Mwanza: Mtoto ateketea kwa moto wakati wa operesheni ya Kiserikali

Hii habari hata haieleweki, mara kaliua mara mwanza, brother umekunywa pombe "gambe"
"Gambe" labda umekunywa wewe.

1. Habari inasikitisha sana.
2. Huwa mnalipwa kiasi gani kurukia treni kwa mbele?

 
Narukia treni?

Wewe ndio umekurupuka, umepata taarifa ya kitu kaa chini uandike vizuri sio kukimbilia huku kupost, uonekane we ndio wa kwanza kupata taarifa?.
"Gambe" labda umekunywa wewe.

1. Habari inasikitisha sana.
2. Huwa mnalipwa kiasi gani kurukia treni kwa mbele?

View attachment 1823671
 
Narukia treni?

Wewe ndio umekurupuka, umepata taarifa ya kitu kaa chini uandike vizuri sio kukimbilia huku kupost, uonekane we ndio wa kwanza kupata taarifa?.

Unaendelea kukurupuka jombi. Originally kichwa kilikuwa hivi:

"Mtoto aungua Moto hadi kufa katika operesheni ya Dola."

Baada ya maelezo ya awali kwenye mada, link hii kama ilivyo hapa chini, niliiambatanisha:


Moderator wamekuja wakakarabati kwa makosa kichwa. Pia wakatoa link na kuya paste maelezo kutoka kwenye link ambayo yana pia huo ukakasi wa "Mwanza."

Kistaarabu - habari inasikitisha na hilo nimelisema. Makosa ya Moderator yanihusu miye vipi?

Bado tu huoni kukurupuka kwako?
 
Haya poa braza K
 
Haya poa braza K

Nilitaka nikupe ki emoji cha kucheka. Ila kama nilivyosema habari hii inasikitisha sana.

Nimeziona picha za tukio hili. Katika about 20 sikuweza kuangalia zaidi ya 2.

Nilipo siku yote imeharibika. Bila shaka itanichukua siku kadhaa kulitoa tukio baya hili mawazoni.
 
Mtu mwenye akili timamu anaweza akafanya haya waliofanya hao mashetani?, mimi ningekuwa Rais, ningewalisha kitanzi hao mbwa wote endapo watathibitika pasi na shaka kufanya uzembe uliosababisha kifo cha mateso makali kiasi hicho kwa malaika mdogo kiasi hicho, lazima tuwe na utu at some point!!
 
Yaani wazazi waache mtoto aungue moto Ili kukwamisha operation??

Kuna wakati msukuma akianza kutuponda wenye vielimu vyetu hua namuelewa ni mambo kama haya yanafanya elimu ionekane sio kitu.
 
Sio tu kuchunguzwa... Afukuzwe kazi kwa kosa la uharibifu wa mali na kusababisha kifo Cha mtoto...

Utetezi wake una ukakasi mkubwa huyo hafai kuwa kiongoz...
Anyongwe mbwa huyo, ikithibitika kahusika na uzembe uliosababisha kifo cha mateso makali namna hiyo, tena kwa malaika wa miaka minne??!!😭😭😭😭😭
 
Ishatokea hakuna litalobadilika
Ila itakua funzo kwa maDC wengine na huyo ajae baada ya kutumbuliwa huyu, kwamba maisha ya binadamu yana thamani kuliko kitu kingine chochote kile!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…