Mwanza kiwingu cha mvua kimetanda. Rais Samia Suluhu karibu sana

Ni kweli una kiwango cha elimu cha kipuuzi kabisa mpaka ushindwe kujua kwanini mvua huwa inanyesha
Bado tu unaendeleza upuuzi wa kutokujibu uliloulizwa?!!!🤣🤣

Mpumbavu mpe uwanja atambe......haya tamba mzeya.....
 
Pale Mafinga kwenye Kongamano la Misitu, eti kwa kusifia kabisa wazee wa kimila (Machifu) waliokuwepo waziri wa maliasili anaongea mbele ya waziri Mkuu "kwa heshima ya wazee hawa ndiyo maana hali ya hewa ni nzuri hakuna mvua"

Yaani mpaka hapo unaweza kupata picha ya kinachoendelea nchi hii.
 
Labda kiwingu pombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…