Mwanza: Mtoto ateketea kwa moto wakati wa operesheni ya Kiserikali

Mwanza: Mtoto ateketea kwa moto wakati wa operesheni ya Kiserikali

Habari hii ni kutoka Kaliua, Tabora ambako wale jamaa wasiokuwa na chembe ya utu walikuwa wametia timu kwenda kufanya yao.

Unachoma vipi nyumba ambayo wanaweza kuwemo ndani watoto wadogo, wazee au wasiojiweza?

Piga picha kumwona mtoto wa miaka 4 yuko je.

Eeh mola wetu umrehemu malaika wako huyu aliyetangulizwa kifedhuli kwako. Ukawakirimu majahili hawa ujira sawa sawa na matendo yao:

=====

Mwanza. Mtoto Nyanzore Ng'wandu (4) amefariki dunia kwa kuteketea kwa moto wakati wa operesheni ya kuwaondoa wananchi waliovamia eneo tengefu ndani ya Hifadhi ya jamii Isawimo inayoundwa na vijiji 11 vya Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora.

Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu jana Ijumaa Juni 18, 2021 mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Abel Busalama amethibitisha kifo cha mtoto huyo kilichotokea wakati wa operesheni iliyofanyika Juni 16, 2021.

Mtoto aliyetekea kwa moto ni mjukuu wa mzee Ng'ombeikungire Ng'wandu, mkazi wa kijiji cha Kombe wilayani Kaliua.

"Serikali imesikitishwa na kifo cha mtoto huyo na vyombo vya dola vimeanza uchunguzi wa kuhusu tukio hilo. Mimi binafsi nimefika eneo hilo nikiongozana na kamati ya usalama ya wilaya."

"Kuna maswali na hoja nyingi kuhusu kifo cha mtoto yule, kwanza wana familia wanasema aliteketea baada ya kuanguka mlangoni katika jitihada za kujiokoa. Lakini eneo mwili upokutwa ni karibia hatua mbili kutoka mlangoni," amesema.

Kwa mujibu wa mkuu huyo wa wilaya, kuna hisia kuwa kifo cha mtoto huyo ni tukio la kutengenezwa kwa nia ya kukwamisha operesheni ya kuwaondoa waliovamia eneo la hifadhi na kuendesha shughuli za kibinadamu ikiwemo makazi, kilimo, uvuvi na ufugaji.

"Siwezi kusema kwa uhakika ni nani ametengeneza tukio hilo lakini mazingira yanatia shaka na ndio maana vyombo vinafanya uchunguzi wa kina," amesema mkuu huyo wa wilaya

Akizungumzia tukio hilo, diwani wa Usinge, Titus Kavura amelaani kitendo cha askari Mamlaka ya Wanyamapori na Jeshi la Polisi walioshiriki operesheni hiyo kutumia nguvu na mabavu badala ya busara kiasi cha kuteketeza nyumba bila kutoa fursa kwa wananchi kujiokoa na kuokoa mali.

"Walichokuwa wanafanya askari wale ni kufika na kutia moto nyumba bila kujali ndani kuna watu wala mgonjwa, hii ndio maana wazazi walitimua mbio kujiokoa na kumsahau mtoto aliyekuwa amelala ndani," amesema diwani Kavura.

Mwanachi
Hivi serikali inachomea wananchi wake nyumba so sad😡😡
 
Nimesisimkwa mwili aisee na nimekumbuka mbali sana.

Pruner naomba muiondoe hio picha inazidi kuleta hisia za huzuni na kuuzalilisha utu wa huyo mtoto.

Mkuu picha tumeitoa ziko nyingi zaidi. Kwa hakika tumeshindwa kuziweka pale.

Hata iliyowekwa haikuwa na maana ya kuiacha pale.

Eeh mola wetu umpokee kwako mtoto yule.
 
Habari hii ni kutoka Kaliua, Tabora ambako wale jamaa wasiokuwa na chembe ya utu walikuwa wametia timu kwenda kufanya yao.

Unachoma vipi nyumba ambayo wanaweza kuwemo ndani watoto wadogo, wazee au wasiojiweza?

Piga picha kumwona mtoto wa miaka 4 yuko je.

Eeh mola wetu umrehemu malaika wako huyu aliyetangulizwa kifedhuli kwako. Ukawakirimu majahili hawa ujira sawa sawa na matendo yao:



=====

Mwanza. Mtoto Nyanzore Ng'wandu (4) amefariki dunia kwa kuteketea kwa moto wakati wa operesheni ya kuwaondoa wananchi waliovamia eneo tengefu ndani ya Hifadhi ya jamii Isawimo inayoundwa na vijiji 11 vya Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora.

Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu jana Ijumaa Juni 18, 2021 mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Abel Busalama amethibitisha kifo cha mtoto huyo kilichotokea wakati wa operesheni iliyofanyika Juni 16, 2021.

Mtoto aliyetekea kwa moto ni mjukuu wa mzee Ng'ombeikungire Ng'wandu, mkazi wa kijiji cha Kombe wilayani Kaliua.

"Serikali imesikitishwa na kifo cha mtoto huyo na vyombo vya dola vimeanza uchunguzi wa kuhusu tukio hilo. Mimi binafsi nimefika eneo hilo nikiongozana na kamati ya usalama ya wilaya."

"Kuna maswali na hoja nyingi kuhusu kifo cha mtoto yule, kwanza wana familia wanasema aliteketea baada ya kuanguka mlangoni katika jitihada za kujiokoa. Lakini eneo mwili upokutwa ni karibia hatua mbili kutoka mlangoni," amesema.

Kwa mujibu wa mkuu huyo wa wilaya, kuna hisia kuwa kifo cha mtoto huyo ni tukio la kutengenezwa kwa nia ya kukwamisha operesheni ya kuwaondoa waliovamia eneo la hifadhi na kuendesha shughuli za kibinadamu ikiwemo makazi, kilimo, uvuvi na ufugaji.

"Siwezi kusema kwa uhakika ni nani ametengeneza tukio hilo lakini mazingira yanatia shaka na ndio maana vyombo vinafanya uchunguzi wa kina," amesema mkuu huyo wa wilaya

Akizungumzia tukio hilo, diwani wa Usinge, Titus Kavura amelaani kitendo cha askari Mamlaka ya Wanyamapori na Jeshi la Polisi walioshiriki operesheni hiyo kutumia nguvu na mabavu badala ya busara kiasi cha kuteketeza nyumba bila kutoa fursa kwa wananchi kujiokoa na kuokoa mali.

"Walichokuwa wanafanya askari wale ni kufika na kutia moto nyumba bila kujali ndani kuna watu wala mgonjwa, hii ndio maana wazazi walitimua mbio kujiokoa na kumsahau mtoto aliyekuwa amelala ndani," amesema diwani Kavura.

Mwanachi
Mnaua halafu mnasema ni tukio la kutengeneza? Hivi unyama utaisha lini nchi hii? Vyombo vya dola vikifanya ukatili vinatengeneza cover story? Mh. Samia ondoa huyu Dc kwenye orodha yako, hafai.
 
Habari hii ni kutoka Kaliua, Tabora ambako wale jamaa wasiokuwa na chembe ya utu walikuwa wametia timu kwenda kufanya yao.

Unachoma vipi nyumba ambayo wanaweza kuwemo ndani watoto wadogo, wazee au wasiojiweza?

Piga picha kumwona mtoto wa miaka 4 yuko je.

Eeh mola wetu umrehemu malaika wako huyu aliyetangulizwa kifedhuli kwako. Ukawakirimu majahili hawa ujira sawa sawa na matendo yao:

(Picha za tukio hili haziwekeki hapa katika hali yoyote).

=====

Mwanza. Mtoto Nyanzore Ng'wandu (4) amefariki dunia kwa kuteketea kwa moto wakati wa operesheni ya kuwaondoa wananchi waliovamia eneo tengefu ndani ya Hifadhi ya jamii Isawimo inayoundwa na vijiji 11 vya Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora.

Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu jana Ijumaa Juni 18, 2021 mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Abel Busalama amethibitisha kifo cha mtoto huyo kilichotokea wakati wa operesheni iliyofanyika Juni 16, 2021.

Mtoto aliyetekea kwa moto ni mjukuu wa mzee Ng'ombeikungire Ng'wandu, mkazi wa kijiji cha Kombe wilayani Kaliua.

"Serikali imesikitishwa na kifo cha mtoto huyo na vyombo vya dola vimeanza uchunguzi wa kuhusu tukio hilo. Mimi binafsi nimefika eneo hilo nikiongozana na kamati ya usalama ya wilaya."

"Kuna maswali na hoja nyingi kuhusu kifo cha mtoto yule, kwanza wana familia wanasema aliteketea baada ya kuanguka mlangoni katika jitihada za kujiokoa. Lakini eneo mwili upokutwa ni karibia hatua mbili kutoka mlangoni," amesema.

Kwa mujibu wa mkuu huyo wa wilaya, kuna hisia kuwa kifo cha mtoto huyo ni tukio la kutengenezwa kwa nia ya kukwamisha operesheni ya kuwaondoa waliovamia eneo la hifadhi na kuendesha shughuli za kibinadamu ikiwemo makazi, kilimo, uvuvi na ufugaji.

