Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 653
Kwanini ?Miss Tanzania bado Yuko mitaa ya huko?
Ma miss na mvua mbali mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ?Miss Tanzania bado Yuko mitaa ya huko?
Ma miss na mvua mbali mbali.
Mkolan unaishi sehemu gani hapo kuna jamaa yangu anaishi mitaa hiyo.Imagen mkolan imenyesha dakika 3 tu na imekata hyo ya mawe ni wap uko
Mkuu sentenc yko bado sijaielewa lengo lako nimtafute jamaa ako au unataka kujua nako kaa?Mkolan unaishi sehemu gani hapo kuna jamaa yangu anaishi mitaa hiyo.
Lengo nikujua endapo unamfahanu.Mkuu sentenc yko bado sijaielewa lengo lako nimtafute jamaa ako au unataka kujua nako kaa?
Karibu buhongwaaImagen mkolan imenyesha dakika 3 tu na imekata hyo ya mawe ni wap uko
12.45 ni mchana au jioni?Mvua kubwa imenyesha jijini Mwanza kuanzia saa 12:45 Mchana.
Saa saba kasorobo mchana (Adhuhuri)12.45 ni mchana au jioni?
12:45 mchana!!!? sijawahi ona huu muda,ukileta taarifa kwa lugha ya kiswahili hata muda tumia mfumo wa kiswahili yaani ungeandika saa 6:45 mchana SIKU NYINGINE USICHANGANYE MAFAILIMvua kubwa imenyesha jijini Mwanza kuanzia saa 12:45 Mchana.
Kwa wanachuo wanashangilia hakuna mapind leoHuku malimbe ndio maana umeme unawaka then unazima yaani.
Kwa kiuna hicho huwezi kuwa mzee[emoji849]Na uzee huu sijawahi shuhudia mvua ya mawe[emoji849]
Heh!!!🙄Kwa kiuna hicho huwezi kuwa mzee[emoji849]
Na huwa hayawi mawe bali ni vipande vya barafu ambavyo vikitua chini vinayeyuka, nimeshashuhudia kama mara tano hivi, moja ilinikuta arusha mwaka 99 hiyo iliua ndege wengi sanaNa uzee huu sijawahi shuhudia mvua ya mawe🙄
Oky sio mwenyeji sana mkolan mkuuLengo nikujua endapo unamfahanu.