Landson Tz
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 304
- 238
Weka picha tuone hicho kiwinguzzzzzzzKatika kuazimisha miaka hamsini ya Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, tumeshuhudia ugeni mkubwa wa Mh. Rais Samia S. Hassani, watu wamejitokeza kwenye viunga vya Jiji la Mwanza kumpokea.
Tunaomba uongeze nguvu katika hospitali yetu ya Bugando iweze kutoa huduma bora zaidi kwa wananchi wa kanda ya ziwa.
Landson Tz
Una kiwango gani cha elimuKwa kweli Taifa hili tumtegemee Mungu anatusikiliza maombi yakiwa yanapigwa na mchungaji lusekelo mzee wa upako na shekhe wa Dsm mvu ikaanza kushuka palepale
Una kiwango gani cha elimuMuda huu mvua inanyesha jijini Mwanza baada ya dua la kuomba mvua.
Kweli Mungu yupo.
Una kiwango gani cha elimuVIONGOZI WETU wa dini wameomba kwa MWENYEZI MUNGU mbele ya CHIFU HANGAYA na hali ya hewa imebadilika [emoji120]
Yetzer ha-tov
Una kiwango gani cha elimuhuyu ni rais wa watu
ona mvua ilivyoshuka mwanza
viva mama SAMIA
Wewe una kiwango gani cha elimu ?!!!Una kiwango gani cha elimu
Vivaaaaa π₯π₯π₯ππhuyu ni rais wa watu
ona mvua ilivyoshuka mwanza
viva mama SAMIA
Una kiwango gani cha elimuhuyu ni rais wa watu
ona mvua ilivyoshuka mwanza
viva mama SAMIA