunganishe na daraja la mke wake la busisi kule ukweni.

Ila Mungu anaIpenda sana TZ.
 
Kwani SGR ni mizigo tu hakuna huduma ya abiria? kwa hoja hii unasema kama mkoa una mchango mdogo kiuchumi basi hawastahili kujengewa barabara ya lami kwa kuwa haichangii kiasi kikubwa. Hoja nadhani dhaifu SGR ni huduma na ikianza itafungua fursa nyingi na kama mizigo ilikuwa 10% unaweza kuvutia 40% kikubwa itaunganisha nchi kama tunavyounganishwa na barabara mikoa yote bila kujali ukubwa wa mkoa. Sio kila jambo kupinga tu huu mradi haukuanza awamu ya 5 huko nyuma ulifanyiwa kazi ni hali ya kifedha tu serikali haifanyi biashara ila inajenga miundombinu kutoa huduma na kuchochea fursa za kiuchumi. SGR na perfect service. Ndio maana wakoloni walijenga reli miaka hiyo sisi tunajenga ya kisasa.
Huduma ya Abiria kwa Treni, inachangia chini ya Asilimia 20 ya mapato ya Reli.
Bila kubeba mizigo, SGR haiwezi kujiendesha.
Shirika la Reli linabebwa na mizigo ya kwenda Kongo kwa zaidi ya Asilimia 50.
Katika hali hiyo, busara ya kawaida inaonyesha kuwa SGR ilitakiwa iende Kigoma kwanza, ili iboreshe mapato ambayo yangetumika kukamilisha kipande cha Tabora-Isaka-Mwanza.
Mkulima mwenye busara, analima shamba lenye rutuba kwanza, na baadaye ndipo analima lile lenye upungufu wa rutuba.
Mwendazake aliamua kuanza na Shamba lisilo na rutuba.
Hakika, uamuzi huu wa kuanza na shamba lisilo na rutuba umechochewa na Ukabila wa Mwendazake.
 
Mkuu, unapoleta mada ya aina hii ni muhimu utoe taarifa kamilifu kama unataka ijadiliwe kwa kina.

Huyo mtaalam aliyesema hayo ni nani ni wewe mwenyewe, maanake tayari inaonekana umedakia alipoishia.

Kama unayo shule, elimu hiyo haikusaidii chochote kuhusu uelewa wa mambo ya takwimu. Kigoma inachukuwa asilimia 41, na inayoelekea Upande wa Zambia ni asili mia ngapi, maanake nayo hupitia bandari ya Dar es Salaam, na ni sehemu ya "central corridor". Taarifa yako haisemi hiyo mizigo ni ile inayosafirishwa kwa njia ya gari moshi pekee, au pamoja na usafirishaji mwingine?

Je, mtaalam kaeleza kwamba uwepo wa SGR hauwezi kuongeza hiyo 10% inayoelekea Mwanza, itabaki tu ni ileile?

Shida yako kubwa hapa ni kuzipambanisha Mwanza na Kigoma? Unataka tujadili hilo?

Huyo mtaalam kasema reli kwenda Kigoma haitajengwa?

Hebu soma tena kichwa cha mada yako:

"Mwanza inapokea 10% tu ya mizigo kutoka Dar huku Kigoma ikipokea 41%..."

Halafu na wewe unajihesabu kwamba unaelewa kitu unachotaka watu wakijadili!
Huyu ni poyoyo tu
Kazi yake ni kuiponda mwanza
 
Wakuu mnogage.

Kwa mujibu wa BBC ikimhoji mtaalam wa Uchumi imebainika kwamba mzigo unaoingia bandari ya Dar es Salaam kuelekea Nchi za jirani via Central corridor ni asilimia 10% tu ya mzigo huo unaelekea bandari ya Mwanza wakati asilimia 41% huelekea bandari ya Kigoma.

Cha kushangaza imekuaje reli ya SGR ijengwe kuelekea Mwanza? Wananchi wa nchi hii tunazidi kubebeshwa mizigo ya misumari Kisa maamuzi ya kisiasa.Mpaka hapo tunazika pesa na kuzalisha white elephant project,very sad.
Hoja yako ni hafifu kwa sabau SGR haina maana ya kutoa mizgo dar es Salaam kwenye huko mikoni bali pia kutoa mizigo mikoani kwenda Dar es Salaam. Sasa hivi mizigo ya kutokea kanda ya ziwa inapitia kwenye maroli kwa vile hamna njia nyingine mbadala. Usishahau kuwa kanda ya ziwa ina economic activities nyingi kuliko mikoa mingi sana, halafu reli inayokwenda mwanza pia itakuwa inahudumia Rwanda kutokea Isaka. Sijui uambiweje uweze kujua kuona maana ya strategic investment; SGR ni strategic investiment.
 
Uchumi gani uko huko? Tumigodi huto 3 twa dhahabu tukifunga huko hakuna kitu,kama kipo kitaje hapa maana ndio kinawabeba angalau mnaonekana ,pumbavu
Angalia hapa
1624509319563.png
 
Mabandiko yako yote huwa ya kipumbavu tu. Huna lolote endelea kuota ndoto huku miradi ya daraja la Busisi, sgr ikikamilishwa. Ama sivyo kajinyonge.
Akili zake huwa ni fupi sana huyu mtu aisee kazi yake ni kuponda vyote vinavyofanyika kanda ya ziwa
 
Mleta mada,

Target kubwa mbili za SGR ni kiuchumi na huduma kwa wasafiri (wananchi)

Katika target ya kiuchumi SGR itapita pale Isaka ambapo ndio lango kuu la bandari kavu ktk kuhudumia maeneo hasa ya Kigoma, Kahama, Geita nk nchi jirani kama Rwanda, Burundi nazo zitanufaika pia

Katika kuboresha utoaji huduma ktk usafiri, endapo SGR itafika Mwanza basi wasafiri wa mikoa jirani na Mwanza kama Shinyanga, Mara, Geita, Kagera watakuwa wanufaika wakubwa ktk huduma ya treni hii.

Hvyo kwa namna hiyo utaona ufikaji wa treni mpaka Mwanza utahudumia wasafiri wa mikoa takribani MINNE inayozunguka/jirani na Mwanza

Pia, tusisahau hii SGR ni mpango mkakati wa nchi kuendelea kuwin soko lake la kuzilisha nchi jirani kwasababu mwenzetu Mkenya nae anakimbizana na SGR yake ili apore soko letu hasa nchi ya Rwanda na Burundi,, hvyo natoa raí kwa viongozi wetu waongeze kasi ktk ujenzi wa SGR yetu
Safi mkuu hongera kwa ufafanuzi Kunawatanzania akili ziko mndukuni kupinga kila kitu
 
Back
Top Bottom