Anaweza kuwa sawa, Kama ni yeye kasababisha achukuliwe hatua Ila Kama ni hujuma hao waliofanya hivyo wachukuliwe hatua maana kuna watu Wana roho mbaya wanaweza kufanya hivyo Ili waonewe huruma wasifukuzwe maana najiuliza inakuwaje wazazi wakimbie waache mtoto?