"Siwezi kusema kwa uhakika ni nani ametengeneza tukio hilo lakini mazingira yanatia shaka na ndio maana vyombo vinafanya uchunguzi wa kina," amesema mkuu huyo wa wilaya

Akizungumzia tukio hilo, diwani wa Usinge, Titus Kavura amelaani kitendo cha askari Mamlaka ya Wanyamapori na Jeshi la Polisi walioshiriki operesheni hiyo kutumia nguvu na mabavu badala ya busara kiasi cha kuteketeza nyumba bila kutoa fursa kwa wananchi kujiokoa na kuokoa mali.

"Walichokuwa wanafanya askari wale ni kufika na kutia moto nyumba bila kujali ndani kuna watu wala mgonjwa, hii ndio maana wazazi walitimua mbio kujiokoa na kumsahau mtoto aliyekuwa amelala ndani," amesema diwani Kavura.

Mwanachi
Operation imepata Baraka za JPM?
 
Ile picha sitaki kuiona katika mawazo yangu. Inaumiza,inahuzunisha, inasikitisha sanaa.
 
Lakini nanyi waandishi saazingine huwa ninapata mashaka na kiwango chenu cha taaluma!

Kaliua ya mkoani Tabora ndiko madhila yalikotokea kakini kichwa cha habari kinatamka Mwanza, why?

Kichwa cha habari cha awali hapa kimerekebishwa - na ndipo huo mkorogo ukafuatia.
 
Mhe. Rais tafadhali anza na huyu dc afukuzwe kazi mara moja, ni mpuuzi kabisa. Pia hao askari wa wanyama pori ambao akili zao zimejaa upori upori tu wafikishwe mahakamani kwa kosa la mauaji.

Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mhe. Rais tafadhali anza na huyu dc afukuzwe kazi mara moja, ni mpuuzi kabisa. Pia hao askari wa wanyama pori ambao akili zao zimejaa upori upori tu wafikishwe mahakamani kwa kosa la mauaji.

Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app

Kwamba angali ofisini. Wa namna hii anamtumikia nani?
 
Habari hii ni kutoka Kaliua, Tabora ambako wale jamaa wasiokuwa na chembe ya utu walikuwa wametia timu kwenda kufanya yao.

Unachoma vipi nyumba ambayo wanaweza kuwemo ndani watoto wadogo, wazee au wasiojiweza?

Piga picha kumwona mtoto wa miaka 4 yuko je.

Eeh mola wetu umrehemu malaika wako huyu aliyetangulizwa kifedhuli kwako. Ukawakirimu majahili hawa ujira sawa sawa na matendo yao:

(Picha za tukio hili haziwekeki hapa katika hali yoyote).

=====

Mwanza. Mtoto Nyanzore Ng'wandu (4) amefariki dunia kwa kuteketea kwa moto wakati wa operesheni ya kuwaondoa wananchi waliovamia eneo tengefu ndani ya Hifadhi ya jamii Isawimo inayoundwa na vijiji 11 vya Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora.

Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu jana Ijumaa Juni 18, 2021 mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Abel Busalama amethibitisha kifo cha mtoto huyo kilichotokea wakati wa operesheni iliyofanyika Juni 16, 2021.

Mtoto aliyetekea kwa moto ni mjukuu wa mzee Ng'ombeikungire Ng'wandu, mkazi wa kijiji cha Kombe wilayani Kaliua.

"Serikali imesikitishwa na kifo cha mtoto huyo na vyombo vya dola vimeanza uchunguzi wa kuhusu tukio hilo. Mimi binafsi nimefika eneo hilo nikiongozana na kamati ya usalama ya wilaya."

"Kuna maswali na hoja nyingi kuhusu kifo cha mtoto yule, kwanza wana familia wanasema aliteketea baada ya kuanguka mlangoni katika jitihada za kujiokoa. Lakini eneo mwili upokutwa ni karibia hatua mbili kutoka mlangoni," amesema.

Kwa mujibu wa mkuu huyo wa wilaya, kuna hisia kuwa kifo cha mtoto huyo ni tukio la kutengenezwa kwa nia ya kukwamisha operesheni ya kuwaondoa waliovamia eneo la hifadhi na kuendesha shughuli za kibinadamu ikiwemo makazi, kilimo, uvuvi na ufugaji.

