KweliMbona hunataja highway tu, ata dar ina highway tatu unataka mji huwe na highway ngap kuunganisha na mikoa mingine hicho kichwa chako kina shida na kama ilo fuvu lina ubongo basi ni ubongo wa fisi maji.
Kichwa chako ni kibovu ila leo kitapona[emoji1] mm kazi yangu ni kukutoa ujinga tu..Hizo siyo barabara hiyo ni mitaa,ili ufike butimba lazima utumie kenyatta road ili ufike buzuruga lazima utumie nyerere road ili ufike tunza beach lazima itumie airport road,wewe unataja mitaa badala ya barabarana,kona ya bwiru kitangiri huo ni mtaa jombaa
Kichwa chako ni kibovu ila leo kitaponamm kazi yangu ni kukutoa ujinga tu..
Hizo highway unazojiongelea wewe zinapakana na haya maeneo mfano barabara ya kenyatta imepita kwenye haya maeneo buhongwa,mkolani,nyegezi,hohari,mkuyuni,mwanza South(pepsi&voil) hadi mjini kati..
swali watu wanaoishi butimba,nganza,mnangani,sweya,luchelele nk wanatumia barabara gani?
Barabara ya nyerereni kisesa,kanyama,nyamhongoro,igoma(malamala&ndama)nyakato(kijereshi,mwatex,national,sokoni,buzuruga,mabatini(sinai,darajani,mlango mmoja) nata hadi mji kati
Swali watu wanaoishi...
Bugando,bugarika,igelegele,wazimu,minazi mitatu,Bandera tatu,buzwagi,mahina,mwananchi,nyasaka,mecco,kaangae,busweru,maduka tisa, nk wanatumia barabara gani?
Barabara ya makongoro/airport ni
Airport penyewe,kanisani,radio free,sabasaba,iloganzara,pansiasi,seremala,kona ya bwiru,ghana,furahisha,mission,nera hadi mjini kati
Swaliwatu wanaoishi.....
Mwaloni,magomeni,kirumba,ibanda,kitangiri,mihama,bwiru,jiwe kuu,mji wema,isamilo,kilimahewa,kiloleli, na na na na na na. wanatumia barabara gani
Rudi kwa huyo aliokwambia jiji la mwanza Lina barabara tatu tu kakudanganya.. mda mwingine muwe mnatuuliza wenyeji tunawapa ramani sio mnarukaruka hovyo hovyo tu.... bye
UKIPOTOSHA NITARUDI KUWEKA MAMBO SAWA by NGOSHA WA MBASA
Umejibu vizuri katika kila kona ila nashukuru kila ulikuwa ukitaja hizo barabara za mitaa lazima uweke kenyatta road,nyerere na airport roadKichwa chako ni kibovu ila leo kitapona[emoji1] mm kazi yangu ni kukutoa ujinga tu..
Hizo highway unazojiongelea wewe zinapakana na haya maeneo mfano barabara ya kenyatta imepita kwenye haya maeneo buhongwa,mkolani,nyegezi,hohari,mkuyuni,mwanza South(pepsi&voil) hadi mjini kati..
swali watu wanaoishi butimba,nganza,mnangani,sweya,luchelele nk wanatumia barabara gani?
Barabara ya nyerere[emoji2] ni kisesa,kanyama,nyamhongoro,igoma(malamala&ndama)nyakato(kijereshi,mwatex,national,sokoni,buzuruga,mabatini(sinai,darajani,mlango mmoja) nata hadi mji kati
Swali watu wanaoishi...
Bugando,bugarika,igelegele,wazimu,minazi mitatu,Bandera tatu,buzwagi,mahina,mwananchi,nyasaka,mecco,kaangae,busweru,maduka tisa, nk wanatumia barabara gani?
Barabara ya makongoro/airport ni
Airport penyewe,kanisani,radio free,sabasaba,iloganzara,pansiasi,seremala,kona ya bwiru,ghana,furahisha,mission,nera hadi mjini kati
Swali[emoji2] watu wanaoishi.....
