Mwanza kutamu asikwambie mtu

Pia kuna wadada wa mombasa kule.
 
Mimi masamaki yao nayaona makubwaaa yananikifu na kunikinaisha haraka na siwezi kumaliza halafu yana minofu mikubwaaa mimi mmnh!

Mimi Hata kwenye kuku sipendi sehemu ya kidari ,

Paja nakula iwapo kuku ni Mdogo akiwa kuku mkubwa hapana,

Kwenye kuku sehemu ninayoipendaga ni mgongo wa chini unaoungangana na pale kwenye inye!
 
Samaki wa bahari kuna wa size mbali mbali hadi ndogo ndogo na minofu yao Pia ipo midogo midogo,

Mimi samaki au kuku mkubwa hapana!
 
Bado atakuja kubisha
 
Rock city mall
Malaika resort
Tilapia hotel
Antilope hotel
Saa 8 island
Kamanga ferry.. uniqueness of Mwanza iliko πŸ₯°

Nitarudi tena πŸ”₯
Swee tHome Sweet, nimepamisi kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…