Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hongera kwa ID kibao , hivi mtu mmoja unawezaje kuwa na 1D 100 ?
Chadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chademaexpand...
Na Simba ni Mpango wa Sh... (malizia)Haya
Chadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chadema
Hongera sanaChadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chadema
Hawa hapaChadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chadema
Unajua kwanini haikupatika baada ya yeye kuzunguka?Una safari ndefu sana ya kujifunza,Unajua kwanini Jaji warioba alizunguka nchi nzima?
Una safari ndefu sana ya kujifunza,Unajua kwanini Jaji warioba alizunguka nchi nzima?
Hawa ndiyo wenye akili?Chadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chadema
Mkuu hongera kwa ID kibao , hivi mtu mmoja unawezaje kuwa na 1D 100 ?
Makolo bwana, shida tupu!Jeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.
Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.
Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.
Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.
View attachment 2242410
View attachment 2242411
Mama yako!Chadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chadema
Safi Sana kamanda wangu! Mungu akubariki Sana!Jeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.
Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.
Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.
Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.
View attachment 2242410
View attachment 2242411
Hizi akili walizotumia hawa wavaaji wa tisheti ni za dunia ijayo. Congole kwao. Yaani ile intelijensia ya Siro haikunusa kabisa hili tukio hadi watu wakatua uwanjani
Tatizo lá jeshi hilo halifanyi kazi zake zinazompasa kuzifanya kisheria bali hufanya kazi zisizomhusu.Jeshi hili hili lililokuwa linawadhibiti CHADEMA kufanya mikutano leo linashindwa kudhibiti uvaaji wa fulana za katiba mpya au limeamua kuacha tu?
Mkiachwa mnasema polisi wameshindwa kidhibiti mkidhibitiwa mnasema hakuna demokrasia. Sijui mahitaji yenu ni nini hasa
Yupi?! Yule wa burigi?Yanga ni mpango wa Mungu
Hiyo bia yetu, mbona nasikia ndo ile ililala March 17?!Nimeambiwa ndiye Bia yetu pia.