Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Huyu dikteta wa kike ni mbaya kuliko shetani
 
Wewe inaonyesha ukiingia majaribuni na kupoteza Mali kwa kusudi la Mungu kama Ilivyokua kwa Ayubu, utamtukana mungu kama afande sele
 
Vipi kwani?

Si mnapumua baada ya dhalimu wenu kufariki?
safari ya wana wa Israel haikuwa rahisi, wapo waliokuwamo kwenye safari hiyo walikuwa wakimlaumu Musa na wapo walioamini Musa atawavusha. so wapumbavu kama ninyi mnaojitokeza kusema hamna shida na katiba mpya ni wapumbavu tu kama wale wa enzi za Musa. Miaka 60 huo uchumi mnnaojenga usiokuwa ni upi? afu mafala hayazinduki tu, ndio maana sisi tz umasikini kuisha ni ndoto
 
Chadema wajioange vizur ujinga waache waachane na swala la katiba wadili sasa na mahitaji ya wananhi wasimame nayo majukwaani
 
Watu wanapotendewa mbaya wewe unanufaika na Nini!....kama miTOZO tunalipa wote au wenzetu mna exemption
Sijaona sehemu yoyote Samia katendea mtu baya.

CDM walichotaka battle sasa ukitaka battle mwenyewe ukapigwa utakuwa umeonewa ?
 
sweka ndani wote na mjinga atakayesogea eneo la tukio vunja magoti kabisa...

badala muhamasishane kutafuta hela mnahamasishana ujinga tu kila siku halafu baada ya hapo mnaomba michango...
Kuzungumzia katiba ni ujinga ?! . Elimu inayotumika Tz ni janga.
 
Chadema wajioange vizur ujinga waache waachane na swala la katiba wadili sasa na mahitaji ya wananhi wasimame nayo majukwaani
Yani umeshindwa hata kujali yalitokea kwa mwendazake kwenye KATIBA hii.
 
Mama atamaliza vibaya zaidi akiendelea hv.
Maisha magumu, tozo kila eneo, uhuru na democrasia hakuna ,maendeleo hakuna..
mpaka sasa mama hajaleta jipya zaidi ya kutudanganya kwa kuachia watu wawili watatu lakini maumivu aliyoleta ni makubwa zaidi...
Maumivu aliyoleta mama hayajapata kutokea hapa Tz.
 
Chadema inapenda shari ndio siasa zake,usipofanya hivi watakupapasa hata makario,inatakiwa mjirekebishe,
 
Reactions: mmh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…