Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Wapuuzi tuu hao mtaani maisha Magumu govt inajaribu kuweka mambo sawa hata kama kutakuwa na maumivu kidogo for a while Ili baadae mambo yanyoke ndio mambo mengine ya Katiba yafuate wanaleta dharau


Serikali hii imefeli zaidi.
Haina muelekeo inaenda enda km gari bovu lilifeli break na steering wheel
 
Mbowe anahisi mama ni mwepesi ndio anamjaribu kumtingisha.

Chadema kiboko yao alikuwa jpm,ndio maana walitulia kimya kipindi cha jpm,mtetezi wao ilikuwa mitandao ya kijamii na id feki
 
Reactions: mmh
Akili zenu sijui kama mnawaza sawa sawa.

Hata akitoka Samia, mnadhani ndio mwisho wa matatizo ?

Hamjawajua CCM nyie.

Subirini mkiwekewa MWIGULU au MPANGO tena ndio mtaanza kukimbia kama DIGI DIGI.
Alafu kuna siku mjinga kama huyu anatoka na kusema tuwe wazalendo.
 
Mtoa mada ni Pumbafu kabisa! Eti alikuwepo mtu anaitwa Chuma,Kwa hiyo nyie ndiyo mliomuua?? Kwamba mnajivunia kumuondoa duniani nyie?? Acha muendelee kunyooshwa! Nchi iko busy kupambana na umasikini kukuza uchumi nyie mko busy kutafuta namna ya kushika dola! Mnatakiwa mkaf**we huko jela
 
Hiki ulichokizungumza hata KIKWETE kilimletea shida(kiongozi poa)
Lile jina maarufu(SUKUMA GANG) limepotelea wapi sijui!!?
 
Mbowe ,atengeneze kwanza katiba ya cdm.Halafu ndio aje atuambie kuhusu katiba ya nchi.MTU mwenyewe mwenyekiti wa kudumu.Pumbafu.
 
Tulipumzika. Mshaanza chokochoko..! Tuacheni na Mwanza yetu tusherekee sikukuu jamani. Mmetusababishia mpaka baadhi ya barabara zimefungwa hapa...
Inaniuma sana Mbowe Jiji letu anataka kulinajisi. Lakini hii ni chuki ya Mbowe dhidi ya Mwanza Katu hafanyi vurugu hizo Kilimanjaro.
 
bora aisee wakamatwe tu maana nchi imetulia wanampa Mama yetu stress tu mama amesha waambia mpeni muda kwani hiyo KATIba mnao dai ni ya CHAMA AU WATANZANIA
 
Tunaukuza uonevu na udikteta kwenye akili zetu na kuuona ni jambo la kawaida watu wakiburuzwa, madhali tu ni wa pinzani.

Wakiwamaliza hao watahamia kwa wengine, maana itakuwa uburuzaji umezoeleka.

Wameanza na kodi za miamala, laini na luku . Nadhani tutaelewana tu
 
Kuzungumzia katiba ni kumchokoza ?! Basi atakuwa ni Mungu !!.

Ukiomba kazi ya kuongoza watu uwe mvumilivu
Hawa ndiyo wanajiona wanajua sana, hii nchi inashida.Kama imejaa watu wasioelewa kwamba katiba ni mkataba wa kiraia kati ya viongozi na wanaoongozwa Ni tatizo kubwa.Yaani boss kutaka kuboresha mkataba ni kosa! Kwamba watu wakidai katiba ni kumchokoza rais! Na anayedai hivyo anajiita msomi na anaandika hadharani ,any way mitandao imesaidia.
 
Akili zenu sijui kama mnawaza sawa sawa.

Hata akitoka Samia, mnadhani ndio mwisho wa matatizo ?

Hamjawajua CCM nyie.

Subirini mkiwekewa MWIGULU au MPANGO tena ndio mtaanza kukimbia kama DIGI DIGI.
Waache waombee mabaya wapewe mpango ndipo watajua Kama hawajui
 
Serikali hii imefeli zaidi.
Haina muelekeo inaenda enda km gari bov lilifeli break na steering wheel
Thibitisha pasi na shaka kauli yako maana kwenye uchumi inaenda vizuri au kuna mradi umekwama?
Soma hiyo 👇

 
Ila nkikumbuka Yale matusi , hivi kwanini hawataki kutuomba msamaha ili ionekane chadema hawaungi mkono Yale matusi. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…