Mwanza: Mvua kubwa ya mawe

Duh! Mara ya mwisho kushuhudia mvua ya mawe ni kwenye miaka ya 89 wilayani Sengerema.
 
Mvua kubwa imenyesha jijini Mwanza kuanzia saa 12:45 Mchana.
12:45 mchana!!!? sijawahi ona huu muda,ukileta taarifa kwa lugha ya kiswahili hata muda tumia mfumo wa kiswahili yaani ungeandika saa 6:45 mchana SIKU NYINGINE USICHANGANYE MAFAILI
 
Na uzee huu sijawahi shuhudia mvua ya mawe🙄
 
Na uzee huu sijawahi shuhudia mvua ya mawe🙄
Na huwa hayawi mawe bali ni vipande vya barafu ambavyo vikitua chini vinayeyuka, nimeshashuhudia kama mara tano hivi, moja ilinikuta arusha mwaka 99 hiyo iliua ndege wengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…