Mwanza: Mtoto ateketea kwa moto wakati wa operesheni ya Kiserikali

Hivi serikali inachomea wananchi wake nyumba so sad😡😡
 
Nimesisimkwa mwili aisee na nimekumbuka mbali sana.

Pruner naomba muiondoe hio picha inazidi kuleta hisia za huzuni na kuuzalilisha utu wa huyo mtoto.

Mkuu picha tumeitoa ziko nyingi zaidi. Kwa hakika tumeshindwa kuziweka pale.

Hata iliyowekwa haikuwa na maana ya kuiacha pale.

Eeh mola wetu umpokee kwako mtoto yule.
 
Mnaua halafu mnasema ni tukio la kutengeneza? Hivi unyama utaisha lini nchi hii? Vyombo vya dola vikifanya ukatili vinatengeneza cover story? Mh. Samia ondoa huyu Dc kwenye orodha yako, hafai.
 
Operation imepata Baraka za JPM?
 
Ile picha sitaki kuiona katika mawazo yangu. Inaumiza,inahuzunisha, inasikitisha sanaa.
 
Lakini nanyi waandishi saazingine huwa ninapata mashaka na kiwango chenu cha taaluma!

Kaliua ya mkoani Tabora ndiko madhila yalikotokea kakini kichwa cha habari kinatamka Mwanza, why?

Kichwa cha habari cha awali hapa kimerekebishwa - na ndipo huo mkorogo ukafuatia.
 
Mhe. Rais tafadhali anza na huyu dc afukuzwe kazi mara moja, ni mpuuzi kabisa. Pia hao askari wa wanyama pori ambao akili zao zimejaa upori upori tu wafikishwe mahakamani kwa kosa la mauaji.

Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mhe. Rais tafadhali anza na huyu dc afukuzwe kazi mara moja, ni mpuuzi kabisa. Pia hao askari wa wanyama pori ambao akili zao zimejaa upori upori tu wafikishwe mahakamani kwa kosa la mauaji.

Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app

Kwamba angali ofisini. Wa namna hii anamtumikia nani?
 
Mkuu wa Wilaya ajiuzulu tu. Asisubiri saini ya Haniu
 
Mtoto apumzike kwa amani, Waharifu waliyofanya hayo malipo ni hapa hapa duniani
 
Hao jamaa sijui akili zao wanaziwekaga wapi
Wanakuwaga na mambo ya ovyo kabisa

Ova
 
Hii habari hata haieleweki, mara kaliua mara mwanza, brother umekunywa pombe "gambe"
 
mkuu wa wilaya anasema anahisi ni tukio la kutengeneza?! hivi ana akili kweli watu wamchome mtoto Moto ili kikwamisha operation? huyu kiongozi hayuko sawa asimamishwe kazi inaonekana yeye ndiye aliyetoa order ya Kuchoma Moto nyumba.
Mpuuzi sana huyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…