Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Nimeona taarifa kuwa Rose Mayemba, katoka Mkoa wa Njombe mpaka Mwanza na kafikia hotel aliyofikia Mbowe, hii inatia shaka, kuna nini? SAA 9 usiku!
Kujiita Chinembe ni matumizi mabaya ya lafudhi za kiswahili!
 
Mbowe kawashikia akili chadema..huwaambiii kitu!
 
Wakati anaongea juu ya msiba wa kaka yake akawaomba watu wawe wachache sana wakati wa mazishi halafu anataka Mwanza pawe na mkusanyiko kama ule aliopinga usiwepo huko kwao!.

Wanamuita Mwamba.
Naona bado upo kwenye zamu ya kulinda kaburi
 
Sio uonevu,anaupiga mwingi..hamna adabu nyie mlianza kumtisha Rais,anawapa utaratibu msubirie mnstukana ,safi Sana ngoja aupige mwingi
Anachofanya Samia ni anawapa umaarufu mfano walivyofanya mkutano wao wa katiba dar mbona ulikua kimya na hakuna aliyejua, anavyofanya hivi hata mtu ambaye alikua afuatili ataanza acha uzwazwa
 
Yani Mbowe muda mwingine ni bonge la boga!

Mtu unalaumu selikali haichukui hatua za kuenea kwa corona lakini yuko busy kuhamasisha vikongamano!

Namuheshimu sana Mbowe kuliko mwana ufipa yeyote yule ila kwa hili ana pwaya sana
 
Mbowe mjanja mjanja tuh,tuna taarifa kumbe ruzuku ya hao wabunge Covid 19 ameeshanza kuchukua
Hata ukijua ndiyo itaifanya kodi kichefuchefu ya miamala ifutwe?

Wewe tangu ulipo kataliwa kugombea ubunge Jimbo la mtwara mjini na chama chako cha NCCR ndiyo akili yako ikahama kabisa.
 
Wapuuzi tuu hao mtaani maisha Magumu govt inajaribu kuweka mambo sawa hata kama kutakuwa na maumivu kidogo for a while Ili baadae mambo yanyoke ndio mambo mengine ya Katiba yafuate wanaleta dharau
Maisha magumu kivip kipindi Cha magufuli si mlikua mnasema mambo ni mazuri Leo Tena magumu haya ni maajabu
 
Anachofanya Samia ni anawapa umaarufu mfano walivyofanya mkutano wao wa katiba dar mbona ulikua kimya na hakuna aliyejua, anavyofanya hivi hata mtu ambaye alikua afuatili ataanza acha uzwazwa
Umaarufu huo utawafikisha wapi akina Mbowe? Walikuwepo akina Lisu wakatengenezewa na majukwaa Ulaya na USA saizi wako wapi? Ccm si bado iko ulingoni?

Ukiwaacha watahamia nje wewe pimbi lazima wadhibitiwe mapema.
 
Chadema wajioange vizur ujinga waache waachane na swala la katiba wadili sasa na mahitaji ya wananhi wasimame nayo majukwaani
Ewaa! Mimi hili ndilo nililoliona ndiyo ingelikuwa gia yao ya kwanza na katika uwanja huu kuna vingi vya kuzungumzia.

Baada ya hapa raia wangelifahamu mengi na mengi kisha wangekuja kwenye kudai katiba sasa kwani raia wengi watakuwa wameshajua ni nini kimsingi wanachokidai na wangepata raia wengi waliyo nyuma yao.

Kwa sasa uraiani maisha ni magumu. Mzunguko wa pesa si mzuri na pesa yenyewe haina thamani na sehemu nyengine vitu ni ghali zaidi. Sasa huyu raia ili muwe bega kwa bega zungumzia mambo ambayo yanayoigusa maumivu yake moja kwa moja kwanza baada ya hapo ndipo wangerukia kwenye katiba kwa sababu tayari watakuwa wameshawaandaa raia wa kutosha.

Ila kwa sasa Chadema wanachokifanya wataonekana wana vurugu tu machoni mwa raia, wengi wao watalinganisha kiafrika ile wataona kama wanamdharau Bi. Mkubwa.
 
Ndugai hawezi kuongea kwa kujiamini namna ile kama hajaweka mambo sawa na kaka wa Hai.

Mtoto wa mjini kitambo anaijua michongo yote ya pesa.
Ulitaka awe zuzu kama wewe ambaye kutwa kucha upo kwenu Biharamulo unafukuzana na sokwe na ngedere kwenye msitu wa Burigi?
 
Nimeona taarifa kuwa Rose Mayemba, katoka Mkoa wa Njombe mpaka Mwanza na kafikia hotel aliyofikia Mbowe, hii inatia shaka, kuna nini? SAA 9 usiku!
Kwani ni mwiko kwa mwana cdm kumbandua mwana ccm?
 
Ndio wanazila ruzuku na Rose Mayemba, wanaponda raha halafu eti waandamanishe watanzania wakapondwe rungu za polisi
Huna sura wala shape ya kushindana na Rose hivyo kubali matokeo kuwa kwa sasa Mbowe kesha kutupa kwenye dust bin.
 
Back
Top Bottom