Mwanza kutamu asikwambie mtu

Mwanza kutamu asikwambie mtu

Dahh sijui nianzie wapi...ila naomba kwanza nianze kwa kuwasalimia.

Basi bwana ....
Nimegundua kwamba nilikuwa nakosa vingi kwa kutokupajua mwanza.....yani ukiondoa dar es salaam naweza kusema mkoa unaofwata kwa uzuri ni mwanza...(ni maoni yangu). Najua mtasema arusha...arusha pia nimeishi ila kwakweli hapafikii mwanza.
Kwanza ni pazuri...
Ni pasafi....
Pili hali ya hewa ni rafiki......
Starehe pia zipo kama zote...
Sema tu asee kama mfuko umetoboka usiende. Labda uwe na ndugu kwamba utaishi bure gharama yako iwe nauli tu na ugali wa shikamoo.
Wasukuma pia sio wachoyo sana.....ila nilichoshangaa mara nyingi nikipita mtaani naangaliwa sana(japo haikuwa mara zote).....halafu nilipokuwa naongea wananiita manka wakati me sio manka. Jamani wasukuma ina maana mtu ambaye anaongea tofauti na nyie ni manka??
Wadada na wamama wa kule wote wana shepu za maana na miguu ya bia...sikuona mwenye fito kule wala mwenye pasi ....so wale wazee wanaopenda ishu hizo patawafaa.
Nakushauri kama hupajui mwanza jitahidi ukatembee mwanza... hutajutia pesa yako.
Any way ukipita na taswira ya ugeni mahala popote hapa nchini watu watakutazama tu, all in all karibu Mwanza
 
Rock city mall
Malaika resort
Tilapia hotel
Antilope hotel
Saa 8 island
Kamanga ferry.. uniqueness of Mwanza iliko 🥰

Nitarudi tena 🔥
Hyo malaiko usiseme aisee 😅😅😅 nilikunywa kahawa pale kwa elfu 5 wanapika hapo kwa hapo fasta Kama ulaya uwanja mkubwa wafanyakazi kibao yaani kuna room zile ukienda waterfall tulilala sijajua ngapi maana tulipiwa na taasisi ni kuzuri sijaona

Huku reception kuna visanduku vina madini Kama urembo niliona Kama utalii bonge la hoteli jioni tukaja huku kweny band ukumbi Kama uko ufukweni viti viupr tupi na ule upepo ni balaa
 
Antelope kweli? Tilapia kweli? Nilikuepo kwenye match ya simba na Yanga sikuona kiivo karibu ze girini site
Kweli…
Antilope wana menu amazing , patulivu mnooo.. hakuna jam hata kwenye swimming pool

Tilapia the same…

Sijui kilichokushangaza.
 
Hyo malaiko usiseme aisee 😅😅😅 nilikunywa kahawa pale kwa elfu 5 wanapika hapo kwa hapo fasta Kama ulaya uwanja mkubwa wafanyakazi kibao yaani kuna room zile ukienda waterfall tulilala sijajua ngapi maana tulipiwa na taasisi ni kuzuri sijaona

Huku reception kuna visanduku vina madini Kama urembo niliona Kama utalii bonge la hoteli jioni tukaja huku kweny band ukumbi Kama uko ufukweni viti viupr tupi na ule upepo ni balaa
Sio kama uko Ufukweni… ni ufukweni pale😂
Kuna hii restaurant ya chini, unapata msosi huku unapigwa na wimbi la maji ‘yan unasikia sauti ya wimbi mubashara.

Ile reception yao ni 🔥
Parking 🔥
Bar kule
Yan mule ndani kote ni pazuriii
 
Dahh sijui nianzie wapi...ila naomba kwanza nianze kwa kuwasalimia.

Basi bwana ....
Nimegundua kwamba nilikuwa nakosa vingi kwa kutokupajua mwanza.....yani ukiondoa dar es salaam naweza kusema mkoa unaofwata kwa uzuri ni mwanza...(ni maoni yangu). Najua mtasema arusha...arusha pia nimeishi ila kwakweli hapafikii mwanza.
Kwanza ni pazuri...
Ni pasafi....
Pili hali ya hewa ni rafiki......
Starehe pia zipo kama zote...
Sema tu asee kama mfuko umetoboka usiende. Labda uwe na ndugu kwamba utaishi bure gharama yako iwe nauli tu na ugali wa shikamoo.
Wasukuma pia sio wachoyo sana.....ila nilichoshangaa mara nyingi nikipita mtaani naangaliwa sana(japo haikuwa mara zote).....halafu nilipokuwa naongea wananiita manka wakati me sio manka. Jamani wasukuma ina maana mtu ambaye anaongea tofauti na nyie ni manka??
Wadada na wamama wa kule wote wana shepu za maana na miguu ya bia...sikuona mwenye fito kule wala mwenye pasi ....so wale wazee wanaopenda ishu hizo patawafaa.
Nakushauri kama hupajui mwanza jitahidi ukatembee mwanza... hutajutia pesa yako.
Ni kweli......nikiendaga Mwanza huwaga sipendi kufikia sehemu nyingine yoyote zaidi ya Nyegezi mana ndo huwaga najipimia tu Sato.
 
Dahh sijui nianzie wapi...ila naomba kwanza nianze kwa kuwasalimia.

Basi bwana ....
Nimegundua kwamba nilikuwa nakosa vingi kwa kutokupajua mwanza.....yani ukiondoa dar es salaam naweza kusema mkoa unaofwata kwa uzuri ni mwanza...(ni maoni yangu). Najua mtasema arusha...arusha pia nimeishi ila kwakweli hapafikii mwanza.
Kwanza ni pazuri...
Ni pasafi....
Pili hali ya hewa ni rafiki......
Starehe pia zipo kama zote...
Sema tu asee kama mfuko umetoboka usiende. Labda uwe na ndugu kwamba utaishi bure gharama yako iwe nauli tu na ugali wa shikamoo.
Wasukuma pia sio wachoyo sana.....ila nilichoshangaa mara nyingi nikipita mtaani naangaliwa sana(japo haikuwa mara zote).....halafu nilipokuwa naongea wananiita manka wakati me sio manka. Jamani wasukuma ina maana mtu ambaye anaongea tofauti na nyie ni manka??
Wadada na wamama wa kule wote wana shepu za maana na miguu ya bia...sikuona mwenye fito kule wala mwenye pasi ....so wale wazee wanaopenda ishu hizo patawafaa.
Nakushauri kama hupajui mwanza jitahidi ukatembee mwanza... hutajutia pesa yako.
So huko ni full misambwanda
 
Rock city mall
Malaika resort
Tilapia hotel
Antilope hotel
Saa 8 island
Kamanga ferry.. uniqueness of Mwanza iliko [emoji3059]

Nitarudi tena [emoji91]

umesahau diamond pale kona ya bwiru
 
So wadada wenye fito wakihamia huko...miguu inabadilika na kuwa ya bia
 
Mm Nina rfk angu alitoka mwanza Kuja kusoma Arusha

Jamaa alinimbia kuwa Arusha Ni nyoko mwanza haioni ndani bado sijafika ila bado. Naamini Arusha is the best

By the way toa ujatoa mbususu kimasiara
Dogo Mimi kote huko nimeishi nakwambia hivi TZ majiji ni mawili tu..
Dar na Mwanza hayo mengineyo ni affiliated municipals tu.
 
Back
Top Bottom