"Siwezi kusema kwa uhakika ni nani ametengeneza tukio hilo lakini mazingira yanatia shaka na ndio maana vyombo vinafanya uchunguzi wa kina," amesema mkuu huyo wa wilaya

Akizungumzia tukio hilo, diwani wa Usinge, Titus Kavura amelaani kitendo cha askari Mamlaka ya Wanyamapori na Jeshi la Polisi walioshiriki operesheni hiyo kutumia nguvu na mabavu badala ya busara kiasi cha kuteketeza nyumba bila kutoa fursa kwa wananchi kujiokoa na kuokoa mali.

"Walichokuwa wanafanya askari wale ni kufika na kutia moto nyumba bila kujali ndani kuna watu wala mgonjwa, hii ndio maana wazazi walitimua mbio kujiokoa na kumsahau mtoto aliyekuwa amelala ndani," amesema diwani Kavura.

Mwanachi
Mkuu wa Wilaya ajiuzulu tu. Asisubiri saini ya Haniu
 
Mtoto apumzike kwa amani, Waharifu waliyofanya hayo malipo ni hapa hapa duniani
 
Hao jamaa sijui akili zao wanaziwekaga wapi
Wanakuwaga na mambo ya ovyo kabisa

Ova
 
Hii habari hata haieleweki, mara kaliua mara mwanza, brother umekunywa pombe "gambe"
Habari hii ni kutoka Kaliua, Tabora ambako wale jamaa wasiokuwa na chembe ya utu walikuwa wametia timu kwenda kufanya yao.

Unachoma vipi nyumba ambayo wanaweza kuwemo ndani watoto wadogo, wazee au wasiojiweza?

Piga picha kumwona mtoto wa miaka 4 yuko je.

Eeh mola wetu umrehemu malaika wako huyu aliyetangulizwa kifedhuli kwako. Ukawakirimu majahili hawa ujira sawa sawa na matendo yao:

(Picha za tukio hili haziwekeki hapa katika hali yoyote).

=====

Mwanza. Mtoto Nyanzore Ng'wandu (4) amefariki dunia kwa kuteketea kwa moto wakati wa operesheni ya kuwaondoa wananchi waliovamia eneo tengefu ndani ya Hifadhi ya jamii Isawimo inayoundwa na vijiji 11 vya Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora.

Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu jana Ijumaa Juni 18, 2021 mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Abel Busalama amethibitisha kifo cha mtoto huyo kilichotokea wakati wa operesheni iliyofanyika Juni 16, 2021.

Mtoto aliyetekea kwa moto ni mjukuu wa mzee Ng'ombeikungire Ng'wandu, mkazi wa kijiji cha Kombe wilayani Kaliua.

"Serikali imesikitishwa na kifo cha mtoto huyo na vyombo vya dola vimeanza uchunguzi wa kuhusu tukio hilo. Mimi binafsi nimefika eneo hilo nikiongozana na kamati ya usalama ya wilaya."

"Kuna maswali na hoja nyingi kuhusu kifo cha mtoto yule, kwanza wana familia wanasema aliteketea baada ya kuanguka mlangoni katika jitihada za kujiokoa. Lakini eneo mwili upokutwa ni karibia hatua mbili kutoka mlangoni," amesema.

Kwa mujibu wa mkuu huyo wa wilaya, kuna hisia kuwa kifo cha mtoto huyo ni tukio la kutengenezwa kwa nia ya kukwamisha operesheni ya kuwaondoa waliovamia eneo la hifadhi na kuendesha shughuli za kibinadamu ikiwemo makazi, kilimo, uvuvi na ufugaji.

"Siwezi kusema kwa uhakika ni nani ametengeneza tukio hilo lakini mazingira yanatia shaka na ndio maana vyombo vinafanya uchunguzi wa kina," amesema mkuu huyo wa wilaya

Akizungumzia tukio hilo, diwani wa Usinge, Titus Kavura amelaani kitendo cha askari Mamlaka ya Wanyamapori na Jeshi la Polisi walioshiriki operesheni hiyo kutumia nguvu na mabavu badala ya busara kiasi cha kuteketeza nyumba bila kutoa fursa kwa wananchi kujiokoa na kuokoa mali.

"Walichokuwa wanafanya askari wale ni kufika na kutia moto nyumba bila kujali ndani kuna watu wala mgonjwa, hii ndio maana wazazi walitimua mbio kujiokoa na kumsahau mtoto aliyekuwa amelala ndani," amesema diwani Kavura.

Mwanachi
 
mkuu wa wilaya anasema anahisi ni tukio la kutengeneza?! hivi ana akili kweli watu wamchome mtoto Moto ili kikwamisha operation? huyu kiongozi hayuko sawa asimamishwe kazi inaonekana yeye ndiye aliyetoa order ya Kuchoma Moto nyumba.
Mpuuzi sana huyoo
 
Back
Top Bottom