HumbleBoy98
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 387
- 396
Wa Arusha niko hapa…
Nilikuwepo Mwanza zaidi ya 1 week!
Aisee ni patamu 😋😋
Nikiokota hela nitarudi tena.
Hata wafanya biashara wao wana ukarimu kwa mteja. Hiki kitu Chuga sio sana, labda wapaka rangi wa Chuga ndio at least wako wakarimu kwa mteja.
HongeraMwanza sasa ni kama home, nimekaa huko zaidi ya miaka 3 kabla ya kurudi Arusha. Nimefanikiwa kununua maeneo mbalimbali na kujenga pia. Ndugu na marafiki wengine walivutiwa nao wakanunua maeneo mengi huko. Mimi nilivutiwa na samaki na ukarimu wa wakazi wa huko, especially watu wa kisesa
Ah niceNapenda sanaaaaaa
Mfuko ukiwa tu mzuri mimi huyooo
Next stop ni mbeya, ruvuma hadi Zambia...
Kwa maneno uliongea umenishawishi sana niende uko Asante kwa experience yako uliotupaWa Arusha niko hapa…
Nilikuwepo Mwanza zaidi ya 1 week!
Aisee ni patamu 😋😋
Nikiokota hela nitarudi tena.
Hata wafanya biashara wao wana ukarimu kwa mteja. Hiki kitu Chuga sio sana, labda wapaka rangi wa Chuga ndio at least wako wakarimu kwa mteja.
Senkyuuuuuu ❤❤❤Ah nice
Fanya tour dear
Enjoy while you can ..
Kuna uzi humu wa vivutio ni mzuri mno
Unaweza ukaupitia kuona sehemu nyingine ya kwenda
Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania
Wasalaam, Ni imani yangu mu wazima wa afya, kama kichwa cha uzi huu kinavyosomeka, lengo la uzi huu ni kushare experience ya matembezi katika maeneo tofauti tofauti ya kuvutia na vivutio vingine vya utalii vinavyopatikana nchini kwetu tanzania. Tuanze, Matembezi, Ziara ni nini? Neno Ziara ni...www.jamiiforums.com
Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania
Hivi hujaopoa ngosha wako?Asee kutamu sana na kuzuri pia
Unaona rahaaaaa mkuu kutembea tembea mwenyewe umetuona tulivo mahandsome umetutamaaanDahh ntakuwa naenda angalau kwa mwaka mara moja nile maisha mimii
Safari nyingine nataka niende hadi ukerewe