Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni nyerere road jombaaMusoma road .. buzuruga mataa ..
View attachment 2265278
😂😂😂😂Aliepo Mwanza nipo hapa CASK Kaunta nimevaa jezi ya juventus karibu ukinitambua unakunywaa beer za kutosha
Haitokaa itokee jombaaMwisho .ni game changer project inayoproposiwa miaka kadhaa ijayo
View attachment 2265287
Pia kuna wadada wa mombasa kule.Dahh sijui nianzie wapi...ila naomba kwanza nianze kwa kuwasalimia.
Basi bwana ....
Nimegundua kwamba nilikuwa nakosa vingi kwa kutokupajua mwanza.....yani ukiondoa dar es salaam naweza kusema mkoa unaofwata kwa uzuri ni Mwanza...(ni maoni yangu). Najua mtasema Arusha. Arusha pia nimeishi ila kwakweli hapafikii Mwanza.
Kwanza ni pazuri...
Ni pasafi....
Pili hali ya hewa ni rafiki......
Starehe pia zipo kama zote...
Sema tu asee kama mfuko umetoboka usiende. Labda uwe na ndugu kwamba utaishi bure gharama yako iwe nauli tu na ugali wa shikamoo.
Wasukuma pia sio wachoyo sana.....ila nilichoshangaa mara nyingi nikipita mtaani naangaliwa sana(japo haikuwa mara zote).....halafu nilipokuwa naongea wananiita manka wakati me sio manka. Jamani wasukuma ina maana mtu ambaye anaongea tofauti na nyie ni manka?
Wadada na wamama wa kule wote wana shepu za maana na miguu ya bia...sikuona mwenye fito kule wala mwenye pasi ....so wale wazee wanaopenda ishu hizo patawafaa.
Nakushauri kama hupajui mwanza jitahidi ukatembee mwanza hutajutia pesa yako.
Bado atakuja kubishaunauliza highways amekutajia bado huelewi ,yaani barabara au maana ya highway wew unaelewa nini ,,,,,,ngoja nikufafanulie kidogo high way njia kuu
Makongoro avenue (km 10) four lanes
Musoma road (km 20 within city) 10 km being three lanes nata to Nyakato mwatex .10 km being two lanes ,mwatex to kisesa
shinyanga road (km 25 within city) two lanes
Sabasaba road (km 9) ni highway ya kwenda makao makuu ya wilaya ya ilemela
Pasiansi road (km 7) ni highway inayoenda nyasaka,maduka tisa na buzuruga stendi
Kisesa bypass (km 17) ni high way ya kwenda usagara bila kupita katikati ya mji
Nyakato to kahama (km 10) ni high way ya kwenda makao makuu ya wilaya ilemela , kupitia gedeli ,buswelu,kahama,ilalila
Wurzbug road (km 15 ) town to mahina via Bugando,bugarika,igelegele ,mahina kati.
Nimekutajia kwa uchache
Bado nasimama na zile highways tatu kenyata road,airport road na nyerere road kama hauelewi utakuja eleweshwa na watu wa TARURABado atakuja kubisha
Sio lazima ukubali wewBado nasimama na zile highways tatu kenyata road,airport road na nyerere road kama hauelewi utakuja eleweshwa na watu wa TARURA
Mbona wacheka mkuu😂😂😂😂
Nilikukodoa mimacho sikukuona mkuu nkawa naona pisi kali tuMbona wacheka mkuu
Sawa tajiriSio lazima ukubali wew
Airport road au makongoro road[emoji1]Bado nasimama na zile highways tatu kenyata road,airport road na nyerere road kama hauelewi utakuja eleweshwa na watu wa TARURA
Swee tHome Sweet, nimepamisi kwetuRock city mall
Malaika resort
Tilapia hotel
Antilope hotel
Saa 8 island
Kamanga ferry.. uniqueness of Mwanza iliko 🥰
Nitarudi tena 🔥
Hahaaa daaah! Mkuu nilitoboa pale next timeNilikukodoa mimacho sikukuona mkuu nkawa naona pisi kali tu
Vyovyote mkuu ila luchelele siyo barabara ni mtaaAirport road au makongoro road[emoji1]
Mnabishana na mtu ambae huko mkoani kwao Mbeya lift ya kwanza imewekwa 2014 na ikaja kuzinduliwa na mkuu wa wilaya.Ndio mjengo mrefu Mbeyaa