G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Kujiita Chinembe ni matumizi mabaya ya lafudhi za kiswahili!Nimeona taarifa kuwa Rose Mayemba, katoka Mkoa wa Njombe mpaka Mwanza na kafikia hotel aliyofikia Mbowe, hii inatia shaka, kuna nini? SAA 9 usiku!