Mwaloni,magomeni,kirumba,ibanda,kitangiri,mihama,bwiru,jiwe kuu,mji wema,isamilo,kilimahewa,kiloleli, na na na na na na. wanatumia barabara gani[emoji3]
Rudi kwa huyo aliokwambia jiji la mwanza Lina barabara tatu tu kakudanganya.. mda mwingine muwe mnatuuliza wenyeji tunawapa ramani sio mnarukaruka hovyo hovyo tu.... bye
UKIPOTOSHA NITARUDI KUWEKA MAMBO SAWA by NGOSHA WA MBASA[emoji378]
[emoji3][emoji3] pamoja kiongoz ila karibu sana MWANZA, siku nyingine ukija nitafuta kama nitakua mwanza nikupeleke sehemu ambazo hukuwahi zizaniaUmejibu vizuri katika kila kona ila nashukuru kila ulikuwa ukitaja hizo barabara za mitaa lazima uweke kenyatta road,nyerere na airport road
Muulize kwao mbeya anakokusifia kuna barabara ngapi? Hizo za highway?Kichwa chako ni kibovu ila leo kitapona[emoji1] mm kazi yangu ni kukutoa ujinga tu..
Hizo highway unazojiongelea wewe zinapakana na haya maeneo mfano barabara ya kenyatta imepita kwenye haya maeneo buhongwa,mkolani,nyegezi,hohari,mkuyuni,mwanza South(pepsi&voil) hadi mjini kati..
swali watu wanaoishi butimba,nganza,mnangani,sweya,luchelele nk wanatumia barabara gani?
Barabara ya nyerere[emoji2] ni kisesa,kanyama,nyamhongoro,igoma(malamala&ndama)nyakato(kijereshi,mwatex,national,sokoni,buzuruga,mabatini(sinai,darajani,mlango mmoja) nata hadi mji kati
Swali watu wanaoishi...
Bugando,bugarika,igelegele,wazimu,minazi mitatu,Bandera tatu,buzwagi,mahina,mwananchi,nyasaka,mecco,kaangae,busweru,maduka tisa, nk wanatumia barabara gani?
Barabara ya makongoro/airport ni
Airport penyewe,kanisani,radio free,sabasaba,iloganzara,pansiasi,seremala,kona ya bwiru,ghana,furahisha,mission,nera hadi mjini kati
Swali[emoji2] watu wanaoishi.....
Mwaloni,magomeni,kirumba,ibanda,kitangiri,mihama,bwiru,jiwe kuu,mji wema,isamilo,kilimahewa,kiloleli, na na na na na na. wanatumia barabara gani[emoji3]
Rudi kwa huyo aliokwambia jiji la mwanza Lina barabara tatu tu kakudanganya.. mda mwingine muwe mnatuuliza wenyeji tunawapa ramani sio mnarukaruka hovyo hovyo tu.... bye
UKIPOTOSHA NITARUDI KUWEKA MAMBO SAWA by NGOSHA WA MBASA[emoji378]
Kama viwanja gani kiongozi[emoji3][emoji3] pamoja kiongoz ila karibu sana MWANZA, siku nyingine ukija nitafuta kama nitakua mwanza nikupeleke sehemu ambazo hukuwahi zizania
MWANZA nilijitu likuuuubwa sana
Hawa vijana hakuna wanachojua zaidi ubishi ubishi ila nitawanyooshaMuulize kwao mbeya anakokusifia kuna barabara ngapi? Hizo za highway?
Kwani wewe unapendelea nini?Kama viwanja gani kiongozi
Tutajie viwanja vya mbeya Kwanza ukimaliza sisi tutaanza kukutajia vya MwanzaKama viwanja gani kiongozi
Kwani wewe unapendelea nini?
Ndio mjengo mrefu Mbeyaa
Wataka marefu dingiii?Ndio mjengo mrefu Mbeyaa
Nasikia hilo jiji lenu hakuna ghorofa refu zaidi ya ngazi tano. Ni kweli?Wataka marefu dingiii?
tupia picha mkuuKuna sehem moja Mwanza pale busisi ukivuka maji Rocky Bay ni bonge la sehem pazuri sana ni wazungu tu na wahindi ndio unakutana nao hilo chimbo la maraha
Hiki ni nini [emoji1][emoji1] vijana bwana, huu uzi ushakua wa ligi, kwa mwanza hata ukiichukua Arusha na mbeya combined bado Mwanza itakua juu tu ni vile kunawapuuzi flani wanajifanya wanaijua sana mwanza kuliko sie ma tycoon
Wewe acha kuongea ugoro,unachoongea hukijui,wewe unachojua ni hizo mitaa tu,tena nyamaza,mbeya unaiona kwenye tv tuHiki ni nini [emoji1][emoji1] vijana bwana, huu uzi ushakua wa ligi, kwa mwanza hata ukiichukua Arusha na mbeya combined bado Mwanza itakua juu tu ni vile kunawapuuzi flani wanajifanya wanaijua sana mwanza kuliko sie ma tycoon
kama ulikuja mwanza kumsalimia shangazi au mjomba unfortunately mwanza utaiona kama mbeya au Arusha (kundi la wasiojua)